Nafanya kazi kwenye kampuni moja ya simu hapa Tanzania. Tupo kwenye michakato ya kuboresha huduma zetu. Na ili kufanya hivyo tukaamua kuutengeneza huu uzi.
Hii post ni kwa ajili kupata USHAURI wenu wadau wa simu za smartphone. Unaweza ukatuambia ni kitu gani kilikufanya ununue simu unayotumia sasa?
Je ni bei? gharama nafuu?
Camera?
Mvuto wa simu?
Ulipewa na ofisi?
Zawadi?
Matangazo ya simu?
Ni kitu gani kilisababisha mpaka ukanunua simu unayotumia sasa hivi?
*Asante kwa kushiriki*
Hii post ni kwa ajili kupata USHAURI wenu wadau wa simu za smartphone. Unaweza ukatuambia ni kitu gani kilikufanya ununue simu unayotumia sasa?
Je ni bei? gharama nafuu?
Camera?
Mvuto wa simu?
Ulipewa na ofisi?
Zawadi?
Matangazo ya simu?
Ni kitu gani kilisababisha mpaka ukanunua simu unayotumia sasa hivi?
*Asante kwa kushiriki*