Gyeoul
JF-Expert Member
- Jan 28, 2015
- 3,758
- 5,364
teh teh teh.
kuna watu hii sehemu nilipo wanahisi nimeshanganyikiwa.
hapa nilipo hospitali ya mnazi mmoja ipo karibu huenda nikapekwa huko kupimwa akili
hahahahahahaaaa
tufunge mjadala mpaka muda mwengine.
nitakuletea stori za tagon, eunseom na wale wahuni waliopaka rangi usoni kama wacheza ngoma za uchawini.
Hahahhahaa. Kama Yule Muhuni Aloongozana Na Eunseom Kwenda Kwa Hao Mabaharia Yaani Yule Ndo Baharia Kabisaa.