Chilemba wamela pamputi
JF-Expert Member
- Jan 10, 2019
- 468
- 486
Habari za humu wakuu, wadogo marhaba na wakubwa wote shikamoni.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nina gari yangu inasumbua ni automatic. Yaani ukiwa unaendesha unasikia kama inakuvuta nyuma au kama umebonyeza break, unaenda kwa muda inaachia tena, sasa hivyohivyo kwa kujirudia rudia.
Naomba mwenye uelewa wa tatizo anisaidie au aliyewahi kukutana na tatizo hilo pia inasasidie,
Nataizya saana.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nina gari yangu inasumbua ni automatic. Yaani ukiwa unaendesha unasikia kama inakuvuta nyuma au kama umebonyeza break, unaenda kwa muda inaachia tena, sasa hivyohivyo kwa kujirudia rudia.
Naomba mwenye uelewa wa tatizo anisaidie au aliyewahi kukutana na tatizo hilo pia inasasidie,
Nataizya saana.