Kwa wapenzi wa muziki wa DRC, upi muziki wako pendwa, ambao huuchoki kusikiliza.

Mimi siyo wa kitambo hicho ila napenda sana nyimbo za zamani na ninayopenda ni
Mamou- alioimba franco
 
Kwakweli nimekuwa mpenzi wa muziki sana wa DRC na majirani zake, kiasi kwamba kwa umri nilio nao na hasa vijana wenzangu wananishangaa sana na kujiuliza maswali mengi.

Tokea nikiwa mdogo baba yangu MZAZI alikuwa mtumishi wa serikali huko morogoro mvuha, hivyo basi anapokwenda kupokea mshahara hununua kanda na kurudi nazo, hivyo sisi na majirani zetu tunapata burudani na huku kushangaa makava ya TAPE.

Kwako wewe ipi nyimbo bora mbayo unaisikiliza na haichoshi kabisa, mimi kwangu kuna wale WENGE Musica wananyimbo yao moja hivi inaitwa SOLOLA BIE, hii nyimbo kwakweli tokea iachiwe miaka ya 1999 mpaka leo kwangu ndio nyimbo bora kabisa kuwahi kutokea upande wa CONGO.

"" WEWE UNAKUMBUKA, AU IPI CHAGUO LAKO INAPOPIGWA BASI TABASAMU LINARUDI"""
Faya Tess Desole
 
Kuna huyu wanamuita NYBOMA MWANDIDO, kaimba DOUBLE DOUBLE, ingawa naisikiaga kama DUBLE DUBLE, dah, jamaa ana sauti ya aina yake. Lakini pia ukitaka kuufaidi mziki wa Congo, download lyrics zilizotafsiriwa kwenda kiingereza, utagundua jamaa ni wakati, sio kwenye mdundo tu, hata mashairi yamesimama.
 
Mimi kuna Djojo ngonda Dizoizo kuna masampu kuna Kinshasa kuna Masua kuna Th education JB Mpiana kwangu mimi ndio mtunzi bora kabisa pia kuna nzinzi hata kama sina Hera siku inaenda muruwa kabisa, usisahau pia kuna Filandu na Rdc
 
Nyingi sana...

  • Ya jean - Madilu System
  • Mamou - Franco Luambo Makiadi
  • Kokola - Tshala Muana
  • Fatimata - Sam Mangwana
  • Nadina - Mbilia Bel
    - Muzina - Tabu ley
They banned my brazeee 🙆🙆 nyie mod kudadadeki
 
Kasongooooo ohhhhhh mubale na ngae kasongo ntalaweya ntema muntaya weere...

Kasongo Franco
 
Kwakweli nimekuwa mpenzi wa muziki sana wa DRC na majirani zake, kiasi kwamba kwa umri nilio nao na hasa vijana wenzangu wananishangaa sana na kujiuliza maswali mengi.

Tokea nikiwa mdogo baba yangu MZAZI alikuwa mtumishi wa serikali huko morogoro mvuha, hivyo basi anapokwenda kupokea mshahara hununua kanda na kurudi nazo, hivyo sisi na majirani zetu tunapata burudani na huku kushangaa makava ya TAPE.

Kwako wewe ipi nyimbo bora mbayo unaisikiliza na haichoshi kabisa, mimi kwangu kuna wale WENGE Musica wananyimbo yao moja hivi inaitwa SOLOLA BIE, hii nyimbo kwakweli tokea iachiwe miaka ya 1999 mpaka leo kwangu ndio nyimbo bora kabisa kuwahi kutokea upande wa CONGO.

"" WEWE UNAKUMBUKA, AU IPI CHAGUO LAKO INAPOPIGWA BASI TABASAMU LINARUDI"""
100 kilos ferre
 
Back
Top Bottom