JOAQUEM
JF-Expert Member
- Jul 28, 2012
- 2,019
- 1,665
Mwl kwanini FNB na sio banc abc kwa account ya usd?Hivyo ni salama na ni faida zaidi kutumia hiyo account maalum ya USD kuhifadhi fedha yako.
- Fedha yako inapungua kutokananna makato ya kila mwezi.
- Kuna makato pindi unatoa hiyo fedha yako.
- Thamani ya shilingi huwa inapungua ukilinganisha na dola | US $