Kwa wenye swali lolote kuhusu water quality

Mheshimiwa asante sana kwa ushauri wako. Naona kuna vitu unavijua pasipo shaka sasa pls nimashine zipi ambazo ni nzuri especially zisizosumbua.

UPDATED!..
Kwa kipndi kirefu tumekuwa tukijadili swala zima la kutibu maji kwa njia ya nadhalia, hivyo nimeona vyema leo kuwaletea michoro husika, machine, gharama na kazi zake ili iwe fursa kwa watu wanaohitaji kuingia katika biashara ya kutibu maji ya kunywa na kuyapaki kwenye chupa.

Hapa nitatoa gharama ya kiwandani ya vifaa ambayo inaambatana na warrant ya mwaka mmoja, sitaweka gharama za kusafirisha, kodi etc.
Gharama hizi zinatoka katika kampuni kubwa na ya kwanza nchini India kwa kusambaza mashine za kutibu maji ndani na nje ya nchi.

HATUA YA KWANZA
Vifaa vinavyotumika katika mfumo mzima wa kutibu maji (Reverse Osmosis (RO) system)
1.JPG


Jinsi mfumo unavyofungwa kupokea maji, kutibu na kutoa maji safi na salama
2.JPG


HATUA YA PILI
Uwezo wa mtambo kutibu maji kulingana na jinsi ulivyobuniwa, Mtambo una uwezo wa kutoa parameters zifuatazo baada ya kutibu maji.
3a.JPG


HATUA YA TATU
Vitu vya msingi kwa mteja ili kuwezesha mtambo kufanya kazi kulingana design basis. Chumba cha kutibu maji kinatakiwa kiwe na feed water, power-electricity, na chemicals kwa ajili ya kusafisha membrane (tumia Antiscalant chemical).
3b.JPG


HATUA YA NNE
Technical specification ya kila mashine kwa kuzingatia uwezo wake, kazi inayofanya na idadi.
4.JPG

5.JPG

6.JPG

7.JPG

8.JPG


HATUA YA TANO
Hapa nimependekeza automatic machine katika chumba cha packaging, machine hii inafanya zake zote automatically. Miongoni mwa kazi za hii machine ni kujaza maji kwenye chupa, kuosha chupa & vifuniko, kufunga vifuniko kwenye chupa, kutengeneza chupa (blowing), n.k
Lakini pia Digital batch coding machine kwa ajili ya kutoa code kwenye chupa za maji na kuprint expire date kwenye chupa
9a.JPG


HATUA YA SITA
Hii ni mashine inaitwa semi Automatic Pet blow Molding Machine, kazi yake kubwa ni kutengeneza shape za chupa kwa kufanya molding. Inafanya kazi kwa haraka zaidi kwani ina uwezo wa kutengeneza chupa ya lita 1 ndani ya sekunde 10 tu.
10.JPG


HATUA YA SABA
Hii machine inaitwa Bottle Group Shrink Packing Machine, inafanya kazi ya kupack maji kwenye carton kwa ajili ya kuanza kusambaza.
11.JPG


HATUA YA NANE
Gharama ya machine zote, kumbuka hii ni bei ya kiwandani kabla ya kusafirisha, kodi n.k Lakini kufungiwa machine (installation) na manufacturer ni 100USD/siku.

Jumla ya gharama za machine ni USD 53,269/- = Milioni 116
12.JPG


HATUA YA TISA
Huu ndio mfumo mzima wa kiwanda kuanzia kutibu maji mpaka mpaka kupack katika carton.
14.JPG


MWISHO
Mbali na hizo machine, pipe zitakuwa chini ya mteja na mambo mengine yanayohusiana na kiwanda. Jambo la msingi katika kiwanda cha maji, ni kweli biashara ya maji inalipa sio lazima usafirishe nchi nzima badala yake unaweza kujikita katika mkoa mmoja tu, ukahakikisha unakuwa na uwezo wa kusambaza maji maeneo yote ya mji ikiwezekana mpaka wilaya za jirani.

