Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
je ni kwa mikoa ipi inapatikana?
vitu vinapanda bei kila uchao bora anunue asset zisizoharibika kwa urahisi- Ndio Wazo zuri.
- Ila isiwe in terms of physical items, ili kuepuka risk zinzoweza kujitokeza.
- Bali iwe in terms of USD
- Kivipi in terms of usd?? Fanya hivi.
1. Fungua account maalum ya USD,
- Account hii ya USD ina sifa hizi a] Haina makato kwa muda wote utakao hifadhi fedha yako kwa USD, b] Iwapo umeweka US $100 kama mfano, ikifika wakati wa kutoa utatoa hiyo hiyo $100 bila makato. kwa exchange rate ya wakati huo.
2. Chukulia lengo ni kununua BATI, basi fahamu bati zitaghalimu TZS ngapi, Then tafuta hicho kiasi husika cha kununulia bati, then nenda kahifadhi kwenye account yako ya USD, Weka Tick kwenye BATi kwamba tayari umefanya manunuzi ya Bati.
3. Endelea hivyo hivyo kwa kila unachotaka kununua, hadi unakamilisha ujenzi wako.
Faida ya kutumia benki account. Ni hii
Haijarishi utachukuamuda gani kufikia lengo, ila hakika fedha yako/material zako za ujenzi, itakuwa salama.
- Hakuna kuhofia kuibiwa bati zako au
- Hakuna kuhofia kuharika au kuharibiwa kwa items kama Gypsum nk
Je ni benki ipi yenye USD account na haina makato yeyote unapoweka na unapotoa fedha yako. Nenda FNB Bank, na gungua USD account aitakayouwezesha ku_save fedha yako tu. Na utatoa mara moja kwa mkupuo. Fanya utafiti zipo benki zingine zitakuwa na account kama hii niliyotolea mfano.
Kila lakheri
Hili nalo ni wazo jema. Ni vigumu kwa watu 100 wote kuwa na mawazo au mtazamo ulio sawa. Na ndio manufaa ya uwepo wa Jukwaa hili la JF.uchao bora anunue asset zisizoharibika kwa urahisi
Pamoja sana...Hili nalo ni wazo jema. Ni vigumu kwa watu 100 wote kuwa na mawazo au mtazamo ulio sawa. Na ndio manufaa ya uwepo wa Jukwaa hili la JF.
Mjengo wake ndo huu?Kwa kweli nin kaka angu mmoja alianza kujenga kwa bajeti ndogo Sana mm Hadi kumkopesha laki tano za fundi kipindi hcho sas HV amekamilisha nyumba yake
Sas namm nimepanga acha nijilipue tu na hzo kamilion chamngu nakitegemeaa mahali
Hata ka contemporary inatoshaView attachment 2426400
Anza na materials za kutosha kujenga msingi tofali, kokoto, mchanga, nondo, cementasante mkuu, bahati njema kiwanja ninacho tayari!
Hivi jamani naomba kufahamishwa,nn faida ya kale kamkanda ka chini kanakotenganisha Kati ya msingi na tofali la kozi ya kwanza!!!!?Anza na materials za kutosha kujenga msingi tofali, kokoto, mchanga, nondo, cement
Kusanya nguvu anza kunyanyua hadi lintel hapo utahitaji kununua tofali, kokoto, nondo na cemt
Mdogomdogo wekeza kwenye materials za kupaua boma likiwa tayari hadi kupauliwa huko kwingine utajua mwenyewe jinsi ya kumalizia
ile ni ground beam ni muhimu sana kwny msingi kazi yake kubwa ni kusambaza mzigo wa nyumba uniform kutoka kwny kuta ili kusitokee cocentration au kuzidiwa kwa mzigo sehemu moja ya msingi.Hivi jamani naomba kufahamishwa,nn faida ya kale kamkanda ka chini kanakotenganisha Kati ya msingi na tofali la kozi ya kwanza!!!!?
Je ni muhimu kuweka na hako kamkanda!!!?
Asante.
