Emmanuel041
Senior Member
- Dec 4, 2017
- 109
- 115
POST ILISHAFUTWA
Ulitumia kilevi chochote???? Mbona inaeleweka sema we ndo hujaelewa na sio video haielewekiMkuu video haieleweki sana sana nimeenjoy beat tu(background)
safi Watu Wengine bhana Kowakomesha hivo tuUlitumia kilevi chochote???? Mbona inaeleweka sema we ndo hujaelewa na sio video haieleweki
Nahisi ulikuwa unaitazama ukiwa na usingiziMkuu video haieleweki sana sana nimeenjoy beat tu(background)
Sasa ulitaka uenjoy Beat au kutizama video na kuielewa?Mkuu video haieleweki sana sana nimeenjoy beat tu(background)
Video haileweki nyambaf unaambiwa ukweli unabishaaaa
Watu weusi gundu tuVideo haileweki nyambaf unaambiwa ukweli unabishaaaa
hapo sasaSasa ulitaka uenjoy Beat au kutizama video na kuielewa?
Habari wana jamii??
Leo nina trick moja tu kwa wasiofahamu jinsi gani ya Kutumia Baadhi ya Application kutoka play store bila kufanya installation wala kuidownload.
Nimeanda video maalumu itakayokusaidia kuelewa zaidi.
Video ni maalumu kwa wale wasiofahamu tu kama unajua It's okay.
ITAZAME.
Haieleweki / Inaeleweka ?
safi Watu Wengine bhana Kowakomesha hivo tu