Barn
JF-Expert Member
- Feb 28, 2017
- 2,734
- 4,024
Habarini ndugu zangu..
Kama kichwa kinavojieleza Mimi ni kijana niliemaliza shahada ya elimu maalumu kwa watu wenye ulemavu wa akili (cognitive disabilities), nimeona tujaribu kusaidiana kama una ndugu mwenye ulemavu wa akili jinsi ya kumsaidia ili umuhimu wake uonekane kwenye jamii.
NB: ulemavu wa akili ni tofauti na ukichaa.
"Disability is not inability"
Kama kichwa kinavojieleza Mimi ni kijana niliemaliza shahada ya elimu maalumu kwa watu wenye ulemavu wa akili (cognitive disabilities), nimeona tujaribu kusaidiana kama una ndugu mwenye ulemavu wa akili jinsi ya kumsaidia ili umuhimu wake uonekane kwenye jamii.
NB: ulemavu wa akili ni tofauti na ukichaa.
"Disability is not inability"