Kwa wataalam wa pikipiki tu

fikirini

Senior Member
May 24, 2011
114
22
Ndugu zangu naomba mnisaidie ni aina gani ya pikipiki ambayo ni imara kwa mazingira ya kila namna hasa vijijini, nahitaji kujua kabla ya kuingia madukani. Ni vyema kama mtanidokeza pia bei yake kwa wale mtakaokuwa na uelewa.

Asanteni sana
 
Unataka mchina au original?piki piki nyingi za kichina ka sunlg na nduguze si imara sana.ila kama unataka piki piki imara andaa kuanzia 5M Hapo utapata XL,DT,SUZUKI,YAMAHA, ambazo ni imara.je wewe umependa zipi?kama ni mchina sema nikupe chaguo.na kama ni original sema nikupe chaguo pia.Nina uzoefu na piki piki aina zote hizo.
 
Mkuu kwa sasa ni mchina tu ndio anafaa Sung LG
Spear za kumwaga
Ipo reasonable sana katika fuel consumption
Bei rahisi
Sio mbovu sana na zinatengenezeke kirahisi

Lakini pia kuna Suzuki, Honda, Yamaha,
Hizi ni imara zaidi
spaea zinasumbua kidogo
Bei imesimama kimtindo (kama ya vitz au starlet)

 
asante mkuu, hivi hizi sun lg hazina matoleo? i mean ipi ni latest model kwa sasa na je ni imara kuliko matoleo yaliyotangulia?
Mkuu kwa sasa ni mchina tu ndio anafaa Sung LG
Spear za kumwaga
Ipo reasonable sana katika fuel consumption
Bei rahisi
Sio mbovu sana na zinatengenezeke kirahisi

Lakini pia kuna Suzuki, Honda, Yamaha,
Hizi ni imara zaidi
spaea zinasumbua kidogo
Bei imesimama kimtindo (kama ya vitz au starlet)

 
Mkuu kwa vijisenti nilivyonavyo sasa naomba unipe ushauri wa hizo kichina tu, baadaye nitaona kama nitaweza opt hizo original

Unataka mchina au original?piki piki nyingi za kichina ka sunlg na nduguze si imara sana.ila kama unataka piki piki imara andaa kuanzia 5M Hapo utapata XL,DT,SUZUKI,YAMAHA, ambazo ni imara.je wewe umependa zipi?kama ni mchina sema nikupe chaguo.na kama ni original sema nikupe chaguo pia.Nina uzoefu na piki piki aina zote hizo.
 
Mkuu kwa vijisenti nilivyonavyo sasa naomba unipe ushauri wa hizo kichina tu, baadaye nitaona kama nitaweza opt hizo original
<br />
<br />
NUNUA SUNLG NDUGU YANGU!lita 1 unatumia km 35 hadi 40. Pia gharama za matengenezo ni rahisi sana,spea bei cheee.Naitumia sunlg toka 2009 mpaka leo ipo nondo.bei kwa sasa ni kuanzia 1.4M
ukiitunza inakutunza..ila kuwa mwangalifu zinaua sanaaaa.
 
Bro last 2 weeks Sun LG kkoo ilikuwa inauzwa 1.8M kwa mchina ndio toleo lililosimama zaidi, pia Kuna TBETTER C 150, sio mbaya haipishani sana na sun lg yenyewe inauzwa 1.6M kwa toleo la mwanzo na 1.7M kwa new model ambayo imesimama balaa
 
Unataka mchina au original?piki piki nyingi za kichina ka sunlg na nduguze si imara sana.ila kama unataka piki piki imara andaa kuanzia 5M Hapo utapata XL,DT,SUZUKI,YAMAHA, ambazo ni imara.je wewe umependa zipi?kama ni mchina sema nikupe chaguo.na kama ni original sema nikupe chaguo pia.Nina uzoefu na piki piki aina zote hizo.
Samahani hivi pikipiki aina ya Yamaha dt 125 spea zake zinapatikana?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom