Kwa wenye HIV/AIDS pata CD4 booster uishi kwa kujiamini

Ta Muganyizi

R I P
Oct 19, 2010
5,361
2,732
Kwa wale wote wanaoishi mkoa wa Kagera hasa Bukoba Mjini kuna dawa nzuri sana yenye mchanganyiko wa matunda, virutubisho maalum vyenye uwezo wa kupandisha CD4 kwa wiki moja baada ya kuitumia.
Dawa hiyo haisindikwi wala kuwekwa preservatives. Inatengenezwa pale mteja anapopoihitaji na inanywewa ndani ya masaa matano.

Kwa wanaohitaji wasiliana na ndugu:-

Samwel. S
+255754 082 309
Bukoba Kashai.
 
TFDA Njooni huku,maana kuna mtu anavunja sheria za nchi,Kwanza umesajiliwa wewe? au unataka kuwalisha watanzania dawa/chakula ambayo haijathibitishwa?,Wee umesikia mwenzako dokta mwaka amefungiwa wee ndo unaibuka huku.Tafadhali nenda TFDA kapate ithibati ya hiyo booster yako halafu ndio uje hapa ukiwa kamili.
 
TFDA Njooni huku,maana kuna mtu anavunja sheria za nchi,Kwanza umesajiliwa wewe? au unataka kuwalisha watanzania dawa/chakula ambayo haijathibitishwa?,Wee umesikia mwenzako dokta mwaka amefungiwa wee ndo unaibuka huku.Tafadhali nenda TFDA kapate ithibati ya hiyo booster yako halafu ndio uje hapa ukiwa kamili.
watu tumezaliwa tunakunywa mshana na inauzwa katikati ya majiji tumekua na krti ya aliyekunywa mshana hiyo ni vice counselor wa UDSM leo ndo unaona kitu inaitwa TFDA? Mambo ya HIV ni hiari kila mtu anatafuta survival. Nambie wewe umeishi na VVU kwa miaka mingapi sasa???
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom