kwa wataalamu wa simu:naombeni mnipe sifa ya simu za WINDOW PHONES

de98

JF-Expert Member
Aug 13, 2017
732
742
kwa yeyote anaejua au anafahamu
naomba mnipatie sifa za hizi simu hasa katika utumiaji na ubora wake au udhaifu(kasoro) za hizi simu janja.
 
kwa yeyote anaejua au anafahamu
naomba mnipatie sifa za hizi simu hasa katika utumiaji na ubora wake au udhaifu(kasoro) za hizi simu janja.


Sifa za windows phone:
- Uniqueness: hapo unaweza kujikuta katika watu 50 ni wewe peke yako ndio mwenye windows phone.
- GOOD RAM management: ukilinganisha na Android , simu ya windows yenye RAM 1GB ina perform smoothly kuliko simu ya nadroid yenye 1Gb RAM na processor speed inayofanana.
- Live Tiles na Theme color: Hapo utafurahia tiles zinazobadilika badilika zenyewe kwenye home screen ya simu zikiwemo habari (News), Gallery photos, Contact images etc, kwa wakati wote unapokuwa kwenye home screen.
- Ku stack(Freeze) si rahisi: simu ya windows ni ngumu sana kukuta inastack.
-Cortana: huyu assistant yuko vizuri sana kuliko ile ya google, anakaribiana na yule wa iPhone.

Hasara za windows Phone;
- Apps ni chache sana kwenye store
-free apps ni chache
-Windows phone 8.1 support ilishapita, hivyo ni lazima u update to windows 10 ambayo inahitaji resources zaidi ikiwemo RAM, Processor nzuri, na battery nzuri kuliko win 8.1/8.1 update. kinyume na hapo simu itakuwa nzito.
- Windows phone Support will end soon, december, na Microsoft ameshauri watumiaji wa hizo simu wahamie kwenye simu zenye support zaidi kama vile android na iphone
 
Maelezo ya huyo jamaa hapo yamejitosheleza nakushauri ingia kwenye Android mkuu huku kwenye window phone utasumbuka
 
Back
Top Bottom