Kwa watu wa movie tu: Wazungu wanajua jamani. I can't watch Blacks

Mim naangalia sana movie had najihis perhaps my call was to be a movie director or something

Ila sasa movie za wenzangu weus.huwa napata shida sana.hazina uhalisia yaan katika acting ..naona hawawez kabisa.ni blacks wachache sana wanajua..labda sabab jamii zetu weus ziko nyuma kimaendeleo..i dont know...ila siwez kaa naangalia movie serious za blacks..especialy zile production za tyler perry..siwez.naona kama bongo movie yan..

Wel hzo bongo movie or nigerian ndo kabisaaa.siwez hata thubutu...

Soooo..nihitimishe kusema kwamba wazungu wame wekeza jaman kwenye nyanja zote...hatuna budi kufanya hvyo nasis blacks

Oh nilisahau.na wahind or korea or china pipo.siwez watch movie hzo....

Uzi tayar....(zingatia...nna shots kadhaa za vodka hapa)
Sisi blacks hatuigizi........tunafanya kweli!
 
Acrimony safi sana ile iko safi, je confension of a married counsellor, why did I get married 1 and 2.

Ila kuna movie nyingie za wazungu za kiboya sana. Mfano kuna movie imetoka mwaka huu inaitwa The Courier ni ya kibwege sana yani ya kiboya sana. Mimi hata movie za ma super heroes sizipendi
Tatizo muvi za masuper heroes ndio zinazoonekana ndio movies kumbe utoto tu hakuna uhalisia wowote Bora animation

Kuna ile ingine Tyler Perry akitoa inahusika na lawyer asie na experience anaenda kumtetea mama mmoja aliefunga maisha kwa kuua boyfriend wake tapeli
 
Umemkosea heshima tyler perry.... Nenda katazame if loving you is wrong... Ukiwa katikat nenda kacheck haves and haves not.. Kabla hujamliza nenda kacheck the ovals

Ikimaliza hzo series bila shaka utakuja ku edit uzi wako..
Hivi wapi naeza danlod haves amd have nots
 
Tayler Perry ile habari nyingine unless kama unaongelea zaidi movie za action ndizo kwako nimovie. Ila Tayler Perry yuko safi sana.Movie mimi ambazo zilikuwa zinanikera ni za uganster wakizamani kama Juice, sijui chains n.k. Ila movie za siku kama series ya Power ile ilikuwa safi sana, movie za Tayler Perry kama Acronym safi sana. Tazama movie za Denzel Washington, Acting ya Peter Mensah, Iman Taraj, Djimon Housou, Morgan Freeman ni hatari tupu

Mkuu.morgan freeman ni level nyingne.hata ma director wanao mu aproach ni level nyingne..huwez mweka sahan moja na kina kelvin hart au actin za kina 50 cent sjui power etc...mi nawaelewa chipukiz wachache black...nawakubal sana wakongwe black kama kina cuba goodings..na wale blacks wasiokua na majina huwa wako vzur snaa.weng wametokea college za art..mim skatai kwamba perry yuko vzur..yuko vzur kwa level yake..ila wazungu mjomba ni level nyingne..na siongelei movie za action mkuu usinishushe hadhi...hzo hzo movie za kawaida mfano angalia movies kama design ya we are the millers.halaf angalia uhalisia wa wahusika humo..wazungu ni level nyingne..sis weus tunaitaj ku apreciate na kujifunza
 
Acrimony safi sana ile iko safi, je confension of a married counsellor, why did I get married 1 and 2.

Ila kuna movie nyingie za wazungu za kiboya sana. Mfano kuna movie imetoka mwaka huu inaitwa The Courier ni ya kibwege sana yani ya kiboya sana. Mimi hata movie za ma super heroes sizipendi
Hzo why did i get married ndo movies ambazo siwez angalia sasa..naziona kama bongo movie
 
Mkuu.morgan freeman ni level nyingne.hata ma director wanao mu aproach ni level nyingne..huwez mweka sahan moja na kina kelvin hart au actin za kina 50 cent sjui power etc...mi nawaelewa chipukiz wachache black...nawakubal sana wakongwe black kama kina cuba goodings..na wale blacks wasiokua na majina huwa wako vzur snaa.weng wametokea college za art..mim skatai kwamba perry yuko vzur..yuko vzur kwa level yake..ila wazungu mjomba ni level nyingne..na siongelei movie za action mkuu usinishushe hadhi...hzo hzo movie za kawaida mfano angalia movies kama design ya we are the millers.halaf angalia uhalisia wa wahusika humo..wazungu ni level nyingne..sis weus tunaitaj ku apreciate na kujifunza
Ndiyo maana sijamtaja Kelvin Hart in My list, lakini hao wengine niliowtaja ni level nyingine.
 
Hzo why did i get married ndo movies ambazo siwez angalia sasa..naziona kama bongo movie
Basi wewe utakuwa movie za story huzipendi, mimi mwenyewe sijawahi kuziangalia ila nimependa Acrimony, nilipenda confession of the marriagege counsellor. Vipi movie ama coming to America?
 
