Gyeoul
JF-Expert Member
- Jan 28, 2015
- 3,758
- 5,364
🤣naomba ufute neno dhaifu tafadhali. tumia neno mafala yaliokubuhu
Hamna Wachezaji Pale Kabisaa Kabisaaa!
🤣naomba ufute neno dhaifu tafadhali. tumia neno mafala yaliokubuhu
nimehamia AJAX🤣
Hamna Wachezaji Pale Kabisaa Kabisaaa!
Hahahahaha!! Njoo Liver!nimehamia AJAX
sote tukipenda liverpool kuna siku tutakuja kuchuniana utadhani tumekojowa kitandaniHahahahaha!! Njoo Liver!
Hahahahaha Unaanza Maneno Yako!sote tukipenda liverpool kuna siku tutakuja kuchuniana utadhani tumekojowa kitandani
liverpool wamekalia kishamba shamba utadhani wachezaji wao wamezaliwa karne ya 19.Hahahahaha Unaanza Maneno Yako!
Tuchuniane kwa Nini!??
Washamba Tena!liverpool wamekalia kishamba shamba utadhani wachezaji wao wamezaliwa karne ya 19.
karibu AJAX.
afya yangu bado haijaniruhusu kurudi uwanjani.Washamba Tena!
Umeona Nguvu Ya Upendo! Dal Moon Kaamua Maamuzi Magumu!
Pole, Upate Nafuu InshaAllahafya yangu bado haijaniruhusu kurudi uwanjani.
viporo vimejaa kwenye chungu
nimeanza mazoezi lakini sitaki kuyatesa macho kwa kiwango kikubwa, maybe jumamosi nitakusanya viporo vyote kuanzia final episode ya the fiery priestPole, Upate Nafuu InshaAllah
Nikajua Ushapona
Pepa Lini!??nimeanza mazoezi lakini sitaki kuyatesa macho kwa kiwango kikubwa, maybe jumamosi nitakusanya viporo vyote kuanzia final episode ya the fiery priest
Hii Drama Ni Nzuri!??nimeanza mazoezi lakini sitaki kuyatesa macho kwa kiwango kikubwa, maybe jumamosi nitakusanya viporo vyote kuanzia final episode ya the fiery priest
umri wangu mimi ni mara tatu ya umri wako, unajua kama kiumri namzidi jurgen klopp?Pepa Lini!??
daah hao wa ibadani , sokoni, kazini sijui bombani wapenyeze hapo kwenye TV na Jf. Usimuuzie kesi aminas hizo takwimu umeingia jikoni mwenyewekwenye TV unamiliki watatu
mtaani unamiliki watatu
JF unamiliki watatu
ofisini unamiliki watatu
sokoni unamiliki watatu
ibadani unamiliki watatu
unapoenda kuchota maji unamiliki watatu
takwimu hizi ni kwa mujibu wa aminas
sihusiki na takwimu hizi za IMF
na log out muda huu
replay yako nitakuja kuisoma baadae, nahofia itakusanya upepo wa kimbunga muda huu.
nilijua hutoniamini lakini sawa.daah hao wa ibadani , sokoni, kazini sijui bombani wapenyeze hapo kwenye TV na Jf. Usimuuzie kesi aminas hizo takwimu umeingia jikoni mwenyewe
nilijua hutoniamini lakini sawa.
nimeshanuna.
mimi nipo upande wa pili wa muungano sasa nimejuaje takwimu za IMF wakati wizara yangu ya fedha haitambulikani?
Khaa mimi simo, nakwambia mimi simoahsante sana kwa kunipandisha kiwango.
Twaweza si ndio walikuja na utafiti wa 1:4.
kila watu wanne mmoja na kichaa.
rais + makamo + waziri mkuu + spika = mmoja ni kichaa
Kwani hizo takwimu zilikuwa zinahusu nchi ganihivi kisheria nimefanya makosa?
rais wa wapi?
makamo wa wapi?
waziri mkuu wa wapi?
spika wa wapi?
yes ni drama nzuri kuliko bakuli la urojo wa forodhani usikuHii Drama Ni Nzuri!??