Kuwa huru kuuliza chochote. Naomba kuwasilisha,
 
Nmegundua kitu kimoja,wakat fulan elimu y darasan inaweza kuwa useless compared to reality,look!unasemaje et TDS haina uhusiano n pH did you what is TDS?,bila shaka ww huna knowledge ya neno minerals,n pia nna mashaka ata km umewahi ku work ktk field za maji,n km umewah kufanya basi haukuiva,listen bro!twende kwa facts chukua raw water pima TDS,then pima TDS ya treated water yaliyotoka kweny RO,kisha urudi hpa unipe technical reasons nini kimesababisha PH ya raw water kuwa kubwa compared to pH ya maji yaliyotoka ktk RO,nliposema filters umeelewa sivyo,look!ww umemaanisha "micron filter"y kweny RO ambayo umetaja n diameter yke ambayo imekuwa recommended ya 0.5micron,Mimi nlimaanisha "Filters ambazo zona n resins,ambazo kazi yke n kutrap ions kwa maana ya Anions na Cations ambazo n Calsium,Magnesium etc,visima vingi tu hpa Tanzania kwa watu wenye fedha zao wamefunga izo kupunguza minerals contents katika maji yao,!next time make sure unapinga kitu kwa facts siyo kupinga tu ilimradi!hope umenielewa,ucporidhika km upo dar ntafanya arrange nikukaribishe kweny ofcn tuongee ki practical zaid.
First what is the PH state factors zinazo athiri PH,kukiwa na OH au H ions hapo effect ya ph utaona not othewise,maji ya kisima kunakua na different proportion ya H na OH ions ndo maana ph Hutofautiana na yaliyo toka kwa RO,pia vile softener/resin is not filter media kaka just kufanya ions exchange ili kupunguza TH-total hardness mkuu.pia rate ya kupungua TDS na PH kutoka kisiman na yale yaliyo toka kwa RO ni tofauti.Tds HUPUNGUA Sana lakin PH hupunhua kidogo sana kulingana na level ya H and OH ion zilizo ondolewa na R.O
 
Kwa nn maji KILIMANJARO yanaonekana bora zaid kuliko maji yote
bro walianza na market nzuri,ukinunua maji ya udzungwa,canadian,rungwe ni bora zaid kuliko kilimanjaro.nilishapima maji ya kilimanjaro ph hufika hadi 6.7 lakini wameweka 7.0, hata parameters zingine zina deviate tuu,sema walianza vizuri na walitengeneza trust kwa wateja
 
Mkuu ninapozungumzia seasonal variation nina maanisha kipindi cha kiangazi na masika. Kama unavyofahamu kipindi cha masika mvua huwa zinanyesha sana na kima cha maji huwa kinaongezeka kutokana maji kupenya ardhini (infiltration), Sasa kama maji ya mvua yataongezeka na huenda haya maji yakawa ni acidic rain (sulphuric acid-H2SO4 au Nitric acid-HNo3). Kwa faida ya wengine acidic rain inasababishwa na deposition of chemicals (kama sulphate-So4, carbondioxide-Co2, Nitrogen gas etc) kwenye anga (atmosphere). Hizi gesi/chemicals angani linasababishwa na shughuli zetu za kila siku kama moshi wa magari, kuchoma misitu, moshi wa viwandani n.k na matukio ya asilia kama volcano.

