Kwa Wataalam wa magari

Charger umejibu vizuri sasa sijui ubishi upo wapi hapo nadhani kaka jambazi umemuelewa vema
 
Mi nadhani inatofautiana katika Turbo.
Both satrlet na basi yana turbo lakini uwezo wa turbo ya basi ni mkubwa kuliko ya starlet.
soma hapa chini kuhusu Turbo.

A turbocharger, or turbo, is a gas compressor that is used for forced induction of an internal combustion engine. A form of supercharger, the turbocharger increases the density of air entering the engine to create more power. A turbocharger has the compressor powered by a turbine which is driven by the engine's own exhaust gases rather than direct mechanical drive. This allows a turbocharger to achieve a higher degree of efficiency than other types of forced induction compressors which are more vulnerable to parasitic loss.

TURBO ni kitu kinachoongezewa kwenye gari na mara nyingi huandikwa ubavuni. si kila gari lina turbo ndugu yangu

kuna TURBO (kuongeza uwezo kwenye inlet and outlet valves) na INTERCOOLER (kupooza oil) ambavyo vinaongezeka ili kuipa gari nguvu za ziada angalia kwenye Pajero nyingi na malori

speed ni ile ile lakini ukumbuke kuna spedometer nyingine zinachakachuliwa hasa za mabasi
 
Kifizikia vipimo vya mwendokasi haviwezi kutofautiana, kama ni km 80 kwa saa inabaki vilevile kwa kitu chochote kinacokwenda kwa kasi hiyo. Tofauti tunayoweza kuikuta kwenye magari ni amabayo speedometer zake zinaonyesha kasi sawa wakati kasi halisi inatofautiana inawez kutokana na sababu kama vile kutofanya kazi vizuri kwa speedometer au kubadilika kwa baadhi ya vigezo vilivyotumika kupimia mwanzoni.
Kuna kitu wataalamu wanaita standard calibration, ambayo inategemea mzunguko wa ingine, msuguano (friction/resistance) ya mahali chombo kinapotembelea (surface) na ukubwa wa tairi. Ikitokea kwamba mtu amebadili tairi, mfano standard zilikuwa inchi 15 akaweka za inchi 17 bila kufanya upya calibration, speedometer inaweza kusoma 80km/h wakati in reality gari inaenda 100km/h.
 
Ujue speedmeter inachukua vipimo from the end part of gearbox, maanake ule mzunguko baada ya kutoka kwenye engine, kupitia kwenye gear itakayokua inatumiwa kwa wakati huo, from gearbox propeller shaft ineconnect kwenye diff na kugeuzwa dirrection kwa 90 degrees kwenda kwenye matairi, sasa hii part kutoka kwenye gearbox mpaka tairi linapogusa surface ndizo zinazotofautiana kati ya starlet na mabasi, obvious gear wheels diameter katika diff za starlet ni ndogo kuliko za basi hivyo tayari kunakupishana kwa mzunguko na pia diameter za matairi zinapishana na hivyo tena kutofautisha mzunguko ndio maana speedmeter zinaweza kuwa zinasoma sawasawa ila mwendo halisi ukapishana.
 
Back
Top Bottom