kamwendo
JF-Expert Member
- Apr 19, 2012
- 881
- 1,852
Habari Ndugu Wana Jukwaa
Naomba msaada wa kujuzwa utaratibu wa mtumishi kuomba kwenda kusoma maana nimeambiwa inahitajika admission number ya chuo unachoenda kusoma ilihali udahili bado haujafunguliwa.
Je, wenzangu mlifanya nini kupata admission number mapema kabda udahili haujuaanza. wakati maombi ya kwenda kusoma ni lazima yawasilishwe maoema.
kwa wenye kujua naomba mtujuze utaratibu ulivyo
Naomba msaada wa kujuzwa utaratibu wa mtumishi kuomba kwenda kusoma maana nimeambiwa inahitajika admission number ya chuo unachoenda kusoma ilihali udahili bado haujafunguliwa.
Je, wenzangu mlifanya nini kupata admission number mapema kabda udahili haujuaanza. wakati maombi ya kwenda kusoma ni lazima yawasilishwe maoema.
kwa wenye kujua naomba mtujuze utaratibu ulivyo