Samwel Ngulinzira
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 1,829
- 1,958
Njia nayotumia kupika wali
1. Naandaa maji Mara 2 ya mchele. Kama mchele ni kikombe kimoja maji naweka viwili
2. Nachemsha maji, yakichemka naweka chumvi hadi iyeyuke.
3. Naweka mafuta nakoroga vizuri ili mafuta yasishikane.
4. Naweka mchele ila sifuniki sufuria. Nahakikisha kiasi cha moto sio kikubwa. Maji yakianza kukaukia nafunika sufuria hadi wali uive.
Uwezekano wa kupata wali mzuri ni 60%
1. Naandaa maji Mara 2 ya mchele. Kama mchele ni kikombe kimoja maji naweka viwili
2. Nachemsha maji, yakichemka naweka chumvi hadi iyeyuke.
3. Naweka mafuta nakoroga vizuri ili mafuta yasishikane.
4. Naweka mchele ila sifuniki sufuria. Nahakikisha kiasi cha moto sio kikubwa. Maji yakianza kukaukia nafunika sufuria hadi wali uive.
Uwezekano wa kupata wali mzuri ni 60%