Kwa wenye ndoto ya kujenga ila budget ndogo mje tushauriane!

je ni kwa mikoa ipi inapatikana?
1669302713715.png
 
Mmh ndugu vi
- Ndio Wazo zuri.

- Ila isiwe in terms of physical items, ili kuepuka risk zinzoweza kujitokeza.

- Bali iwe in terms of USD

- Kivipi in terms of usd?? Fanya hivi.
1. Fungua account maalum ya USD,
- Account hii ya USD ina sifa hizi a] Haina makato kwa muda wote utakao hifadhi fedha yako kwa USD, b] Iwapo umeweka US $100 kama mfano, ikifika wakati wa kutoa utatoa hiyo hiyo $100 bila makato. kwa exchange rate ya wakati huo.

2. Chukulia lengo ni kununua BATI, basi fahamu bati zitaghalimu TZS ngapi, Then tafuta hicho kiasi husika cha kununulia bati, then nenda kahifadhi kwenye account yako ya USD, Weka Tick kwenye BATi kwamba tayari umefanya manunuzi ya Bati.

3. Endelea hivyo hivyo kwa kila unachotaka kununua, hadi unakamilisha ujenzi wako.

Faida ya kutumia benki account. Ni hii
  • Hakuna kuhofia kuibiwa bati zako au
  • Hakuna kuhofia kuharika au kuharibiwa kwa items kama Gypsum nk
Haijarishi utachukuamuda gani kufikia lengo, ila hakika fedha yako/material zako za ujenzi, itakuwa salama.

Je ni benki ipi yenye USD account na haina makato yeyote unapoweka na unapotoa fedha yako. Nenda FNB Bank, na gungua USD account aitakayouwezesha ku_save fedha yako tu. Na utatoa mara moja kwa mkupuo. Fanya utafiti zipo benki zingine zitakuwa na account kama hii niliyotolea mfano.

Kila lakheri
vitu vinapanda bei kila uchao bora anunue asset zisizoharibika kwa urahisi

Mawe,kokoto,mchanga,mabati,nondo,misumali na ikiwezekana tofari afyatue kabisa......

Experience......"Nyumba ya kitale"
 
Kwa kweli nin kaka angu mmoja alianza kujenga kwa bajeti ndogo Sana mm Hadi kumkopesha laki tano za fundi kipindi hcho sas HV amekamilisha nyumba yake

Sas namm nimepanga acha nijilipue tu na hzo kamilion chamngu nakitegemeaa mahali

Hata ka contemporary inatoshaView attachment 2426400
Mjengo wake ndo huu?
 
asante mkuu, bahati njema kiwanja ninacho tayari!
Anza na materials za kutosha kujenga msingi tofali, kokoto, mchanga, nondo, cement

Kusanya nguvu anza kunyanyua hadi lintel na top coa hapo utahitaji kununua tofali, kokoto, nondo na cemt

Mdogomdogo wekeza kwenye materials za kupaua baada ya kupau huko kwingine utajua mwenyewe jinsi ya kumalizia
 
Anza na materials za kutosha kujenga msingi tofali, kokoto, mchanga, nondo, cement

Kusanya nguvu anza kunyanyua hadi lintel hapo utahitaji kununua tofali, kokoto, nondo na cemt

Mdogomdogo wekeza kwenye materials za kupaua boma likiwa tayari hadi kupauliwa huko kwingine utajua mwenyewe jinsi ya kumalizia
Hivi jamani naomba kufahamishwa,nn faida ya kale kamkanda ka chini kanakotenganisha Kati ya msingi na tofali la kozi ya kwanza!!!!?
Je ni muhimu kuweka na hako kamkanda!!!?
Asante.
 
Nanda kwa awamu ni nzuri.

awamu ya kwanza msingi na mkanda.

awamu ya pili unapandisha hadi kwenye madirisha.

awamu ua tatu linta na coz tatu za mwisho.

then vuta pumzi kwenye paa, hapo ndio mziki hili huwa linataka hela yote iwepo kulikamilisha.
 
Hivi jamani naomba kufahamishwa,nn faida ya kale kamkanda ka chini kanakotenganisha Kati ya msingi na tofali la kozi ya kwanza!!!!?
Je ni muhimu kuweka na hako kamkanda!!!?
Asante.
ile ni ground beam ni muhimu sana kwny msingi kazi yake kubwa ni kusambaza mzigo wa nyumba uniform kutoka kwny kuta ili kusitokee cocentration au kuzidiwa kwa mzigo sehemu moja ya msingi.

kama haitawekwa madhara yake makubwa ni nyumba kupata creki kuanzia chini kwny msingi endapo kutatokea settlement au kutitia kidogo kwa msingi

tena hako kamkanda kanafaa kawe ni reinforced concrete ( kasukwe nondo ndani) lisiwe zege tupu
 
ile ni ground beam ni muhimu sana kwny msingi kazi yake kubwa ni kusambaza mzigo wa nyumba uniform kutoka kwny kuta ili kusitokee cocentration au kuzidiwa kwa mzigo sehemu moja ya msingi kwahio madhara yake makubwa ni nyumba kupata creki kuanzia chini kwny msingi endapo kutatokea settlement au kutitia kidogo kwa msingi

tena hako kamkanda kanafaa kawe ni reinforced concrete ( kasukwe nondo ndani) lisiwe zege tupu
Shukrani Sana Kwa maelezo yako mazuri mkuu. Mfano nimejenga msingi wa mawe mwaka huu na naacha unyeshewe na mvua msimu mzima ili msingi uweze kutitia ama kujisimika vizuri.
Nisipoanza na kamkanda itaniathiri Sana!!!
 
