Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Kama Nawewe Baharia Usemee Maana Naona Ndo Chama Lenu Ilo Jipya!

Kama Yule Baharia Wanamuita 7800 Usifike Uku Pleeezz.
daemusin huyu porojo unayemuona humu ndani hafanani kabisa na yule aliye nje ya JF.
hafanani kabisa.


hayo maneno (hafanani kabisa) yakumbuke kuanzia leo
 
Hahahaha! Wote Itakua Nimabaharia!

Kumbe Unapitaga Uko, Kuna Siku nilikua Napitia Uzi Mmoja Ivyi Nikaona Comment Yako Nilibaki Kucheka Tu.
teh teh teh. :( :(
kuna watu hii sehemu nilipo wanahisi nimeshanganyikiwa.
hapa nilipo hospitali ya mnazi mmoja ipo karibu huenda nikapekwa huko kupimwa akili

hahahahahahaaaa
tufunge mjadala mpaka muda mwengine.
nitakuletea stori za tagon, eunseom na wale wahuni waliopaka rangi usoni kama wacheza ngoma za uchawini.
 
49 Reactions
Reply
Back
Top Bottom