Godee jr
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 1,782
- 2,373
Kuna jamaa yangu anahitaji malori ya tani 30 kwa akili ya kuchukua korosho masasi kuzileta kurasini.
Bei ni 70,000 kwa tani.
Malipo ni 50% wakati unaenda kupakia na iliyobaki mtalipana mzigo ukifika Dar. Dereva atakuwa na escort ya mwakilishi wa mtu mwenye mzigo.
Zinatakiwa gari zaidi ya kumi.
Ukiona biashara inakulipa please njoo PM tupeane contacts
Bei ni 70,000 kwa tani.
Malipo ni 50% wakati unaenda kupakia na iliyobaki mtalipana mzigo ukifika Dar. Dereva atakuwa na escort ya mwakilishi wa mtu mwenye mzigo.
Zinatakiwa gari zaidi ya kumi.
Ukiona biashara inakulipa please njoo PM tupeane contacts