Sasa hizi chemicals/gesi zinapokuwa angani zina-react/zinaungana na maji wakati mvua inanyesha na kusababisha acidic rain. mfano So4 + H2O = H2So4 (acidic rain). Katika kipindi cha masika maji ya mvua (acidic rain) yanapopenya ardhini yanaenda moja kwa moja kwenye mkondo wa maji na kufanya yaungane na hayo maji, sasa kama unatumia kisima kama chanzo cha maji (underground water) na kisima kinategemea maji kutoka kwenye mikondo ya maji (water table). Haya maji ya acidic rain yanapoingia kwenye kisima chako kutoka kwenye mkondo wa maji ni lazima yabadili minerals content maana yanakuja na baadhi ya chemicals/gesi ambazo zimezitaja hapo, obvious lazima pH ya maji ibadilike ndio maana nilisema seasonal variation. Hali ya hewa pia inaingia hapo hapo kwenye seasonal variation pamoja discharges of gaseous molecules to atmosphere.
good reply i appreciate
Kuhusu NaCo3 (sodium carbonate) kwenye maji ya kunywa (drinking water) inatumika kama pH regulator kuligana na raw water mineral contents. Mara nyingi underground water (maji ya kisima) yanakuwa na pH chini ya 6 (acidic-pH), Kwa hiyo ilikuongeza pH anghalau kufikia 7 tunaweka base (mfano. Na2Co3). Jambo la msingi katika kutumia Sodium carbonate kama pH regulator mpaka ujue mineral contents za raw water ili isije ikasababisha reaction nyingine.

Ahsante.
 
Kwa kipndi kirefu tumekuwa tukijadili swala zima la kutibu maji kwa njia ya nadhalia, hivyo nimeona vyema leo kuwaletea michoro husika, machine, gharama na kazi zake ili iwe fursa kwa watu wanaohitaji kuingia katika biashara ya kutibu maji ya kunywa na kuyapaki kwenye chupa.

Hapa nitatoa gharama ya kiwandani ya vifaa ambayo inaambatana na warrant ya mwaka mmoja, sitaweka gharama za kusafirisha, kodi etc.
Gharama hizi zinatoka katika kampuni kubwa na ya kwanza nchini India kwa kusambaza mashine za kutibu maji ndani na nje ya nchi.

HATUA YA KWANZA.
Vifaa vinavyotumika katika mfumo mzima wa kutibu maji (Reverse Osmosis (RO) system)
View attachment 445841

Jinsi mfumo unavyofungwa kupokea maji, kutibu na kutoa maji safi na salama
View attachment 445843

HATUA YA PILI
Uwezo wa mtambo kutibu maji kulingana na jinsi ulivyobuniwa, Mtambo una uwezo wa kutoa parameters zifuatazo baada ya kutibu maji.
View attachment 445852

HATUA YA TATU
Vitu vya msingi kwa mteja ili kuwezesha mtambo kufanya kazi kulingana design basis. Chumba cha kutibu maji kinatakiwa kiwe na feed water, power-electricity, na chemicals kwa ajili ya kusafisha membrane (tumia Antiscalant chemical).
View attachment 445855

HATUA YA NNE
Technical specification ya kila mashine kwa kuzingatia uwezo wake, kazi inayofanya na idadi.
View attachment 445856
View attachment 445857
View attachment 445858
View attachment 445859
View attachment 445861

HATUA YA TANO
Hapa nimependekeza automatic machine katika chumba cha packaging, machine hii inafanya zake zote automatically. Miongoni mwa kazi za hii machine ni kujaza maji kwenye chupa, kuosha chupa & vifuniko, kufunga vifuniko kwenye chupa, kutengeneza chupa (blowing), n.k
View attachment 445862

HATUA YA SITA
Gharama ya machine zote, kumbuka hii ni bei ya kiwandani kabla ya kusafirisha, kodi and kufungiwa machine (installation).
View attachment 445865

MWISHO
Mbali na hizo machine, pipe zitakuwa chini ya mteja na mambo mengine yanayohusiana na kiwanda. Jambo la msingi katika kiwanda cha maji, ni kweli biashara ya maji inalipa sio lazima usafirishe nchi nzima badala yake unaweza kujikita katika mkoa mmoja tu, ukahakikisha unakuwa na uwezo wa kusambaza maji maeneo yote ya mji ikiwezekana mpaka wilaya za jirani.

kuwa huru kuuliza chochote. Naomba kuwasilisha,
Mkuu ungetupa jumla gharama za hizo machine, simu yangu imeshindwa kuzoom hizo picha.

