Kwa wenye swali lolote kuhusu water quality

mkuu,mimi nahitaji kufahamu ikiwa mtu kaleta maji yake au umeenda kupima sample ya maji katika eneo fulani lada ukakuta hayo maji yana pH ndogo sana pia yana mineral contents ya kiasi kikubwa kuliko ile standard au ilokuwa allowed mfano ikiwa ni maji ya kisima then mtashauri mtu afanye nin au mtadhibiti vp hizo contents ili maji yawe salam na yaendelee kutumika?
 
Uhandisi wa maji unatolewa na chuo gaz tz
Water Development and Management institute dar karibu na udsm (wanatoa bachelor ya Irrigation and Water Resource Engineering na ordinary diploma course 4; hydrogeology, hydrology,water supply and sanitation ya nne ni laboratory tech ) na pia
SUA (kuna bachelor ya Irrigation and Water Resource Engineering)
 
Mkuu unaposema seasonal variation unamaanisha nn?na umegusia hali Ya hewa nayo npe maelezo yke kvp?na kvp soda Ash (Naco3)huondoa minerals contents?nifahamishe hpo km cjaelewa!Asante
 
Mkuu kitaalamu izo unazoziita minerals contents ktk maji km vile calcium na zingnezo tunazi categorized km Total Dissolved solids (TDS)ambazo Tanzania National standards n (500-1500mg/L)je zmepita iyo range?n km minerals zpo nyingi kwenye maji ni wazi pia pH itakuwa kubwa,kwa case y maji yko hpo imekuwa inversely proposional,yaan kinyume chake,km TDS zpo nyingi nakushauri funga filter ambazo pia zpo za aina nyingi n size tofauti kulingana n kiasi cha izo minerals.!unapoenda kununua izo filters nenda n report y water quality,www.dayliff.com hao wanahucka n uuzaji wa vifaa ivyo.
 
Exactly,ndo maana tunajaribu ku guess tu coz muhusika angejieleza vzr angepata technical advise,ata km angetumia litmus paper acngepta different kubwa kiasi icho though litmus paper inahitaji macho mazuri n Mara nyingi huwa rounded off reading n si exactly,ila inatumika utofauti huwa kweny decimal tu!
 
Nimekupata mkuu,iyo technology naijua ila tangu niliyoiona pale WAMI treatment plant cjawahi kuiona tena,km umebahatika kuiona kiwandani umebahatika sana,pa1 mkuu!
 
maji hubadilika kulingana na source,so pH,TDs,EC,TH,salts hubadilika.pia hamna chemical zinazo ongezwa katka maji,isipokuwa kuna watu hawajui pH adjustment then wana dose caustic after R.O,
Provided kwamba all factors in concrete making kama gravel na mchanga are to be kept constant ,ivi ni water parameter ipi inapelekea weakness ya zege?
 
Nchi yoyote duniani lazima iwe na recommended standard katika maji ya kunywa haijalishi watu wanakunywa maji yoyote au lah.
Ndio maana WHO wametoa standard zao katika contents zote katika maji na nchi nyingine zime-develop standard zao kutoka kwa WHO standard, hata Tanzania tunazo standard za maji ambazo tume-develop kutoka kwenye WHO standard japokuwa za kwetu ziko tofauti kidogo compared za WHO (hii ni kwa sababu sisi ni developing country kwa hiyo ni vigumu kukidhi exactly standard kama za WHO kulingana na hali yetu ya kiuchumi pamoja na technology)

Nikipata muda nitatuma drinking water standard za Tz na za WHO
Ivi kuanzisha kiwanda cha maji inaweza cost kiasi gani??
 
Ivi kuanzisha kiwanda cha maji inaweza cost kiasi gani??
Mkuu kuanzisha kiwanda cha maji inategemeana na size ya kiwanda unayotaka (small, medium, big) lakini pia inategemeana na mitambo unayohitaji kwa ajili ya kuoperate kiwandani. Kuna mitambo ambayo ina operate automatically kwa kila stage kuanzia ngazi ya kutibu maji, filling, packaging, bottle & cap making, badging,etc. Kwa mitambo kama hii haikuhitaji kuajiri watu wengi, utaajiri watu wachache sana kwny operation.

