Kinumbo
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 2,742
- 4,931
Naam ndio yenyewe, Lady Mishil
Hii ndo pia inaitwa Great Queen?
Ilikuwa na mmama anaitwa Mishili?
Hii ndo pia inaitwa Great Queen?
Ilikuwa na mmama anaitwa Mishili?
Hivi huu moyo wa kurudia series huwa mnautoa wapi🤔?Nimeirudia Gu family book kuenjoy vituko vya kang chi
Powerful opponents inashangaza na kufikirisha daah sijui watoto wa baba jesca nao wanadekezwa vile(full kulindwa)
Chip in uhondo mwingine unaoishia episode ya nane tu
Hivi huu moyo wa kurudia series huwa mnautoa wapi🤔?
Mimi nimepanga kuirudia Jumong kwa mara ya 6 sasa
Daah jumong sijawahi kuiona,inavyosifiwa ntajitahidi kuiangalia japo actor baba watatu sijawahi vutiwa na uigizaji wake(daemusin asione hapa) nshaona drama yake moja tu a man called God basi.
teh teh tehDaah jumong sijawahi kuiona,inavyosifiwa ntajitahidi kuiangalia japo actor baba watatu sijawahi vutiwa na uigizaji wake(daemusin asione hapa😂😂😂😂😂😂) nshaona drama yake moja tu a man called God basi.
nyinyi watu wawili (kee na mee) mumeanzisha vita na mnywa urojo, mumenifanya nitafute PC nije niwatie adabu kama mpemba yule na basi la abiriaNi kweli usemavyo jamaa uigizaji wake mi pia uliniboa kwenye Emperor of the sea, ila hiyo jumong kacheza vizuri mno. Itafute huto jutia mda wako ni episodes +80
hahahahaaa gazeti la viti aalum. uzuri porojo umeshakuwa na mazoea nazoDaaah sio kwa gazeti hilo😂😂😂😂😂😂😂😂😂 daemusin bana
hahahahaaa gazeti la viti aalum. uzuri porojo umeshakuwa na mazoea nazo
Jumong ni Kali sanaDaah jumong sijawahi kuiona,inavyosifiwa ntajitahidi kuiangalia japo actor baba watatu sijawahi vutiwa na uigizaji wake(daemusin asione hapa) nshaona drama yake moja tu a man called God basi.
Tafuta Jang Youngsil akicheza vizuri sana bwana song il look aka jumongNi kweli usemavyo jamaa uigizaji wake mi pia uliniboa kwenye Emperor of the sea, ila hiyo jumong kacheza vizuri mno. Itafute huto jutia mda wako ni episodes +80
nilizirekodi kupitia ms word document.Una kumbukumbu safi. Nyingi zimenigusa ila niliipenda zaidi rep 88
nilizirekodi kupitia ms word document.
ilianza kwa kunipa wasiwasi, wale jamaa tokea walipotoka gerezani muda wote wapo karibu kama mashoga.Awesome. Pia kuifuta padam padam ulifanya jambo la maana sio nzuri kivile
ilianza kwa kunipa wasiwasi, wale jamaa tokea walipotoka gerezani muda wote wapo karibu kama mashoga.
teh teh teh dakika 10 tu nikaifuta
ukachukua hatua gani?Kinachokatisha uhondo ni mmoja wa hao jamaa eti ni nusu malaika(Angel) aah imeharibu story nzima na kuonekana ya kufikirika(mara anaota mabawa na kupaa)
ukachukua hatua gani?
don't tell me umeitupa barabarani