Kwa mchanganuo huo, hicho kiwanda kinaweza kuprocesa lita ngap kwa siku?
Zibadili katika shilingi yetu.
 
Mkuu ungetupa jumla gharama za hizo machine, simu yangu imeshindwa kuzoom hizo picha.

Kwa mchanganuo huo, hicho kiwanda kinaweza kuprocesa lita ngap kwa siku?
Zibadili katika shilingi yetu.
Mkuu jumla ni 32116 usd!! Haya chukua 32116 zidisha na 2200 tsh ambapo inakua 70,655,200/= hapo ndio unakua na kiwanda chako cha maji!!! Pigia hesabu za 80,000,000/= na gharama nyingine.

Kasema flow ni 2000 litre per hour so chukua hiyo zidisha na 24 upate flow ya siku
 
UPDATED!..
Kwa kipndi kirefu tumekuwa tukijadili swala zima la kutibu maji kwa njia ya nadhalia, hivyo nimeona vyema leo kuwaletea michoro husika, machine, gharama na kazi zake ili iwe fursa kwa watu wanaohitaji kuingia katika biashara ya kutibu maji ya kunywa na kuyapaki kwenye chupa.

Hapa nitatoa gharama ya kiwandani ya vifaa ambayo inaambatana na warrant ya mwaka mmoja, sitaweka gharama za kusafirisha, kodi etc.
Gharama hizi zinatoka katika kampuni kubwa na ya kwanza nchini India kwa kusambaza mashine za kutibu maji ndani na nje ya nchi.

HATUA YA KWANZA
Vifaa vinavyotumika katika mfumo mzima wa kutibu maji (Reverse Osmosis (RO) system)
View attachment 445841

Jinsi mfumo unavyofungwa kupokea maji, kutibu na kutoa maji safi na salama
View attachment 445843

HATUA YA PILI
Uwezo wa mtambo kutibu maji kulingana na jinsi ulivyobuniwa, Mtambo una uwezo wa kutoa parameters zifuatazo baada ya kutibu maji.
View attachment 445852

HATUA YA TATU
Vitu vya msingi kwa mteja ili kuwezesha mtambo kufanya kazi kulingana design basis. Chumba cha kutibu maji kinatakiwa kiwe na feed water, power-electricity, na chemicals kwa ajili ya kusafisha membrane (tumia Antiscalant chemical).
View attachment 445855

HATUA YA NNE
Technical specification ya kila mashine kwa kuzingatia uwezo wake, kazi inayofanya na idadi.
View attachment 445856
View attachment 445857
View attachment 445858
View attachment 445859
View attachment 445861

HATUA YA TANO
Hapa nimependekeza automatic machine katika chumba cha packaging, machine hii inafanya zake zote automatically. Miongoni mwa kazi za hii machine ni kujaza maji kwenye chupa, kuosha chupa & vifuniko, kufunga vifuniko kwenye chupa, kutengeneza chupa (blowing), n.k
Lakini pia Digital batch coding machine kwa ajili ya kutoa code kwenye chupa za maji na kuprint expire date kwenye chupa
View attachment 446662

HATUA YA SITA
Hii ni mashine inaitwa semi Automatic Pet blow Molding Machine, kazi yake kubwa ni kutengeneza shape za chupa kwa kufanya molding. Inafanya kazi kwa haraka zaidi kwani ina uwezo wa kutengeneza chupa ya lita 1 ndani ya sekunde 10 tu.
View attachment 446664

HATUA YA SABA
Hii machine inaitwa Bottle Group Shrink Packing Machine, inafanya kazi ya kupack maji kwenye carton kwa ajili ya kuanza kusambaza.
View attachment 446675

HATUA YA NANE
Gharama ya machine zote, kumbuka hii ni bei ya kiwandani kabla ya kusafirisha, kodi n.k Lakini kufungiwa machine (installation) na manufacturer ni 100USD/siku.

