Product
Member
- Sep 7, 2019
- 68
- 66
unashaurije?Halotel 1500 GB 10 kuanzia 0000hrs
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unashaurije?Halotel 1500 GB 10 kuanzia 0000hrs
kuna uwezekano kabila la white mountain ndio chanzo kikuu cha matatizo yanayojiri kwenye ardhi ya arthdal, inavyosemekana aramun haesulla (aliyeunganisha makabila ndani ya ardhi ya arthdal) asili yake pia alikuwa ni igutus ila cha kushangaza hiki kizazi cha bibi Asa sin wakiongozwa na Asa Ron wanakwenda kinyume na uhalisia wa mambo kwa kuficha ukweli tokea kuondoka kwa huyu bibi takribani miaka mingi iliopita.Hutaki kuitwa Mkuuu Eeenh!
Arthdal Mbona Haijarudi Kama Nilivyoitegemea...!
saya afanana na popo kwa sababu hajulikani upande upi aliyoelekea kitabia (wema au uovu), ila jambo kubwa linalomuathiri ni malezi alioyapata tokea utotoni kupitia kwa wanadamu wawili waliojawa na tamaa za kimadaraka na ubinafsi, hatimaye na yeye amerithi tabia zile zile za wazazi wake ila tofauti kubwa ni kwamba uovu wake umezidi zaidi kwa sababu ya elimu alionayo ambayo mara kwa mara amekuwa akiitumia vibaya.Nimependa Saya Anavyomuaangalia Tanya.. (Siri Yako Usiseme)
kadri anavyoendelea kujiweka karibu na eunseom naamini ipsaeng atabadilika kitabia na atakuwa mtu muhimu sana kwa eunseom hususan kwenye safari yake ya kutafuta power kupitia makabila tofauti na yeye ndiye atakayeshuhudia mara kwa mara tabia njema alizonazo eunseom pamoja na ungwaji mkono atakaupata kupitia jamii tofautiHahahhahaa. Kama Yule Muhuni Aloongozana Na Eunseom Kwenda Kwa Hao Mabaharia Yaani Yule Ndo Baharia Kabisaa.
Ttcl lain zao ndio 4g tu?Toboa ni TTCL hao wanakupa GB 10 kwa 1000 kuanzia saa tano usiku..
watanikoma yani
Yani episode 15 ni moto jana imebid niangalie ikiwa raw saiv ndio nairudia ikiwa na subs. Nimependa true love aliyonayo taealha kwa tagon.nimeota ndani ya ardhi yenu mutatoana roho wenyewe kwa wenyewe - ragaz
hatimaye utabiri wa ragaz unakwenda kutimia kwenye episode 15, tagon atawasambaratisha wale wote waliofanikiwa kuifahamu siri yake ya kwamba yeye ni igutus na pia ndiye aliyemuua baba yake mzazi.
mwenyewe anasema hapendi kumwaga damu ya wasiokuwa na hatia na alitamani kuwa mtawala atakayeleta usawa kwa makabila yote lakini sidhani kama itawezekana tena.
sijui ni lini tagon ataiweka siri yake hadharani ya kwamba yeye ni igutus.
kwa nini anaogopa na yeye ndiye aliyeshikilia makali ya kisu.
heshima kwake jang dong gun ahjussi kwa zawadi aliotupa mwaka huu baada ya suit drama.
kuna taarifa zisizo rasmi kwa asilimia 100 zinadai ya kwamba kuna uwezekano arthdal chronicles tukashuhudia tena muendelezo wake mnamo mwaka 2020, pia upo uwezekano wa hii drama kutengenezewa character games.
View attachment 1206725
yes wote wanapendana kwa dhati, kila mmoja anazifahamu hisia za mwenzake kiundani na kubwa zaidi kila mmoja anaifahamu siri ya mwenzake na yupo tayari kuificha siri hiyo kwa uhai wake ndio maana uhusiano wao umekuwa imara zaidi ya jiwe la msingi lililojengwa na fundi maico.Yani episode 15 ni moto jana imebid niangalie ikiwa raw saiv ndio nairudia ikiwa na subs. Nimependa true love aliyonayo taealha kwa tagon.
