Mulangila Mukuru
JF-Expert Member
- Feb 24, 2010
- 1,945
- 724
wadau nina mtoto wangu mdogo mwenye umri wa miaka 4 wakati huo mama yake ana ujauzito wa miezi 7 kama cku 7 zilizopita dogo aliaonyesha dalili za kuugua nikampeleka hospitali akakutwa na Maralia ingawa alipewa dawa na ana onyesha kupona lakini hataki kula mpaka kwa kumlazimisha kitu amabacho si kawaida yake,sasa katika kuongea na Mama yangu mzazi akaniambia eti mama mjamzito hatakiwi kukaa anamshikashika mtoto anayetarajia kumfuatisha kwa kuwa huwa inamletea madhara na akaniambia ndo kinamkuta mwanangu...sasa wazazi je hili jambo ni kweli lipo? na kama lipo nini dawa yake?