Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,410
- 119,111
Kwa nini? Hivi Fiery priest haipo?Anza na Jeong Do Jeon.
Kwa nini? Hivi Fiery priest haipo?Anza na Jeong Do Jeon.
Bilashaka, Ila Mishil nae alikuwa Muhuni muhuni tu Ndio maana haeleweki ka Mvua za ikweta.Mfalme jinji si alikuwa baba yake Bidam?
Search, kwa jinsi mtu fulani humu anavyoipenda na anavyompenda Muhusika mkuu, Haiwezi Kosa. jaribu Bahati.Kwa nini? Hivi Fiery priest haipo?
Bilashaka, Ila Mishil nae alikuwa Muhuni muhuni tu Ndio maana haeleweki ka Mvua za ikweta.
Nilijaribu kusearch haikuja ngoja nijaribu tenaSearch, kwa jinsi mtu fulani humu anavyoipenda na anavyompenda Muhusika mkuu, Haiwezi Kosa. jaribu Bahati.
Daekman alikuwa kiboko yake.Alikuwa na baba, alivyokufa ndio akawa na mtoto wake(mfalme Jinji). Ila Mishil bwana, yaani muda wote anaenda kwa wanaume wote hao mume wake alikuwepo. Yaani mwanamke ana wanaume wawili na wanajuana, anawapeleka anavyotaka... Nilijiiuta nampenda bure
Ila hata yeye alikuwa anamkubali aiseeDaekman alikuwa kiboko yake.
Hahaha Kawaida ya Mpambano wa watu Bora.Ila hata yeye alikuwa anamkubali aisee
Hahahaha Drama Nzima mule, Field Marshal ( Gukseon Munno) alikuwa Kiboko ya Viburi.
AhahahHahahaha Drama Nzima mule, Field Marshal ( Gukseon Munno) alikuwa Kiboko ya Viburi.
Unakumbuka aliporudi capital city alichowafanya wale askari wa Warrang? Tembeza kwa Wote.
Si alikuwa King's consort, halafu watu walikuwa wanaamini ana nguvu za kiroho hivyo ikamuongezea influence. Mimi ndio najua hivyo
Bilashaka, Ila Mishil nae alikuwa Muhuni muhuni tu Ndio maana haeleweki ka Mvua za ikweta.
Hivi walikuwa wengi eeh? Mimi najua alikuwepo Bojong, Hajong na Bidam....walikuwepo wengine?Alikuwa na wtt mule balaa, kila mtt na baba yake
Hivi walikuwa wengi eeh? Mimi najua alikuwepo Bojong, Hajong na Bidam....walikuwepo wengine?
Akina nani aliwatupa? Mimi najua alimtelekeza BidamWengine hadi aliwatupa
Aliyekuwa na watoto wengi ni kaka yake wengine alikuwa hawajui sura zao hadi majinaAkina nani aliwatupa? Mimi najua alimtelekeza Bidam