Duh eti mengi na kidogo wamekufa ila daemusin yupo haiLee Seung Gi, Suzy, And More Discuss High Budget For “Vagabond” And Goal To Break 30 Percent Viewership Ratings
“Vagabond” tells the story of a stuntman named Cha Dal Gun (played by Lee Seung Gi), who stumbles upon a massive corruption scandal while trying to uncover the hidden truth behind a mysterious plane crash. He ends up investigating the case alongside National Intelligence Service (NIS) secret agent Go Hae Ri (played by Suzy).
On September 16, the cast and producing director Yoo In Shik held a press conference ahead of the drama’s premiere. Yoo In Shik raised anticipation for “Vagabond” and complimented the actors’ close teamwork, saying,
We shot in Morocco for two months, and not only was the flight long, but the food and environment might not have suited the cast. They also must have been nervous because of the action scenes. [Despite these factors,] it was great while we were there. We got to know each other through morning shoots and evening drinking parties. Even when the drama ends, I think these friend
When Lee Seung Gi was asked whether the 25 billion won (approximately $21.1 million) budget put pressure on him, the actor said,
“The producers prepared so perfectly that I didn’t feel any pressure. Because they filmed in a way that didn’t disrupt the drama and was more fun than the script, I never felt burdened. It was a place where I could safely focus on my acting.”ships will last.”
Suzy also shared a bit about her character, Go Hae Ri. She explained,
“Go Hae Ri is a multidimensional figure who comes to investigate a plane crash with Cha Dal Gun while dispatched to Morocco. I hope that viewers will be able to see my own growth through the development of Go Hae Ri.”
Shin Sung Rok, who will play brilliant NIS agent Ki Tae Woong, closed the press conference by expressing his confidence in the drama. He said,
“I think this project will do really well. I experienced a lot of things I’ve never done before, and while I was on set, I thought to myself that this drama will be on a whole new level. Our goal for viewership ratings is 30 percent. If we get 30 percent, the actors will discuss and come up with a special event.”
“Vagabond” premieres September 20 at 10 p.m. KST.View attachment 1209928
nimemuona mchumba wangu Hwang bo ra kwenye picha wa pili kutoka upande wa kulia, wapo wanaoniuliza nimependa nini kwa huyo binti ila nabaki kuwacheka hi hi hi kama jiwe wenye wivu wa kishamba.
hata kama ingelikuwa maneno yake ni sumu huyu dada basi kwangu mimi yangelikuwa ni zaidi panadol yenye kutibu maumivu, nikiuguwa kidogo tu namtafuta yeye amwage porojo lake la maneno kama yule mzungu kichaa na kelele zake zisizoumiza.
tukutane ijumaa inshaallah panapo uhai, jamani hii drama ilikuwa kwenye ratiba zangu tokea mwaka 2019 ulipoanza, imepelekwa mbele weeeeeeee kutoka May mpaka september hatimaye imefika paap.
tatizo si pesa bali uhai ndio muhimu zaidi hapa duniani, mengi na kidogo wamekufa ila daemusin yupo hai japokuwa hana mbwa mfukoni.
shikamoo uhai.
Na huku kwa eunseom mambo yanapamba moto. Hii drama sijui kwanini wengine hawajaielewa wakati ni moto wa kuotea mbali. Ya 17 tagon ndio atajitangaza king naonayes wote wanapendana kwa dhati, kila mmoja anazifahamu hisia za mwenzake kiundani na kubwa zaidi kila mmoja anaifahamu siri ya mwenzake na yupo tayari kuificha siri hiyo kwa uhai wake ndio maana uhusiano wao umekuwa imara zaidi ya jiwe la msingi lililojengwa na fundi maico.
kuna preview fulani nilibahatika kuiona inajaribu kuonyesha matukio yatakayojiri season 3 na miongoni mwa matukio hayo ni kitendo cha tagon kujitangaza kuwa mfalme na malikia wake kivyovyote atakuwa ni Taelha kwa sababu yule binti aliyemuoa kutoka ASA clan amehusika na mapinduzi yalioongozwa na ASA HON.
sifahamu hii drama itamaliza vipi cause nikiangalia hadithi ndio kwanza inazidi kuchangamka na episode zilizobaki ni mbili tu ila kwa kuangalia hayo mahusiano imara ya kimapenzi kati ya Tagon na Taelha kunajizalisha swali moja muhimu sana.
je Taelha ataridhika na heshima ya umalikia peke yake?mara nyingi tumeshuhudia pindi panapozaliwa mahusiano kati ya wanadamu wawili khususan wenye afya njema tukio muhimu linalosubiriwa na pande zote mbili zilizounga mahusiano hayo ni tendo la kutafuta kizazi kitakachoendeleza muungano wa familia mbili hizo zilizoungana kwa njia ya damu.
nikimuangalia Tagon na changamoto zake alizozipitia kimaisha hususan kitendo chake cha kuificha asili yake ya igutus kwa kutumia upanga sidhani kama atakuwa tayari kutafuta mtoto haliyakuwa tayari anaye mwengine wa kulea (adopted son) ambaye ni Saya na tayari alikwisha muahidi ya kwamba yeye ndiye atakayekuwa mrithi wake pindi atakapoondoka madarakani.
Hilo ndio tatizo atakalokutana nalo Taelha na atajutia maamuzi yake ya kujipendekeza na kumuamini Tagon kwa maisha yake yote na kumdharau baba yake, kwa kutegemea kupata mtoto atakayeliwezesha kabila lake lake la Hae kuwa na nguvu baadae ndani ya arthdal pindi mwanawe wa kumzaa atakaporithi madaraka atakapoondoka Tagon.
Tukumbuke sababu kubwa inayomfanya Taelha atofautiane na baba yake kwa muda wote ni ile hali ya kutokubalina kimtazamo wa njia gani sahihi itumike ili kabila lao la Hae liwe na nguvu kuliko kabila la sanyeok na mengineo.
je ikitokezea Saya amerithi madaraka ya Tagon atampa heshima ya queen dowager Taelha?Hakuna binadamu muhuni, kahaba, muuaji na msomi wa kuzaliwa bali yote hayo yanatokana na mazingira aliyokulia na ukimuangalia Saya amekulia kwenye mikono ya wanadamu ambao mikono yao imejaaa damu ya wasiokuwa na hatia kama neanthal species na wenye hatia kama Asa hon na baadhi ya wafuasi wake.
Saya bado ana machungu ya kumpoteza mchumba wake ambaye aliuliwa na Hae Too Ak kwa amri yaTaelha hivyo basi siku atakayopata nguvu ya madaraka atahakikisha analipiza kisasi kwa Taelha na Hae Too Ak a.k.a bibi bonge.
Taelha atahitaji mtoto ili ajiokoe na kifo kutoka kwa Saya na Tagon hatohitaji mtoto kwa sababu wanaye Saya.
ngoja tuone itakavyokuwa ila mara nyingi stori za korea historical drama ndivyo zinavyokuwa.
View attachment 1209911
hata mimi nashangaaa wakati hadithi yake ukiifuatilia kwa umakini utafanikiwa kuielewa.Na huku kwa eunseom mambo yanapamba moto. Hii drama sijui kwanini wengine hawajaielewa wakati ni moto wa kuotea mbali. Ya 17 tagon ndio atajitangaza king naona
Hii ni motoWacha nipambane na Six Flying DragonsView attachment 1210784View attachment 1210785View attachment 1210786
Ngoja niendelee nayo nitaielewa mbele kwa mbeleHii ni moto
Ukimaliza hiyo angalia"Tree with deep root"Wacha nipambane na Six Flying DragonsView attachment 1210784View attachment 1210785View attachment 1210786