Jumla ya gharama za machine ni USD 53,269/- = Milioni 116
View attachment 446679

HATUA YA TISA
Huu ndio mfumo mzima wa kiwanda kuanzia kutibu maji mpaka mpaka kupack katika carton.
View attachment 446680

MWISHO
Mbali na hizo machine, pipe zitakuwa chini ya mteja na mambo mengine yanayohusiana na kiwanda. Jambo la msingi katika kiwanda cha maji, ni kweli biashara ya maji inalipa sio lazima usafirishe nchi nzima badala yake unaweza kujikita katika mkoa mmoja tu, ukahakikisha unakuwa na uwezo wa kusambaza maji maeneo yote ya mji ikiwezekana mpaka wilaya za jirani.

Kuwa huru kuuliza chochote. Naomba kuwasilisha,

Nimeifanyia update hii post maana kuna baadhi ya machine sikuziweka hapo mwanzo. Waweza kuipitia kuna mabadiliko katika gharama na machine zilizoongezeka, Kama una swali kuwa huru kuuliza nitakujibu.

Ahsante.
 

Nimeifanyia update hii post maana kuna baadhi ya machine sikuziweka hapo mwanzo. Waweza kuipitia kuna mabadiliko katika gharama na machine zilizoongezeka, Kama una swali kuwa huru kuuliza nitakujibu.

Ahsante.
Nimeshaipitia mkuu! Vipi hiki kinakua ni kiwanda kidogo cha kati au kikubwa???

Je hapo tumeona ni 116 mil. Je gharama zote zinaweza kufika shi ngapi mpaka kiwanda kuanza kazi??
 
inl
Mkuu ungetupa jumla gharama za hizo machine, simu yangu imeshindwa kuzoom hizo picha.

Kwa mchanganuo huo, hicho kiwanda kinaweza kuprocesa lita ngap kwa siku?
Zibadili katika shilingi yetu.
Inlet water turbidity is more than 1NTU please,unless otherwise you introduce microfilters
 
gharama
Mkuu jumla ni 32116 usd!! Haya chukua 32116 zidisha na 2200 tsh ambapo inakua 70,655,200/= hapo ndio unakua na kiwanda chako cha maji!!! Pigia hesabu za 80,000,000/= na gharama nyingine.

Kasema flow ni 2000 litre per hour so chukua hiyo zidisha na 24 upate flow ya siku
gharama kubwa sana hiyo,mitambo hufuatana na siz mfano 2000LPH ni $6000=12,000,000.pia 3000LPH ni $10000=21,900,000/- na 4000LPH ni $12000 =26,280,000.Hiyo mitambo ni mikubwa sana na inaweza kukidhi production yako na malengo yako katika kiwanda cha maji.kama kuna mtu anataka tufanye biasha au tuanzishe anitafute ,najua mitambo yote hadi filling system plus running cost and profit pia na sehem ya kuweka kiwanda.
 
gharama

gharama kubwa sana hiyo,mitambo hufuatana na siz mfano 2000LPH ni $6000=12,000,000.pia 3000LPH ni $10000=21,900,000/- na 4000LPH ni $12000 =26,280,000.Hiyo mitambo ni mikubwa sana na inaweza kukidhi production yako na malengo yako katika kiwanda cha maji.kama kuna mtu anataka tufanye biasha au tuanzishe anitafute ,najua mitambo yote hadi filling system plus running cost and profit pia na sehem ya kuweka kiwanda.
Mkuu nitakutafuta, kuna kaela na kavizia hapa nikapate.
Nilikuwa na hii idea kitambo sanaa, sema nilikuwa najua ni gharama kubwa sana kukianzishaa.

Ngoja hii pesa ipatikane, nitakucheki
 
Mkuu nitakutafuta, kuna kaela na kavizia hapa nikapate.
Nilikuwa na hii idea kitambo sanaa, sema nilikuwa najua ni gharama kubwa sana kukianzishaa.