Lakini pia kuna mitambo midogo ambayo ni cheap na inakua operated manually na mtu mmoja au wawili, ukiwa na mitambo ya namna hii utatakiwa kuajiri watu wengi kidogo maana kazi kufanyika inategemea sana uwepo wa watu.

Vile vile sio lazima kila kitu lazima utengeneze ww, baadhi unaweza kuwa una nunua kama hauna mtaji mkubwa kwa mfano vifuniko, Chumba ndogo ambazo zinatumika kutengeneza chupa kubwa, nembo etc.

Kwa ujumla ni rahisi kutoka suggestion ya mitambo ya kununua endapo kama mtu atasema budget yake lakini vinginevyo naweza kutoa overall cost ambayo ikaonekana kuwa kubwa zaidi.
 
Habari,

kwa mtu yeyote anaehitaji msaada wa kitaalamu kuhusu water quality karibuni,pia drinking water industries owner kwa wanaohitaji "water quality lab.technician wenye experience wapo,wapo wanaofanya kazi Aqua cool Ltd.(kisima water)Maji Afya n.k
Mkuu wapi nitapata chlorine granular kwa ajili ya kutibu maji
 
mkuu,mimi nahitaji kufahamu ikiwa mtu kaleta maji yake au umeenda kupima sample ya maji katika eneo fulani lada ukakuta hayo maji yana pH ndogo sana pia yana mineral contents ya kiasi kikubwa kuliko ile standard au ilokuwa allowed mfano ikiwa ni maji ya kisima then mtashauri mtu afanye nin au mtadhibiti vp hizo contents ili maji yawe salam na yaendelee kutumika?
sample ya maji ya kisima au ambayo yamechujwa yako kwa chupa
 
sample ya maji ya kisima au ambayo yamechujwa yako kwa chupa
hyohyo sample manake hyo sample inapresent maji yote ya kisima so ikionekana hayo maji hayapo standard na n hatar kwa matumiz mnatreat vp au nin kinafanyika?
 
Mkuu kitaalamu izo unazoziita minerals contents ktk maji km vile calcium na zingnezo tunazi categorized km Total Dissolved solids (TDS)ambazo Tanzania National standards n (500-1500mg/L)je zmepita iyo range?n km minerals zpo nyingi kwenye maji ni wazi pia pH itakuwa kubwa,kwa case y maji yko hpo imekuwa inversely proposional,yaan kinyume chake,km TDS zpo nyingi nakushauri funga filter ambazo pia zpo za aina nyingi n size tofauti kulingana n kiasi cha izo minerals.!unapoenda kununua izo filters nenda n report y water quality,www.dayliff.com hao wanahucka n uuzaji wa vifaa ivyo.
Bro issah mtoto hapo umekosea kidogo mkuu.TDS has no impact on PH ,mfano maji yakotoka kwenye RO yanakuwa na TDS ndogo sana less than 20Mg/l.lakini ph inakuwa within the range 6.5-8.5,pia Minerals haziondolewi kwa filters hata kidogo,hata O.5microns haiondoi minerals only RO can remove the minerals.
kwa alie uliza swali ,je maji hayo ni ya kwenye chupa yaliyochujwa au ya kisima.
 
hyohyo sample manake hyo sample inapresent maji yote ya kisima so ikionekana hayo maji hayapo standard na n hatar kwa matumiz mnatreat vp au nin kinafanyika?
jibu swali sample ni ya maji yaliyotoka kwenye mitambo yani yamechujwa au umechukua kisiman,sababu maji ya kisima TDS na parameters zingine zinakuwa tofauti na maji yakichujwa na R.O
 
jibu swali sample ni ya maji yaliyotoka kwenye mitambo yani yamechujwa au umechukua kisiman,sababu maji ya kisima TDS na parameters zingine zinakuwa tofauti na maji yakichujwa na R.O
duh mkuu,mbna darasa limekuwa gumu? mi mekwambia maji ambayo ni sample ya maji ya kisima.
 
Back
Top Bottom