Hivi jamani naomba kufahamishwa,nn faida ya kale kamkanda ka chini kanakotenganisha Kati ya msingi na tofali la kozi ya kwanza!!!!?
Je ni muhimu kuweka na hako kamkanda!!!?
Asante.
ile ni ground beam ni muhimu sana kwny msingi kazi yake kubwa ni kusambaza mzigo wa nyumba uniform kutoka kwny kuta ili kusitokee cocentration au kuzidiwa kwa mzigo sehemu moja ya msingi kwahio madhara yake makubwa ni nyumba kupata creki kuanzia chini kwny msingi endapo kutatokea settlement au kutitia kidogo kwa msingi

tena hako kamkanda kanafaa kawe ni reinforced concrete ( kasukwe nondo ndani)
 
Shukrani Sana Kwa maelezo yako mazuri mkuu. Mfano nimejenga msingi wa mawe mwaka huu na naacha unyeshewe na mvua msimu mzima ili msingi uweze kutitia ama kujisimika vizuri.
Nisipoanza na kamkanda itaniathiri Sana!!!
ndio bado madhara yanaweza tokea maana ardhi inamtindo wakufanya settlement baada ya mda fulani so ukiwa na kamkanda ikitokea settlement jengo zima lita settle kwa vi senti meter kadhaa bila kuadhirika wala kuonekana tofauti yoyote ila ukiwa huna hako kamkanda endapo jengo lita settle baada ya mda lazima uone crack kwny kuta zako
 
ndio bado madhara yanaweza tokea maana ardhi inamtindo wakufanya settlement baada ya mda fulani so ukiwa na kamkanda ikitokea settlement jengo zima lita settle kwa vi senti meter kadhaa bila kuadhirika wala kuonekana tofauti yoyote ila ukiwa huna hako kamkanda endapo jengo lita settle baada ya mda lazima uone crack kwny kuta zako
Mkuu unatema Sana madini na naomba usinichoke kwa maswali.
Pia vipi kuhusu kale kamkanda ka Renta kabla ya kuanza madirisha. Nayo hiyo Renta huwa na kazi gani!??? Je nikiweka kamkanda ka chini Haina haja ya kuweka kamkanda hako ka kabla ya madirisha,ama ninaweza nisiweke kamkanda ka juu ila nikaweka kamkanda ka juu!!??
 
- Ndio Wazo zuri.

- Ila isiwe in terms of physical items, ili kuepuka risk zinzoweza kujitokeza.

- Bali iwe in terms of USD

- Kivipi in terms of usd?? Fanya hivi.
1. Fungua account maalum ya USD,
- Account hii ya USD ina sifa hizi a] Haina makato kwa muda wote utakao hifadhi fedha yako kwa USD, b] Iwapo umeweka US $100 kama mfano, ikifika wakati wa kutoa utatoa hiyo hiyo $100 bila makato. kwa exchange rate ya wakati huo.

2. Chukulia lengo ni kununua BATI, basi fahamu bati zitaghalimu TZS ngapi, Then tafuta hicho kiasi husika cha kununulia bati, then nenda kahifadhi kwenye account yako ya USD, Weka Tick kwenye BATi kwamba tayari umefanya manunuzi ya Bati.

3. Endelea hivyo hivyo kwa kila unachotaka kununua, hadi unakamilisha ujenzi wako.

Faida ya kutumia benki account. Ni hii
  • Hakuna kuhofia kuibiwa bati zako au
  • Hakuna kuhofia kuharika au kuharibiwa kwa items kama Gypsum nk
Haijarishi utachukuamuda gani kufikia lengo, ila hakika fedha yako/material zako za ujenzi, itakuwa salama.

Je ni benki ipi yenye USD account na haina makato yeyote unapoweka na unapotoa fedha yako. Nenda FNB Bank, na gungua USD account aitakayouwezesha ku_save fedha yako tu. Na utatoa mara moja kwa mkupuo. Fanya utafiti zipo benki zingine zitakuwa na account kama hii niliyotolea mfano.

Kila lakheri
kwahyo akifungua local account kuna shida gani mpka alazimike kufungua USD account.
kama ni nidhamu ya matumizi ya pesa anayo hakuna haja

Sent from my SM-M307F using JamiiForums mobile app
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom