Melanny
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 1,247
- 2,204
Habari wapendwa.
Karibuni tujifunze jinsi ya kutunza nywele zetu.
Mimi napenda sana nywele ndefu.kwa kushirikiana pamoja tunaweza kujuzana ni mafuta gani unapaka ,na stiming gani unatumia ili na wengine wajifunze
Kwa mimi nywele zangu zina miezi mitatu tangu nianze kusuka, kwa sasa nabana na mchicha unabaki mrefu tu. Natumia dawa ya dark &love ya box, natumia stiming yoyote yenye asali.
Huwa nalitach pindi ninapoona nywele zangu zimeotea,nikilitach nakata ncha.
Kila j.pili huwa naosha na kizifanyia stiming, zinarefuka kwa kweli.
Tunaomba nawe utupe njia unazotumia kutunza nywele zako tujifunze.
Amani iwe nanyi...
Karibuni tujifunze jinsi ya kutunza nywele zetu.
Mimi napenda sana nywele ndefu.kwa kushirikiana pamoja tunaweza kujuzana ni mafuta gani unapaka ,na stiming gani unatumia ili na wengine wajifunze
Kwa mimi nywele zangu zina miezi mitatu tangu nianze kusuka, kwa sasa nabana na mchicha unabaki mrefu tu. Natumia dawa ya dark &love ya box, natumia stiming yoyote yenye asali.
Huwa nalitach pindi ninapoona nywele zangu zimeotea,nikilitach nakata ncha.
Kila j.pili huwa naosha na kizifanyia stiming, zinarefuka kwa kweli.
Tunaomba nawe utupe njia unazotumia kutunza nywele zako tujifunze.
Amani iwe nanyi...