sexologist
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 2,283
- 976
Nina maswali mawili:
1) Waziri mkuu akiwa karibu na sehemu yake ya kukwaa pale jukwaani, anasalimiana na wageni mbalimbali, akiwa anaendelea na zoezi hilo, baadhi ya viongozi waliokwisha salimiwa wanaamua kukaa, kabla ya Waziri mkuu, ni sahihi?
2) Mke wa Rais kuingia uwanjani na msafara wake binafsi (sio wa Mh. Rais) tena baada ya viongozi wengine wa juu wakiwa wameingia. Je ni sahihi? Na yeye ana nafasi gani ya kiuongozi serikalini?
3) Wake wawili wa Makamu wa Rais kuwepo wote uwanjani kiserikali, tena nao kwa msafara wao binafsi, ni sahihi?
NAWASILISHA
1) Waziri mkuu akiwa karibu na sehemu yake ya kukwaa pale jukwaani, anasalimiana na wageni mbalimbali, akiwa anaendelea na zoezi hilo, baadhi ya viongozi waliokwisha salimiwa wanaamua kukaa, kabla ya Waziri mkuu, ni sahihi?
2) Mke wa Rais kuingia uwanjani na msafara wake binafsi (sio wa Mh. Rais) tena baada ya viongozi wengine wa juu wakiwa wameingia. Je ni sahihi? Na yeye ana nafasi gani ya kiuongozi serikalini?
3) Wake wawili wa Makamu wa Rais kuwepo wote uwanjani kiserikali, tena nao kwa msafara wao binafsi, ni sahihi?
NAWASILISHA