Ngoja hii pesa ipatikane, nitakucheki
nina project nimeandika ,twende kwa magufuri nayo,pia mitambo tunaweza lipa kiasi fulan then wakatupatia
 
Hayo ni makosa yanayofanywa na wenye viwanda, unakuta kiwanda kwenye ile badge (nembo ya chupa) wameandika constant pH miaka yote lakini ki uharisia pH ya maji inabadilika kila siku unapotibu maji mfano Leo unaweza kupata pH ya maji ni 6.8, kesho ikawa ni 7.5 na Ndio maana kwenye daily operationa and data collection sheet unasoma/unapima pH kila siku na kuirecord. Mfano mzuri nenda kiwandani ufike uombe data za Jana na juzi utaona zinatofautiana kabisa.

Sababu inayopelekea pH kubadilika ni minerals content katika maji, kulingana na source ya maji kwa sababu labda ya seasonal variation, hali ya hewa, maji ya mvua kuingia ktk chanzo chako kama kiko wazi.

Kitu kingine kinachosababisha ni dosing variation (katika hatua za kutibu maji utatakiwa kuweka baadhi ya chemicals ili kubalance na kuondoa minerals content katika maji kwa mfano addition of NaCO3 (kama pH regulator), addition of Antiscalant, Addition of choline (disnfectant-kuua bacteria) etc. Kwa hiyo ktk uwekaji wa hizo chemicals una badilika siku kwa siku kulingana na quality of raw water (ubora wa maji yanayoingia kutibiwa)

Sababu nyingine inayosababisha pH variation ni system performance (yaani ubora au ufanisi wa mtambo/mfumo wa kutibu maji, hii inatokana na uchakavu pamoja na ukosefu wa maintenance ya Mara kwa Mara)

Kwa hiyo viwanda Vingi wa wanaprint nembo ya kwenye maji uniform kwa sababu wanaona usumbufu kila siku kuprint kulingana na data changes au wanaogopa kupoteza soko kulingana na pH variation. Lakini pH wanaogopa TBS kuwafungia kama variation ni kubwa.

Kwa kesi ya pH 5.3 kutoka 8 hapo kuna uzembe ulifanyika, ukishapaki maji na kuweka preservatives pH haiwezi kubadilika hivyo. Maana hiyo hata haishauriwi kwa maji ya kunywa kuwa pH ya 5. Mfano: Maji ya dawasco tu pH yake inaanzia 6-8 japokuwa yanasafiri kwa muda mrefu. Lakini hiyo ya 5.3 ikitokea TBS wakijua wanaweza kuwafungia kabisa.
nipende kusema maji hayana chemical preservative
 
gharama

gharama kubwa sana hiyo,mitambo hufuatana na siz mfano 2000LPH ni $6000=12,000,000.pia 3000LPH ni $10000=21,900,000/- na 4000LPH ni $12000 =26,280,000.Hiyo mitambo ni mikubwa sana na inaweza kukidhi production yako na malengo yako katika kiwanda cha maji.kama kuna mtu anataka tufanye biasha au tuanzishe anitafute ,najua mitambo yote hadi filling system plus running cost and profit pia na sehem ya kuweka kiwanda.

Mkuu tupe proforma invoice/quote za manufacturer anaetoa mchine kwa bei hizo. Nina proforma invoice/quote ya manufacturer watatu wanaouza machine za namna hii kwa bei inayokaribiana na hiyo (ikitokea tofauti ni ndogo sana kama dollar 500-1,000).

Ninasema hvi kwa uzoefu, nimefunga machine za namna hii, nime-operate na kununua spare parts kutoka kwa manufacturer tofauti tofauti. Hivyo sitaki kutoa quote za uongo ndio maana nimepost proforma invoice kutoka kwa manufacturer ila kama mtahitaji quote za manufacturer mwingine nitapost mlinganishe bei.

