Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Emperor Wang Gun
Nimefanikiwa kufika Episode ya 106/200. Haikuwa rahisi kufika hapa, safari niliianza mwezi wa 6. Kila Episode ina wastani wa Dk 50-55, najua kuna watu hawajawahi kutazama drama ya yenye Episode 60+.
King Gung Ye:

Mara ya kwanza alikuwa anaonekana shujaa na mtu aliyewaongoza wenzie kukemea Uovu na kuwasihi watu wawe wema, si kwa maneno tu bali kwa Matendo. Lakini sasa amegeuka kuwa Mkatili.

King Kyeonn Hyeon:

Jamaa ni mtu mgumu huyu na shujaa wa Taifa lake.

Wang Gun:


anaendelea kujifunza mengi lakini pia ndiye nguzo kwenye Taifa la Taebong.
Katika majenerali wake Park Sulhee, ndiye namkubali, Jamaa ukimuona kama muhuni ama mjinga mjinga lakini kichwani yuko vizuri.
#ThrowdownContinues
 
Juzi nilikuwa napitia Channel moja kule Telegram ambayo link iliwahi kuwekwa hapa na jamaa mmoja nikapata wazo, kwanini tusianzishe Channel yetu wenyewe kule?
Mfano @Daemusin anazo series nyingi anaweza kuziupload kule tukawa tunazidownload bila kuhangaika ktk sites.
baada ya kumaliza kuvuta bangi zangu nimeona niitikie wito.
ni kweli daemusin alikuwa na series takribani 30 lakini mwezi uliopita nilifanya operations safisha Kujimwambafy, si hivyo tu

hata nyakati hizi nikiangalia drama naishia kuzifuta episodes pindi ninapomaliza kuangalia (nimechokwa kunyonywa damu na parasites wasiojielewa wanaomsubiria daemusin kila siku awape series wakiamini nina undugu na madirectors), hivyo basi nahofia mchango wangu utakuwa ni mdogo sana kwa sasa.

nitajaribu kuangalia harakati za wadau wenyewe kama watakuwa serious hususani kinidhamu sioni tabu kuzidownload upya baadhi ya drama then nikaziupload hususani hizi zinazoendelea au zile zilizokwisha karibuni.

ngoja kwanza niirudishe telegram application kwenye PC then nitaangalia cha kufanya.
 
Happy Hangul Day
King Sejong the Great (1397-1450) (Image source: Wikipedia)
Today, South Koreans celebrate Hangul Day. Hangul Day is a national holiday to celebrate the Korean script. I am not aware of any other national holiday anywhere else to celebrate a particular script (except for the North Koreans who also have a national day to celebrate the Korean script but they call it Chosŏn’gŭl Day and celebrate on January 15). What is so special about the Korean script that it gets a national holiday in both Koreas you might ask?
There is actually a good reason: the invention of Hangul is not only a major linguistic achievement but also of significant social importance.
Hangul was invented by King Sejong the Great who lived from 1397 to 1450 CE and was the fourth king of Korea’s Joseon dynasty (1392–1910).
As a small nation, Korea at the time was overshadowed by its powerful Chinese neighbor which was styled as “elder brother”. As is often the case in such relationships, and is still true today, powerful nations not only rule over less powerful ones but they also come to be seen as providing the standard of all fashion, culture and knowledge. As today, subaltern people are apt to misrecognize the language and culture of the powerful as an intrinsic feature of their power. The hegemonic nation comes to be seen as the source of knowledge and local ways are often denigrated and dismissed as lacking value. Same old story back in 14th-century Korea:
China was considered the source of all culture and learning. The Korean elite therefore thought it natural that becoming literate meant learning the Chinese language: everything worth reading was written in Chinese. (Gnanadesikan 2009, p. 193)
Despite all the Chinese learning, not all was well in the kingdom of Korea; in fact, it was a rather backward place. Unlike many feudals, King Sejong was not content with living the good life at the expense of his subjects. On the contrary, committed to serving the good of his nation, he wanted to improve his country and better the lot of all Koreans. In addition to being the king, he had a lot going for him: he had received an excellent education (through the medium of Chinese, of course), he was bilingual in Korean and Chinese and he was an immensely talented scholar with wide-ranging interests. All his reading and writing obviously was in Chinese but Chinese publications were the only game in town.
One of King Sejong’s interests was related to agriculture, an area with obvious potential to improve the lot of Koreans: the growing population needed food. So, he started numerous scientific and technological projects to help increase agricultural production. However, all the agricultural knowledge of the time was based on Chinese climatic conditions and he realized that existing knowledge could not just be taken holus-bolus from China but needed to be adapted to Korean conditions. He saw the need for localization, if you will. One example of such a localization measure was the development of a specifically Korean agricultural calendar to determine sowing and harvesting times that were ideal for the Korean peninsula.
Another example of his wisdom in adapting Chinese knowledge to the Korean situation related to medicine where he commissioned a medical encyclopedia that focused on native Korean herbs and remedies and described their uses and where to find them.
King Sejong also was interested in jurisprudence:
Throughout his reign he showed a passion for justice, working to improve prison conditions, set fairer sentencing standards, implement proper procedures for autopsies, protect slaves from being lynched, punish corrupt officials, set up an appeals process for capital crimes, and limit torture. Nevertheless, one problem continued to vex the king: the litigation process was carried out in Chinese. Were the accused able to adequately defend themselves in a foreign language? Sejong doubted it. (Gnanadesikan 2009, p. 195)
Hangul.jpg

