fidel castro wapili
JF-Expert Member
- Mar 18, 2017
- 3,289
- 2,697
Mshana Jr. Ubarikiwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuwashwa usiku husababishwa na ugonjwa unaitwa Scabies, kujikuna ni usiku tu, maeneo ya mapajani, makalioni na hata sehemu za siri, mwanangu aliumwa uo ugonjwa nilihangaika sana ingawa na mimi ni Dr, ila nilivogundua alipona fasta sana tu.ni wiki ya tatu mwanangu miaka2 analia usiku kuanzia saa Nane usiku hadi Kumi alfajiri.
Anawashwa mwili Mzima, anajiKuna namsaidia nashindwa. Msaada Jamani. Mchana yuko salama Akicheza na Watoto wengine bila shida. Akilala mchana analala bila shida. Lkn by saa 8 -10 usiku lazima aamke alijikuneeee analiaaaa sanaaaa.
Madaktar wanasema Anasurua..hiv wakuu Surua hukaa Muda gani na je inawasha. Help
Asante kwa elimu na maarifa... Barikiwa sanaKuwashwa usiku husababishwa na ugonjwa unaitwa Scabies, kujikuna ni usiku tu, maeneo ya mapajani, makalioni na hata sehemu za siri, mwanangu aliumwa uo ugonjwa nilihangaika sana ingawa na mimi ni Dr, ila nilivogundua alipona fasta sana tu, Nilitumia dawa moja inaitwa BBE, halafu na ya kuzuia kuwashwa inaitwa calamine lotion zinapatikana TZ yote kwa bei ndogo tu.
Hapati maji ya kunywa ya kutosha.. Jaribu kumpa maji mengi hiyo hali itapotea kabisaMwanangu mwenye umri wa miezi 9 anakojoa mkojo wa njano kiasi kwamba anaweka rangi ya njano iliyofifia kwenye bukta nyeupe anayovaa...
Na mkojo wenyewe watoa harufu kali sana ya mkojo...!
Je, kuna tatizo kweli hapo...? Na kama lipo...ni lipi tatizo hilo...?
Na tunalitatuaje naombeni mawazo yenu...
Inshaa Allah...basi nitalifanyia kazi hilo...Hapati maji ya kunywa ya kutosha.. Jaribu kumpa maji mengi hiyo hali itapotea kabisa
Matarajirio ya ujanani na hofu ya umiliki... Lakini pia unapaswa kukaa naye chini muongee kwa kina ... Kwa msaada zaidi pitia mada hiiJamani Msaada Nina Kijana Wangu Anamiaka 21 Anasoma Bsc
Kutwa Kutwa Anasumbua Nimnunulie Kiwanja Msaada Jamani Nimpe Jibu Gani Mbona Bado Mapema ..
Salama Mkuu.Niambie kaka.. Kwema?
Shusha nondo kwasababu elimu ya namna ya kumkea mtoto ikitolewa vyema itasaidia sana Jamii nzima kuwa na uangalifu kwa ujumlaWengi wetu humu tunalea ama watoto wetu ama watoto wa ndugu jamaa na marafiki.
Tumekuwa na mada maalum nyingi za mambo tofauti kama urembo magari simu n.k. lakini hatujawahi kuwa na mada hii maalum ya watoto.
Kumlea mtoto tangu kutungwa kwa mimba mpaka kuzaliwa na hatimaye kulelewa mpaka kuvuka kile kipindi cha hatari si jambo dogo.
Changamoto ni nyingi hasa na zingine hatujui jinsi ya kuzitatua lakini tukiwa na hii mada hapa jukwaani tutashirikishana na kujuzana mengi kwa haraka na uhakika zaidi.
Kuna vitu vidogo vidogo ambavyo havihitaji daktari au ufumbuzi wake ni kama huduma ya kwanza kabla hujapata usaidizi mwingine. HII NI TOFAUTI NA JF DOCTOR.
Kwa mfano, ufanyeje;
-Mtoto anapolialia
-Mtoto anapopata gesi tumboni
-Mtoto anapopaliwa kila akila chochote
-Mtoto anaposhtuka shtuka usiku na kulia sana nk k
Hatari zimnyemeleazo mtoto;
-Umeme
-Maji
-Moto
-Mwanga wa Tv
-Simu, mawimbi yake
-Vyombo na vitu mbalimbali
-Madawa na vipodozi nk nk
Hii ni mada pana yenye mambo mengi mno.
Kwa mfano kitunguu saumu ni tiba kwa mtoto anayelia na kushtuka usiku, Kijiko cha asali ni tiba kwa mtoto anayekohoa mfululizo (ukiacha kifua na mafua), Vitu kama mahirizi ya kiunoni na mkononi havimsaidii mtoto, Muda mwingi kumvalisha mtoto nguo nyingi humsababishia nimonia n.k.
Mambo ni mengi...
IKIWAPENDEZA ITAKUWA NI MADA MAALUMU YA WATOTO..
Mlee mtoto katika njia impasayo naye hataiacha..!