Kwa wenye uelewa wa hili humu jf tafadhali jibu hili swali!

Mpigamsuli

JF-Expert Member
May 24, 2012
3,885
575
Wana jf mim nna kaswali kangu kadogo ivii kiwango cha mwisho cha elimu ni kipi u profesa au kuna zaidi ya hapo plz nijib
 
Professor ni cheo siyo kiwango cha elimu; Kiwango cha mwisho cha elimu ni Doctor of e.g sience or art or law etc. Doctor of e.g. science (DSc) ni kwa watu walio na PhD (doctor of philosopy) na ambao baada ya kuitumikia hiyo degree yao (PhD)kwa miaka fulani say X wameonyesha weledi/elimu ya hali ya juu katika fani waaliyosomea wakati wa PhD. Ili upate DSc lazima upeleka maombi yako na kazi zako ulizofanya chuo kikuu tarajiwa ambacho kitateua watu maprofesa miongoni mwao na hata vyuo vingine ili kuevaluate hizo kazi zako na kurecommend kwenye senate kama unafaa kupewa DSc.

Kuhusu Professor: hiki ni cheo cha mwisho kwa wahadhiri wa vyuo vikuu. Kwa mafano US cheo cha kuanzia kwa mwalimu wa chuo kikuu ni Assistant Professor, follwed by Associate Professor and finally full Professor. Kwa Tanzania cheo cha kuanzia kwa wanataluma wa vyuo vikuu ni Tutorial Assistant, Assistant Lecturer, Lecturer, senior lecturer, associate professor, full Professor. Kwa kawaida kutoka cheo kimoja mpaka cheo kingine ni miaka mitatu.
 
Professor ni cheo siyo kiwango cha elimu; Kiwango cha mwisho cha elimu ni Doctor of e.g sience or art or law etc. Doctor of e.g. science (DSc) ni kwa watu walio na PhD (doctor of philosopy) na ambao baada ya kuitumikia hiyo degree yao (PhD)kwa miaka fulani say X wameonyesha weledi/elimu ya hali ya juu katika fani waaliyosomea wakati wa PhD. Ili upate DSc lazima upeleka maombi yako na kazi zako ulizofanya chuo kikuu tarajiwa ambacho kitateua watu maprofesa miongoni mwao na hata vyuo vingine ili kuevaluate hizo kazi zako na kurecommend kwenye senate kama unafaa kupewa DSc.

Kuhusu Professor: hiki ni cheo cha mwisho kwa wahadhiri wa vyuo vikuu. Kwa mafano US cheo cha kuanzia kwa mwalimu wa chuo kikuu ni Assistant Professor, follwed by Associate Professor and finally full Professor. Kwa Tanzania cheo cha kuanzia kwa wanataluma wa vyuo vikuu ni Tutorial Assistant, Assistant Lecturer, Lecturer, senior lecturer, associate professor, full Professor. Kwa kawaida kutoka cheo kimoja mpaka cheo kingine ni miaka mitatu.
Na katika hali ya kawaida, mtu anaweza kuwa professor kabla ya kupata Poor Hair Disribution (Phd).
)
 
Na katika hali ya kawaida, mtu anaweza kuwa professor kabla ya kupata Poor Hair Disribution (Phd).
)

Inawezekana mtu asiye na PhD akawa Professor. kwa mafano baadhi ya vyuo china Mtu mwenye MSc anaanzia na cheo cha Assistant professor; na hata Tanzania zamani ilikuwa inawezekana; Kwa mfano UDSM walikuwa na Maprofessor ambao hawakuwa na PhD e.g. the Late Professor Machunda. Na hata nchi za ulaya kama Denmark kuna maprofessor ambao hawana PhD. Kwa sasa vyuo vingi vimeweka sharti la mtu kuwa Promoted to a rank above senior lecturer lazima awe na PhD.
 
Back
Top Bottom