Hujui unachoongea, viongozi wakuu karibu wrote wametokea familia duni , anzia Magu, kikwete, Mkapa mpaka Mwinyi. Ni watu walio pambana wenyewe hadi wakafika hapo.Familia za kimasikini ambazo hazina Godfathers kule juu watoto wetu wataendelea kula nyasi
Alikuwa ameolewa kumbe kabla ya huyu?Nasikiasikia hakuwa na mtoto, ila mke wake ndio ana watoto kwa mume wake wa kwanza.
Kwa taarifa zilizopo, marehemu alinunua shamba lililovunwa mara moja bila yeye kujua. Akalima kwa mafanikio mara mbili, akaja kuambiwa kuna zao kutoka shambani kwako liko stoo, akamjua mkulima aliyemtangulia basi haikuwa tabu.Nasikiasikia hakuwa na mtoto, ila mke wake ndio ana watoto kwa mume wake wa kwanza.
Hao ni wajukuu bila shaka?
Aliye maarufu ni huyo aliyesoma chuo cha kikuu. Wengine sidhan kama wanafahamika uraiani. Ben na Magu wanafanana sana kwenye mambo fulani fulani. Ni watu wa siri siri sanaMmoja kapiga Udom wakike
Hawa ni wajukuu?
Hajui kama baba yake jk alikuwa DC kipindi cha ukoloniUmjui kikwete wewe
Kwa taarifa zilizopo, marehemu alinunua shamba lililovunwa mara moja bila yeye kujua. Akalima kwa mafanikio mara mbili, akaja kuambiwa kuna zao kutoka shambani kwako liko stoo, akamjua mkulima aliyemtangulia basi haikuwa tabu.
Nirudi kwenye mada, mtoto wake mmoja kati ya wawili, alioa wakati marehemu akiwa bado raisi na nakumbuka alienda kutoa mahari/uvishwaji wa pete ya uchumba kwa usafiri wa Hiace dungu akikaa mbele na wanafamilia nyuma.
Kijana alisoma Harvard, akaoa mtoto wa Jaji aliyekuwa naye chuoni Harvard pia.
Tafuta clip ya mahafali udom mwaka jana, degree ya pili yuko binti Jesca alitwa jina mama yake alikuwepo japo mzee alikuwa mgeni rasmi ila ailishamaliza akawahi kuondokaWatoto wa Jpm umewahi kuwaona ?
😂😂😂😂😂Siti ya mbele wakati mmeunganishiwa uzi! Mmetupwa hadi siti za katikati haha