Kwa wasikilizaji makini tu: Umegundua nini katika mahojiano haya kati Benard Membe na mwandishi wa habari Dotto Bulendu wa DW Radio?

The Palm Tree

JF-Expert Member
Apr 13, 2013
7,951
12,535
Hebu msikilize Bernard Membe hapa kwa makini, neno kwa neno na sentensi kwa sentensi kisha sema umesikia na kuelewa nini...

Mimi bila shaka yoyote naweza kusema kuwa, huyu jamaa na CCM walio "jikoni" lao ni moja, wako kwenye mkakati mmoja lakini haujafikia kwenye ukamilifu wake...


Na kuna uwezekano mkubwa mwaka huu wasifanikiwe kabisa kama ilivyokuwa mwaka 2015 pale walipofanikiwa kumpenyeza Lowassa kwenye kambi ya wapinzani na kuvuruga kila kitu...
 
Makosa ya kumpa nafasi ile fisadi Lowassa 2015 hayatarudiwa tena.

Mimi sidhani kama walikosea kumpa nafasi Lowassa maana hata yule ambae watu wanasema alistahili hiyo nafasi tayari ameunga juhudi. Mbaya zaidi ni kauli yake ya kuwa Haki za Binadamu na kisiasa sio chakula. Impact ya huyu Mheshimiwa kuhama baada ya kugombea ingekuwa kubwa kuliko ya Lowassa kwa sababu ingeonyesha kweli chama chake hakifai. Na angehama tu.

Amandla...
 
Hebu msikilize Bernard Membe hapa kwa makini, neno kwa neno na sentensi kwa sentensi kisha sema umesikia na kuelewa nini...

Mimi bila shaka yoyote naweza kusema kuwa, huyu jamaa na CCM walio "jikoni" lao ni moja, wako kwenye mkakati mmoja lakini haujafikia kwenye ukamilifu wake...
View attachment 1490528

Na kuna uwezekano mkubwa mwaka huu wasifanikiwe kabisa kama ilivyokuwa mwaka 2015 pale walipofanikiwa kumpenyeza Lowassa kwenye kambi ya wapinzani na kuvuruga kila kitu...
JPM kanyaga huyu snitch Maembe
 
Hakika mwaka huu katika nafasi ya Urais, CDM imejaliwa wagombea makini sana kihistoria, hii haizuii B.K.Membe na wengineo kuja ili tuyatafute mabadiliko ya kweli kwa Tanzania yetu.
Karibuni sana!!
 
Na ndio maana this time around Membe atagombea huko huko CCM.
mng'ato
Ni kweli kabisa ulichokisema kuwa Membe atagombea Urais kwa tiketi ya CCM......

Yeye mwenyewe amesema "Let's wait between now and October" tujionee maajabu ambayo hawatayaamini walio wengi
 
Maswali mawili ya mwisho yamenifanya nimpe asilimia nyingi za kuiva kwenye uongozaji wa vipindi vya mahojiano.
Huyu Membe kila siku anatumia neno “sisi” lakini hao wenzake hatuwafahamu, kama kweli wanajiamini wanaweza kuleta mabadiliko kwanini wasijitokeze ili kuwashawishi wanachama wenzao.
 
Back
Top Bottom