Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Mpindue tu.
usinione nipo kimya bado nafikiria cha kukujibu na huenda jibu langu kwa njia ya maandishi likachukua muda mrefu :p:p
ngoja nianze na jibu hili kwanza then pengine mwaka ujao inshaallah nitawasilisha jibu la maandishi rasmi

ndoto imenifanya nikumbuke ujinga wa kuchelewa kwangu mpaka eunseom amekuja kuniibia.
kumbe anayeotwa alikwisha nifungulia milango zamani ila sikuwa nafahamu hilo.:p:p:p

anyeong
 
usinione nipo kimya bado nafikiria cha kukujibu na huenda jibu langu kwa njia ya maandishi likachukua muda mrefu :p:p
ngoja nianze na jibu hili kwanza then pengine mwaka ujao inshaallah nitawasilisha jibu la maandishi rasmi

ndoto imenifanya nikumbuke ujinga wa kuchelewa kwangu mpaka eunseom amekuja kuniibia.
kumbe anayeotwa alikwisha nifungulia milango zamani ila sikuwa nafahamu hilo.:p:p:p

anyeong

Hmm! Haya Nasubili Hayo Maandishi
 
KWA WANAOJUA JINSI YA KUDOWNLOAD KOREAN DRAMA JAMANI NAOMBA ANIEFUNDISHE
Tumia uc browser

Ingia google andika daebakdrama.com ingia humo tafuta movie uitakayo click utaona maneno click download fata hatua utaweza

Ukiikosa drama uitakayo humo ingia kissassian au dramanice search drama kisha click download chagua rapidvideo utadownload vizuri
 
Tumia uc browser

Ingia google andika daebakdrama.com ingia humo tafuta movie uitakayo click utaona maneno click download fata hatua utaweza

Ukiikosa drama uitakayo humo ingia kissassian au dramanice search drama kisha click download chagua rapidvideo utadownload vizuri
Asante Numbisa nipo naugulia maumivu ya bando langu,maana sikujua kama ingekua simple kiasi hiki.

Nawaza pa kupata external kubwa hapa maana usiku wa leo TOBOA NIGHT nitalitumia ipasavyo..

😍😍😍😍
 
Katka kuangalia season kwang sijawah kuona season kali kama hyo, na nmehangaika sana kutafuta zaid ya hyo mpaka sasa ni sawa na chinese drama season kali kama God of war.
Nielezee kidogo hiyo six flying dragons inahusu nini?
 
Nice pia kuna dramacool9.co hata mie nilishawahi kupoteza bando pale dramania ilipogoma na harakati za kutafuta mbadala wake.

Hio toboa night ni ofa ya mtandao gani?
Asante Numbisa nipo naugulia maumivu ya bando langu,maana sikujua kama ingekua simple kiasi hiki.

Nawaza pa kupata external kubwa hapa maana usiku wa leo TOBOA NIGHT nitalitumia ipasavyo..

😍😍😍😍
 
49 Reactions
Reply
Back
Top Bottom