Kwa wapenzi wa mambo ya mauaji tu

Elli

Platinum Member
Mar 17, 2008
55,499
86,025
Kwa wale wapenzi wanaopenda kufuatilia visa vya mauwaji, uchunguzi hadi kupatikana kwa Wauthumiwa karibuni tu-share na kufurahi pamoja. we learn something out of this. Hii noi mauwaji tu na theories zake.

Binafsi napenda sana kufuatilia hizi issues hasa kwa wale wanaofuatilia "serial killers'. Hapa unajifunza sababu zinazopelekea mtu kuwa serial killer, anaanzaje, anakuaje, anapata hamu gani ya kuendelea kuuwa, adhabu wanazopewa na maneno ya mwisho wakati wananyongwa.

Lengo ni kujifunza jinsi ya kujilinda na sio kujifunza kuuwa!! Asanteni
 
Nilisoma riwaya ya Sydney Sheldon inaitwa tell me your dream, mhusika mkuu alikua binti aliekua anaua wanaume bila yeye kujua.

Akiwa mdogo aliwahi kubakwa mala nyingi na baba yake hali hiyo ikapelekea augue ugonjwa unaoitwa MPD (Multiple Personality Disorder) huku kwetu tunaita "mapepo au majini"

Jamaa wa kwanza kuuwawa, huyu alipendana na huyo binti ila mshua wa binti akawa mkali akampiga marufuku jamaa asisogee karibu na binti yake, binti akatoroka usku akaruka fensi akaenda kwa jamaa ila akajishauli kua arudi tu home ataenda kesho asbuhi, hivyo akarudi home. Asbuhi akaenda kukutana na jamaa stesheni ya treni lakini jamaa hakutokea!! Kumbe Jana yake usiku alipoamua kurudi home jini lake moja likachukua nafasi ya nafasi yake likamuongoza hadi kwa jamaa, jamaa akaomba mapenz akafosifos kidogo wakati anakula mzigo akashitukia anachomwa chomwa visu mwili mzima. Wakat anamchoma visu akawa anasema baba acha baba acha lazima nikuue ili usimfanyie mtu nwingine mambo kama haya!

Jamaa wa pili, huyu yeye alikua mfanyakaz mwenzie katika kampun ya computer, alikua anampenda huyu binti lakin binti akawa hampend jamaa. Siku moja jamaa akamuomba binti aje geton kwake amshauri kitu flan. Binti akaenda baada ya kufika jamaa akampa kinywaji chenye dawa ya usingiz alipokunywa akapoteza fahamu ila hapohapo jini lake likachukua nafasi, jamaa akaomba mambo akapewa ila mwisho wake nae ikawa ni kuchomwa chomwa mwili mzima kwa grasi ilokua na kinywaji hadi akafa! Binti aliposhtuka akajikuta yupo mji mwinge tena hotelin hajui chochote kilichoendelea baada ya kunywa kinywaji chenye dawa ya usingz!

Jamaa tatu, huyu yeye alikua mfanya biashara alikutana na binti mtandaon wakaanzsha uhusiano mwisho wa sku wakakutana live nae akala mzgo na akauwawa kwa namna ileile kuchomwa chomwa na kisu! Jini ndilo lilokua linachat na jamaa, yaan lenyewe ndio lililokua linapenda sana kutumia mtandao (na sio binti halis)

Jamaa wa nne, huyu yeye alikua mchoraji. Huyu alipendana na nafasi ya pili ya binti ( jini lake la pili) nae alikufa kwa visu mwili mzma baada ya kula mzigo!

Jamaa wa tano yeye alikua askari polis mpelelez, alikua anafatilia mauaji ya hao jamaa wanne waliouawa, sasa kuna siku huyu mpelelez alienda kulinda kwa binti baada ya binti kuomba ulinzi maana alikuta maandshi kwenye kioo chake cha kujitizama yakisema NITAKUUA! Jamaa alilinda akalala sebken usiku akaskia binti kapiga kelele jamaa akaenda chumbani alipofika akakuta binti katulia afu yuko uchi kabisa jamaa akataman akajilaza pemben hapo mwisho wa sku akala mzgo nae walimkuta nje asbh kala visu vya kutosha!!

Niipenda sana hii stori hasahasa wakati wa uchunguzi na wakati wa kesi nahakamani ilikua ni hatari ila mwisho wa kesi binti alishinda kesi kwa point kuu moja ya kua alikua bila kujua!!

Yale majini yake mawili ni nafsi ambazo zilizaliwa mwilini mwake ili zimsaidie kukabiliana na uchungu na msongo wa mawazo Yaliyo savabishwa na kubakwa kila siku na baba yake.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yap ishu za mauaji zilizofanywa kwa weledi especially majasusi, nadhani ndio kusudio lako

Kuna siku nilisoma bandiko fulani hapa jf sikumbuki alipost nani, ila nililipenda. Lilikua linausu mjasusi kutoka CIA aliyejiengua na ujasusi. Alikutwa amekufa akiwa yupo ndani ya begi lililofungwa kwa zipu za ndani ya hilo begi.

Security camera hazikuweza kunasa tukio lolote likionesha ni namna gani aliweza kuingia mle kwenye begi wala hakukua na alama za fingerprint zenye kuonesha nani aliyemuingiza kwenye begi.

Daktari mmoja ambaye alikua anamwili sawa na yule marehemu alijaribu kuingia kwenye lile begi huku akisaidiana na wenzake lakini hakuweza kuenea, jambo ambalo liliwaacha watu mdomo wazi

Ni mauaji ambayo mpaka sasa hayajatafutiwa suluhu kua nini kilichomuua haswa yule victim. Vipimo vyote vilichukuliwa ili kubaini nini kilichosababisha afe lakini hola. Mwili ulipimwa ili kubaini kua pengine alikufa kwa kuishiwa pumzi lakini hola, walicheki mwili kama unasumu yeyote ile lakini hawakukuta na tatizo lolote lile kwenye mwili ule ambalo ingewasaidia kujua nini sababu ya kifo cha huyo jasusi



Sent using unknown device
 
FB_IMG_1549787831098.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo tuanze na huyu hapa

Investigators say Andrew Urdiales was smarter than your average serial killer. Between 1986 and 1996, his killing spree spanned from Illinois to California. In that time, he attacked and tortured nine women, with no witneses and no evidence left behind. Only one woman, Jennifer Asbenson, survived.
It wasn't until 1996 when police tied the cases to Urdiales, who confessed in great detail to the eight murders and the attack on Asbenson

 
duh.. kumbe hili swala nalo ni burudani kwa wengine..

haya wapenzi wa mauaji mnakikao chenu hapa
Hahaha kila mtu anaburudika kw anamna ya tofauti sana Mpwa wangu, I was shocked kuona eti mtu anaburudika kupiga chabo, mwingine kupandwa na dume jenzie, mwingine kidubwana cha kuchambia cha chooni....
 
Investigation Discovery Lovers tunakikao..kati ya vyote nilichogundua..kuna uhusiano Mkubwa wa sexulity na violence! Most serial killers its either ni gays ama mahusiano ya makuzi hao utotoni wameleleqa n single parent!
Very good ukiataka taarifa zaidi tafuta hii document ipo online

Natural Born Killers?: The Development of the Sexually Sadistic Serial Killer
Bradley R. Johnson, MD, and Judith V. Becker, PhD
 
Back
Top Bottom