cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,303
Mimi sipendi kuweka dawa Ila Sina namna maana nywele kuchana zinanitoa machozi mie nikaona Bora tu niweke dawa Sasa hivi ziko mgongoni, na ninatumia shapoo ya olive, na steaming ya beckon naweka kila weekMimi dawa siweki kabisa. Nabana mchicha na ninatumia products za Cantu za natural hair. Wanakati mwingine napaka castor oil au Alovela oil.