The basic consonant signs of the Korean alphabet representing their pronunciation (Source: Gnanadesikan 2009, p. 198)
The justice system was not the only area where King Sejong discovered that all his reform attempts continually ran into a language barrier: whether it was agriculture, medicine, law or any other area of life: dissemination of knowledge, development and progress were stymied by the fact that only a tiny minority of Koreans could read. As mentioned above, all writing was in Chinese and Chinese literacy was restricted to a tiny elite. The vast majority of Koreans had no access to all the knowledge that was available. Teaching everyone how to read and write in Chinese was obviously not practical.
King Sejong concluded that, in order to achieve broad dissemination of knowledge, Korean needed a writing system of its own; not one based on Chinese but one that was based on Korean and easy to learn.
He started to look around for ways to develop a script for Korean. In addition to Chinese, he was able to study Japanese, Jurchen and Mongolian scripts. While these syllabary-based scripts provided some inspiration, it must be considered a stroke of genius that he figured out the difference between consonants and vowels – characteristic of alphabetic writing – by himself. In a next step, he divided the consonants into groups according to their place of articulation – another impressive feat in the absence of any phonetic models.
Having identified the phonetic characteristics of the sounds of Korean, he devised signs that represent pronunciations. This is in contrast to all other writing systems where signs initially started out as ideograms representing objects. At the danger of overusing the expression “stroke of genius” – that’s precisely what it was!
The new script was published in early October 1446 and the preface, written in Chinese, states:
The speech sounds of our country’s language are different from those of the Middle Kingdom and are not communicable with the Chinese characters. Therefore, when my beloved simple people want to say something, many of them are unable to express their feelings. Feeling compassion for this I have newly designed twenty-eight letters, only wishing to have everyone easily learn and use them conveniently every day. (Quoted from Gnanadesikan 2009, p. 204)
Hangul2.jpg

Korean consonant letters. Easy to learn, right? Even if you’ll need to allow for some more time to learn the vowels, too … (Source: Gnanadesikan 2009, p. 198)
Maybe unsurprisingly, the Korean elite hardly welcomed the new script. They probably saw the threat it posed to their monopoly on learning and education. In any case, they did not like it and the script was widely denigrated as “morning script” (because it was so easy it could be learnt in a morning) or even as “women’s script” (because it was so easy even women could learn it …)
Wise King Sejong did not risk a fight and did not impose the exclusive use of Hangul. As a result, Korean elites let the script slip into oblivion after his death and it almost did not survive the Japanese invasions of the 16th century, which devastated the country.
In fact, history has hardly been kind to Korea; and in 1945, after the ravishes of wars and colonization, the illiteracy rate in the country stood at close to 80 percent. Hangul played a key role in turning these figures around and the illiteracy rate in both Koreas is today close to zero: testament to the continued relevance of the vision of a centuries-old wise ruler intent on serving the common good.
The story of Hangul presents an inspiring case study in the ways in which language arrangements can form obstacles to progress and social justice and the ways in which these can be overcome. For details on the story of Hangul, read Chapter 11 “King Sejong’s One-Man Renaissance” of Gnanadesikan (2009).
Duh.. Mbona kama linguistics ya KATAMBA, F. (2008)
 
Daemusin unahitajika hapa japo sipo telegram ila ukikubali nitajiunga huko
ndio mumeamua kuandaa petition ya kumtaka daemusin bin makinikiyya bin Kujimwambafy arudi telegram.

kwani kuna utofauti gani wa gharama pindi unapodownload episode moja kwa moja kwenye tovuti na kuapload kwenda kwenye group la telegram?

nijibuni hilo swali kwanza tafadhalini
 
wewe bwegeee wengine tumesoma mwari hakogi primary school, ndio nini kutuwekea lugha ya kibabe haliyakuwa unafahamu fika wengine uwezo wetu ni kuandika sentensi dhaifu za kiingilishi.

