Chiwaso
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 5,726
- 3,741
Za Mchana wakuu.
Wale wenye kero za magari makubwa ya kusafirishia mizigo, na wanafikiri wanapaswa kuzitoa kero hizo kwa TATOA, na kwamba wanaona hawawezi kuwafikia.
BAsi nashauri, watumie thread hii kutoa kero za usafirishaji wa magari makubwa hapa.
Ili zionwe na wahusika na kisha kufanyiwa kazi.
Wale wenye kero za magari makubwa ya kusafirishia mizigo, na wanafikiri wanapaswa kuzitoa kero hizo kwa TATOA, na kwamba wanaona hawawezi kuwafikia.
BAsi nashauri, watumie thread hii kutoa kero za usafirishaji wa magari makubwa hapa.
Ili zionwe na wahusika na kisha kufanyiwa kazi.