Spanish ni mambo ya kijinga?Kwenye tiles nunua mchina hata serikali wanatumia hizo kwenye majengo yao yote,usisumbuke na Spanish ni mbwembwe za kijinga
Shukrani Sana Kwa maelezo yako mazuri mkuu. Mfano nimejenga msingi wa mawe mwaka huu na naacha unyeshewe na mvua msimu mzima ili msingi uweze kutitia ama kujisimika vizuri.ile ni ground beam ni muhimu sana kwny msingi kazi yake kubwa ni kusambaza mzigo wa nyumba uniform kutoka kwny kuta ili kusitokee cocentration au kuzidiwa kwa mzigo sehemu moja ya msingi kwahio madhara yake makubwa ni nyumba kupata creki kuanzia chini kwny msingi endapo kutatokea settlement au kutitia kidogo kwa msingi
tena hako kamkanda kanafaa kawe ni reinforced concrete ( kasukwe nondo ndani) lisiwe zege tupu
ile ni ground beam ni muhimu sana kwny msingi kazi yake kubwa ni kusambaza mzigo wa nyumba uniform kutoka kwny kuta ili kusitokee cocentration au kuzidiwa kwa mzigo sehemu moja ya msingi kwahio madhara yake makubwa ni nyumba kupata creki kuanzia chini kwny msingi endapo kutatokea settlement au kutitia kidogo kwa msingiHivi jamani naomba kufahamishwa,nn faida ya kale kamkanda ka chini kanakotenganisha Kati ya msingi na tofali la kozi ya kwanza!!!!?
Je ni muhimu kuweka na hako kamkanda!!!?
Asante.
ndio bado madhara yanaweza tokea maana ardhi inamtindo wakufanya settlement baada ya mda fulani so ukiwa na kamkanda ikitokea settlement jengo zima lita settle kwa vi senti meter kadhaa bila kuadhirika wala kuonekana tofauti yoyote ila ukiwa huna hako kamkanda endapo jengo lita settle baada ya mda lazima uone crack kwny kuta zakoShukrani Sana Kwa maelezo yako mazuri mkuu. Mfano nimejenga msingi wa mawe mwaka huu na naacha unyeshewe na mvua msimu mzima ili msingi uweze kutitia ama kujisimika vizuri.
Nisipoanza na kamkanda itaniathiri Sana!!!
Mkuu unatema Sana madini na naomba usinichoke kwa maswali.ndio bado madhara yanaweza tokea maana ardhi inamtindo wakufanya settlement baada ya mda fulani so ukiwa na kamkanda ikitokea settlement jengo zima lita settle kwa vi senti meter kadhaa bila kuadhirika wala kuonekana tofauti yoyote ila ukiwa huna hako kamkanda endapo jengo lita settle baada ya mda lazima uone crack kwny kuta zako
kwahyo akifungua local account kuna shida gani mpka alazimike kufungua USD account.- Ndio Wazo zuri.
- Ila isiwe in terms of physical items, ili kuepuka risk zinzoweza kujitokeza.
- Bali iwe in terms of USD
- Kivipi in terms of usd?? Fanya hivi.
1. Fungua account maalum ya USD,
- Account hii ya USD ina sifa hizi a] Haina makato kwa muda wote utakao hifadhi fedha yako kwa USD, b] Iwapo umeweka US $100 kama mfano, ikifika wakati wa kutoa utatoa hiyo hiyo $100 bila makato. kwa exchange rate ya wakati huo.
2. Chukulia lengo ni kununua BATI, basi fahamu bati zitaghalimu TZS ngapi, Then tafuta hicho kiasi husika cha kununulia bati, then nenda kahifadhi kwenye account yako ya USD, Weka Tick kwenye BATi kwamba tayari umefanya manunuzi ya Bati.
3. Endelea hivyo hivyo kwa kila unachotaka kununua, hadi unakamilisha ujenzi wako.
Faida ya kutumia benki account. Ni hii
Haijarishi utachukuamuda gani kufikia lengo, ila hakika fedha yako/material zako za ujenzi, itakuwa salama.
- Hakuna kuhofia kuibiwa bati zako au
- Hakuna kuhofia kuharika au kuharibiwa kwa items kama Gypsum nk
Je ni benki ipi yenye USD account na haina makato yeyote unapoweka na unapotoa fedha yako. Nenda FNB Bank, na gungua USD account aitakayouwezesha ku_save fedha yako tu. Na utatoa mara moja kwa mkupuo. Fanya utafiti zipo benki zingine zitakuwa na account kama hii niliyotolea mfano.
Kila lakheri
ipo pia huku zambia, south Africa , botswana na nchi kadhaa...Naitumia pia kutuma hela Tz kwa makato madogoasante sana mkuu kwa taarifa hii nzuri, sikuwahi kuisikia kabla hii FNB Bank, je ni kwa mikoa ipi inapatikana?