Kwa wale wataalam wa afya, nina maswali naomba nipatiwe majibu.
1. Je, ni kweli wanapopima virusi vya Covid-19 huwa wanachukua damu?
2. Kama jibu ni ndio, kwa hiyo hawa virusi wapo kwenye damu?
3. Kama wapo kwenye damu, wanawezaje kufa kwa kujifukiza mvuke?
4. Kipi kinacho wasabisha waishi kwa muda mrefu? Chakula chao ni nini?
5. Je, hawa virusi wanaosababisha mafua ya kawaida ni aina gani ya virusi? Wanatofauti gani na hawa?
1. Je, ni kweli wanapopima virusi vya Covid-19 huwa wanachukua damu?
2. Kama jibu ni ndio, kwa hiyo hawa virusi wapo kwenye damu?
3. Kama wapo kwenye damu, wanawezaje kufa kwa kujifukiza mvuke?
4. Kipi kinacho wasabisha waishi kwa muda mrefu? Chakula chao ni nini?
5. Je, hawa virusi wanaosababisha mafua ya kawaida ni aina gani ya virusi? Wanatofauti gani na hawa?