Avnger Endgame bajeti yake $356 Million. Pesa inayoweza kututoa kwenye umaskini watanzania wote imewekwa kwenye Muvi.
Bongo kuna muvi hata mil 10 Tsh?
Unakosea mkuu.. usd 356 Million ndo ya kututoa kwenye umasikini wabongo wote? Hiyo ni pesa kidogo bana ijapokuwa ni nyingi kwa pdn ya movie moja
 

Angalia studio za tyler perry alafu rudi u edit uzi wako
Mim naangalia sana movie had najihis perhaps my call was to be a movie director or something

Ila sasa movie za wenzangu weus.huwa napata shida sana.hazina uhalisia yaan katika acting ..naona hawawez kabisa.ni blacks wachache sana wanajua..labda sabab jamii zetu weus ziko nyuma kimaendeleo..i dont know...ila siwez kaa naangalia movie serious za blacks..especialy zile production za tyler perry..siwez.naona kama bongo movie yan..

Wel hzo bongo movie or nigerian ndo kabisaaa.siwez hata thubutu...

Soooo..nihitimishe kusema kwamba wazungu wame wekeza jaman kwenye nyanja zote...hatuna budi kufanya hvyo nasis blacks

Oh nilisahau.na wahind or korea or china pipo.siwez watch movie hzo....

Uzi tayar....(zingatia...nna shots kadhaa za vodka hapa)
 
Basi wewe utakuwa movie za story huzipendi, mimi mwenyewe sijawahi kuziangalia ila nimependa Acrimony, nilipenda confession of the marriagege counsellor. Vipi movie ama coming to America?
Mjomba.comming to america ni level nyingne..hata wazungu walishangaa eddie kadirect vip ile kitu...wengne wana vipaj vilivyopitiliza..na mpaka leo eddie hajawai toa succesfull movie kama ile tena maishan mwake.inshort hakuna black alietoa movie kal kama ile tena had leo.
 

Angalia studio za tyler perry alafu rudi u edit uzi wako
Hujaelewa uzi mkuu.kaa pemben....
Unaweza ukawa na simu kal ya gharama na usijue kuitumia.....ndo hvo unakua na studio world class lakin una tu directia vtu kama madea etc.total joke.anajitahid lakin bado sana...siongelei uwekezaj wa studio .naongelea vipaj katika actin na directives,,,weus bado.hata actor wao bado.ni kama bongo movie au nolywood tu..mi binafsi kunikuta serious naangalia hzo makitu ni nadra sana
 
Mjomba.comming to america ni level nyingne..hata wazungu walishangaa eddie kadirect vip ile kitu...wengne wana vipaj vilivyopitiliza..na mpaka leo eddie hajawai toa succesfull movie kama ile tena maishan mwake.inshort hakuna black alietoa movie kal kama ile tena had leo.
Ile movie ya 88 lakini mpaka leo naitazama na siichoki. Nna mashaka Tayler Perry na coming 2 ameerica tu wataharibu kabisa. Sidhani kama wata meet vigezo
 
You can't believe, THE MATRIX na TERMINATOR zimeandikwa na mwana mama muamerika mweusi.Acha kudharau mkuu, weusi wamenyimwa fursa.Imagine hadithi za shabani Robert zinafanyiwa movie za kiwango nani duniani hatozipenda, hadithi kama AKAJASEMBAMBA nani hatoipenda duniani Tatizo matajiri wa Afrika wanadhani utajiri upo kwenye Madini,magari, kilimo basi sekta za Sana'a IT hawana mda nazo.Matajiri ndio wanaweza kuibadili sekta ya bongo movie kwa kujenga majumba makubwa vijiji, mahelikopta nk.Inawezekana.Mbeleni mambo yatakuwa mazuri kwa sababu Afrika inajengwa.Imagine WAKANDA CITY, AKON city, Ile city ya Rwanda zitakapokamilika, Kutakuwa na sehemu nzuri za kufanyaia movie.
Tatzo sio location, tatzo lipo kwenye uwekezaji na technology yetu ipo chini sana, hiv unaweza amin kuwa wakanda kingdom haipo ama titanic haikuchezewa Baharin? Tatzo tukianza kutumia technology za VFX tutafanya vizur zaid
 
Alaf movie zetu nyingi tunaangalia umaarufu wa mtu sio ubora wa character katika kipengele husika. Lakin kwa wenzetu watu wanapigishwa interview kama wanaimba kaz vile mfano wonderwomen walikuwa waigizaji wengi na maarufu lakin akapita gal gadot
 
Mtumwa alieikubali hali yake lazima aone bwanae ni bora kwa kila kitu,
Haishangazi.
 
Mkuu blacks kwenye movies za hollywood wanatisha mbaaaya. Yaani nawakubali kinoma.
Pia kuna movie za turkish aseeee zina uhalisia sana wanakuja vizuri.
 
Back
Top Bottom