I DONTI ANDERSTANDING ANYTHING
Hayo mengine sijui, kwani miye ndo niliyekwambia uzaliwe kolomije? Sie wakati tunachagua Pyeongyang wewe ulipendelea huko. Kila mkulima atakula alichovuna.

ila Be active
 
takribani mwezi mmoja uliopita niliziona baadhi ya comment zako ukiwa unaulizia six flying dragons drama na je umeshaiangalia?

kama hujaiangalia nahisi utakuwa unajizingua pindi utakapoiangalia hiyo my country kwa sababu nahofia itakuacha na maswali mengi yasiokuwa na majibu kwako.

ili uendane na hadithi ya my country itapendeza zaidi uwe na ufahamu wa taifa la goryeo pamoja na baadhi ya characters kama vile yi seong gye, yi bang won, yi ban sok n.k
na huwezi kuzifahamu characters za hao wahusika kiundani zaidi kwa kurukia moja kwa moja kuiangalia my coutry drama bila ya kuangalia six flying dragons au jung do jeon drama.

nitatoa mifano kwa faida yako:
  1. kuna ishu iliopelekea vita ya wenyewe kwa wenyewe ndani ya goryeo, vita hiyo ndio ilibadilisha muelekeo mzima wa dynasty ya goryeo, ukiangalia hiyo drama ya my country humo ndani utaona chenga nyingi kama huna uelewa nalo hili tukio ila kiupande wangu nafahamu kinacho na kitakachoendelea huko mbele kwa sababu ya uzoefu wangu haijalishi hadithi ya my country drama ni tofauti,
  2. nafahamu fika yi seong gye atabadilisha upepo wa vita na atakataa kuishambulia liaodong na hatimaye atageuza jeshi lake kurudi mji mkuu (it means that yi seong gye atakataa amri ya mfalme na kumpinga mfalme ni uasi, ili yi seong ye aepukane na kifo alilazimika apambane na jeshi la serikali likiongozwa na general mashuhuri anayeitwa choi young.
  3. Choi young anashindwa na hatimaye yi seong ye anabaki kuwa mtemi pekee anayeogopeka ndani ya goryeo
  4. kuna ishu ya mgogoro wa kurithi madaraka kati ya maprince wakiongozwa na yi bang won dhidi ya wenzake na bahati nzuri hiyo drama ya my country imeanzia hapo kwenye mapinduzi japokuwa hiyo drama imekosa characters muhimu sana kama vile sambong na poeun.

huo ndio ushauri wangu wa bure ninaokupa ila usisahau unywaji pombe kupita kiasi ni hatari kwa afya yako ila ni faida kwa serikali kwa sababu kodi ya vilevi inaongezeka mara kwa mara.
==================================================
heshima kwake huyu mzee kim young chul, hajawahi kuniangusha hata mara moja tokea nianze kumfahamu kupitia IRIS 1,2 drama, wala hahitaji kupewa screen time kubwa ili athibitishe uwezo wake.

emperor wang guhn
the great king sejong
father is strange
iris drama and movies
jang yeong sil
criminal minds
sword and flower
princess man
seoul 1945
the innocent man
View attachment 1227096

Huwa nawaza mambo kadhaa hiyo series ya my country
1- wataweka zile action za kama kwenye sic flying dragons
2- muhyul (aliyekuwa mlinzi wa yi ban won) character wake yuko??
3- na wale mapacha wazee kazi mpaka moja wao akauliwa na leebang ji nao character yao iko ??
Ect
 
Huwa nawaza mambo kadhaa hiyo series ya my country
1- wataweka zile action za kama kwenye sic flying dragons
2- muhyul (aliyekuwa mlinzi wa yi ban won) character wake yuko??
3- na wale mapacha wazee kazi mpaka moja wao akauliwa na leebang ji nao character yao iko ??
Ect
sijapata bakuli la urojo mpaka muda huu kwa sababu ya mvua hivyo basi acha nikujibu kama mwanadamu aliyezaliwa msimu wa njaa kama mayala paskali
  1. ubora wa drama na muigizaji haupimwi kwa kuangalia action pekee ila kama ni mpenzi wa action basi zimo.
  2. swali lako la pili ni sawa sawa na kumuuliza aliyeangalia kingdom of the wind drama baada kumaliza kuangalia jumong drama (je maro, hyeop bo, o yi, sayong, na wengineo watakuwemo?)
  3. muhyul hayumo kwa sababu historia yake haijaleta athari yoyote kubwa ndani ya joseon
  4. kama hayumo jung do jeon pamoja na greath thinker poeun unadhani watakuwemo hao mapacha wanaorembuwa macho kama samaki pono?.
mkuu jaribu kuiangalia huenda ikakuvutia
 
Hayo mengine sijui, kwani miye ndo niliyekwambia uzaliwe kolomije? Sie wakati tunachagua Pyeongyang wewe ulipendelea huko. Kila mkulima atakula alichovuna.

ila Be active
usinilaumu mimi ila walaumu mababu wa mababu zangu waliohama kenya nyakati hizo wakaja zanzibar kutafuta karafuu ndio maana sijui kiingilishi ila najivunia lafudhi yangu ya kiswahili iliobora zaidi kwa mwambao huu wa Afrika mashariki na kati.
bwege weweeee
nasikia huko kwenu panya kwa jina jengine ndio pilau masala.
 