Naomba wanajamvi wajue ninachoandika hapa ni kile ambacho kipo, nina uzoefu nacho na kinapatikana popote. Kwa hiyo siandiki kile ambacho mtu anasema ndio maana najitahidi kutoa maelezo ya kutosha na vielelezo maana natambua maelezo bila vielelezo hayana mashiko na uzito.

Naomba kuwasilisha.
 
Nimeshaipitia mkuu! Vipi hiki kinakua ni kiwanda kidogo cha kati au kikubwa???

Je hapo tumeona ni 116 mil. Je gharama zote zinaweza kufika shi ngapi mpaka kiwanda kuanza kazi??

Mkuu ku-rank kiwanda tuna rank kulingana na initial investment cost, turn over, idadi ya wafanyakazi, technology na production capacity (uwezo katika uzalishaji).

Kuhusu size ya kiwanda nafikiri we angalia tu uwezo wa uzalishaji wa kiwanda.
Machine nilizoweka hapo zina uwezo wa kuzalisha lita 2,000 kwa saa. Assume kiwanda kinafanya kazi masaa 10 tu kwa siku, kiwanda kitazalisha lita 20,000 za maji. Assume unapack kwenye chupa za lita 1 tu. utapata chupa 20,000 za maji, ukipanga kwenye carton (carton 1 ni sawa na chupa 8. kwa hiyo inakuwa 20,000/8 utapata carton 2500 (kwa siku).

Nafikiri unaweza kupata picha ya ukubwa wa kiwanda katika uzalishaji.

Kuhusiana na gharama nyingine, ni kuchimba na kujenga kisima + vifaa vyake (Max approx. 30mil). Kujenga jengo muundo wa godown utakalo likata vyumba kwa ajili ya kutibu maji, kupack, store, Washroom, small laboratory room, staff room (approx. 100mil)- hii gharama inabadilika kulingana na size ya jengo (eneo).
Baada ya hapo utanunua baadhi ya vifaa vya maabara (Max approx. 20mil), electrical wiring installation (approx 20mil), plumbing materials kama pipes and valves etc (Max approx. 25mil), office furniture (approx. 15mil), Canter kwa ajili ya usambaza maji (approx. 50mil), protective gears kama overoll/overcoat, helment, gun boot, groves, nose and mouth protector (max approx. 7mil), chemicals kama pH regulator + Antiscalant kwa kuanzia (Approx. 2mil)

Utatakiwa kuajiri,
Wafanya kazi kama HR, secretary, Mhasibu, Engineer, technician, dereva, walinzi wawili, mtu wa masoko na mauzo.
Vibarua: unaweza kuajiri 10 wakawa wanaingia kwa shift.

Tahadhali hayo ni makadilio tu sio halisi yanaweza kubadilika kulingana BOQ.
 
nipende kusema maji hayana chemical preservative
Mkuu sijapata logic yako hapa, maji yana preservatives like ozone.

Sasa unaposema maji hayana chemical preservatives sijui una maanisha nini. Maana sijaona kama kuna mahali kwenye post yangu nimeandika "Chemical Preservatives"

Naomba utupe ufafanuzi.
 
Mkuu nitakutafuta, kuna kaela na kavizia hapa nikapate.
Nilikuwa na hii idea kitambo sanaa, sema nilikuwa najua ni gharama kubwa sana kukianzishaa.
gharama

gharama kubwa sana hiyo,mitambo hufuatana na siz mfano 2000LPH ni $6000=12,000,000.pia 3000LPH ni $10000=21,900,000/- na 4000LPH ni $12000 =26,280,000.Hiyo mitambo ni mikubwa sana na inaweza kukidhi production yako na malengo yako katika kiwanda cha maji.kama kuna mtu anataka tufanye biasha au tuanzishe anitafute ,najua mitambo yote hadi filling system plus running cost and profit pia na sehem ya kuweka kiwanda.
Nnnn

Ngoja hii pesa ipatikane, nitakucheki
nitafute kweny namba hii nahitajia hizo mashine na mambo mengine ya kiutaalam
 
Back
Top Bottom