Daemusin unahitajika hapa japo sipo telegram ila ukikubali nitajiunga huko

Nimeshaanzisha Channel link yake hii hapa, au unaweza kusearch Korean Dramas Tz...
Yeyote atakayekuwa na Dramas anataka kushea nasi anicheki PM anipe username nim-add as Admin, thanks.

yes
daemusin amekuwa ni member wa 13 kujiunga ndani ya channel.
huko kwa Prime minister foleni za mara kwa mara hazitokukera?
niemefurahi kuikuta drama yangu pendwa ya secret forest season 1.
naisubiria season 2 yake inshaallah mnamo mwaka 2020.
 
sijapata bakuli la urojo mpaka muda huu kwa sababu ya mvua hivyo basi acha nikujibu kama mwanadamu aliyezaliwa msimu wa njaa kama mayala paskali
  1. ubora wa drama na muigizaji haupimwi kwa kuangalia action pekee ila kama ni mpenzi wa action basi zimo.
  2. swali lako la pili ni sawa sawa na kumuuliza aliyeangalia kingdom of the wind drama baada kumaliza kuangalia jumong drama (je maro, hyeop bo, o yi, sayong, na wengineo watakuwemo?)
  3. muhyul hayumo kwa sababu historia yake haijaleta athari yoyote kubwa ndani ya joseon
  4. kama hayumo jung do jeon pamoja na greath thinker poeun unadhani watakuwemo hao mapacha wanaorembuwa macho kama samaki pono?.
mkuu jaribu kuiangalia huenda ikakuvutia
Sikuwah Kula Urojo Kabla, Ila Kuna Siku ndugu Yangu Alinishawishi, Tangiapo Nimetengeneza Urafiki Nao, Mimi na Urojo Ni Machingu.

Ila We Binadamu Una Maneno Sana. Wanarembua Macho Kama Pono Dah!
 
Sikuwah Kula Urojo Kabla, Ila Kuna Siku ndugu Yangu Alinishawishi, Tangiapo Nimetengeneza Urafiki Nao, Mimi na Urojo Ni Machingu.

Ila We Binadamu Una Maneno Sana. Wanarembua Macho Kama Pono Dah!
umeona eeeeeee
nashangaa utavikuta vijitu uchwara vinauwekea ngumu urojo.

kachori
mishikaki
bagia za kunde au dengu
chipsi za muhogo
salad
katlesi ziwe za mbatata au mayai.
ongeza na maji ya urojo
pembeni yako una juisi kama una uwezo kama huna tafuta kopo la maji ya chai yasiokuwa na sukari unywe
chapati/ mkate/ maandazi

unakosaje mchanganyiko kama huu?
tuwashukuru sana wahindi kwa kutuletea vitafunwa pendwa.

nyinyi endeleeni kula sembe mchana kutwa kama mumeishiwa mazao mengine, ndio maana hamuna mapozi munapozungumza.

aisee mutuuu hebu nileteee hilo libaaakuli la daaagaaaa na hiyo sembe tutengeneze chakula pendwa kama biryani.
 
umeona eeeeeee
nashangaa utavikuta vijitu uchwara vinauwekea ngumu urojo.

kachori
mishikaki
bagia za kunde au dengu
chipsi za muhogo
salad
katlesi ziwe za mbatata au mayai.
ongeza na maji ya urojo
pembeni yako una juisi kama una uwezo kama huna tafuta kopo la maji ya chai yasiokuwa na sukari unywe
chapati/ mkate/ maandazi

unakosaje mchanganyiko kama huu?
tuwashukuru sana wahindi kwa kutuletea vitafunwa pendwa.

nyinyi endeleeni kula sembe mchana kutwa kama mumeishiwa mazao mengine, ndio maana hamuna mapozi munapozungumza.

aisee mutuuu hebu nileteee hilo libaaakuli la daaagaaaa na hiyo sembe tutengeneze chakula pendwa kama biryani.

Hii Ya Chini Ndo Lafudhi Ilokosa Pozi Ama!?

Hahahaha, Mola Akueke.
 
si ndio munavyozungumza wengi wenu mukishabugia unga wa sembe matumboni mwenu.
pikeni japo wali basi baadhi ya nyakati.
tena kwenu mchele safi unapatikana cha ajabu sisi ndio tunaununua kwa wingi.

Naona Unaleta Jeuri Ya Kiunguja Etii Eeeh!!

Ugali Unaleta Nguvu Haujui Ama!?
 
49 Reactions
Reply
Back
Top Bottom