Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

"tafadhali simama, ni mara ngapi nimekuomba uwe mwanamke wangu lakini hutaki, leo hii unasema upo tayari uwe mke wangu, labda unafikiri nitajisikia furaha, hali ya kuwa mimi sipo ndani ya moyo wako, si unasema utakuwa mke wangu basi sawa hata kama nitashindwa kuuteka moyo katu sitakubali kuupoteza mwili wako “

“laiti kama maneno hayo ningeliyasikia tulipokuwa Mujinju ningelijiona ni mwanamme mwenye bahati sana na ningeliachana na ukorofi wote nilionao, lakini wewe moyoni mwako yupo jang bogo tu,

mama yangu alikuwa mtumwa na alifariki kwenye jahazi ndipo master yi akaamua kunilea yeye ni kama baba yangu, mwanzo niliwahi kukwambia kuwa niliwahi kukuona ulipokuwa mdogo maeneo ya Chunghae, urembo wako, tabasamu lako niliamini vingeliniondolea upweke na huzuni nilionao kwa kukosa mapenzi na malezi ya mama ila nimeshindwa kumuondoa jang bogo ndani ya moyo wako kwa hivyo tafadhali nakuomba uondoke uwende kwa jang bogo kwani yeye ndie pekee unayemuona atakupa furaha”

jamani jamani jamani hivi wale madirector pamoja na waandishi waliokuwa wanasimamia project mfano wa jumong, emperor of the sea, emperor wang guhn, age of warriors, yeon gaesomun, tears of dragon n.k
wako wapi?
je wameshafariki?


kama wapo hai mbona hawatengenezi tena project za kibabe kama zile?

siku hizi ni mwendo wa stori za kijinga, mara paap do min joon katoka sayari ya masi au physics anakwenda duniani kukutana na binti karemmbo mwenye mapengo

mara paap general choi young mtemi aliyeshindwa na yi seong gye anatoka gaegyeong anaelekea seoul kumtafuta daktari akamtibu mfalme nguvu za kiume utafikiri miti aina ya ginseng imekwisha nchini goryeo au joseon.

1072653
 
"tafadhali simama, ni mara ngapi nimekuomba uwe mwanamke wangu lakini hutaki, leo hii unasema upo tayari uwe mke wangu, labda unafikiri nitajisikia furaha, hali ya kuwa mimi sipo ndani ya moyo wako, si unasema utakuwa mke wangu basi sawa hata kama nitashindwa kuuteka moyo katu sitakubali kuupoteza mwili wako “

“laiti kama maneno hayo ningeliyasikia tulipokuwa Mujinju ningelijiona ni mwanamme mwenye bahati sana na ningeliachana na ukorofi wote nilionao, lakini wewe moyoni mwako yupo jang bogo tu,

mama yangu alikuwa mtumwa na alifariki kwenye jahazi ndipo master yi akaamua kunilea yeye ni kama baba yangu, mwanzo niliwahi kukwambia kuwa niliwahi kukuona ulipokuwa mdogo maeneo ya Chunghae, urembo wako, tabasamu lako niliamini vingeliniondolea upweke na huzuni nilionao kwa kukosa mapenzi na malezi ya mama ila nimeshindwa kumuondoa jang bogo ndani ya moyo wako kwa hivyo tafadhali nakuomba uondoke uwende kwa jang bogo kwani yeye ndie pekee unayemuona atakupa furaha”

jamani jamani jamani hivi wale madirector pamoja na waandishi waliokuwa wanasimamia project mfano wa jumong, emperor of the sea, emperor wang guhn, age of warriors, yeon gaesomun, tears of dragon n.k
wako wapi?
je wameshafariki?


kama wapo hai mbona hawatengenezi tena project za kibabe kama zile?

siku hizi ni mwendo wa stori za kijinga, mara paap do min joon katoka sayari ya masi au physics anakwenda duniani kukutana na binti karemmbo mwenye mapengo

mara paap general choi young mtemi aliyeshindwa na yi seong gye anatoka gaegyeong anaelekea seoul kumtafuta daktari akamtibu mfalme nguvu za kiume utafikiri miti aina ya ginseng imekwisha nchini goryeo au joseon.



Please let her be by my side
Although I would not get her heart...
just until she notice
Please help her one day look back
so that she can see that I'm always by her side

Whenever that will be
help me wait until the day
My heart that wants her
should not be sinned.

Please help her someday notice
that my humble love for her is endless
My heart that wants her
should not be sinned...

Please hear my prayers..
Help me I don't hurt her again
because of the love I cannot have
It will make

Please hear my prayers....
Laying myself in a breeze
I am now leaving this world.
I shall hide my self
Love, my sorrowful love
Let us depart from this world together

If I can never forget you
If that is what I will do...
I shall rather bury you in my heart
What really is painful than waiting you is
realizing the fact that I am still loving you
Years and years have passed...
But since I know that I will never be able to erase my desire for you
"It is not a love" I keep telling myself...
it is never a love"
But I still love you
The piercing tears flowing in my heart
calls me to leave you

unapovuta bangi nyakati za usiku unajihisi kama unamtuma bill gates akuandalie chai kumbe maruerue ya kufungwa na barcelona bado hayajaondoka kichwani.
View attachment 1072653


Kumbe na wewe umeliona hilo? (Hapo kwenye purple)
Drama za siku hizi ni hovyohovyo sana, mimi naangalia tu sina jinsi ila moyo wangu bado uko kwenye drama za zamani (miaka ya 2012 kurudi nyuma)

Bora historical drama, hizi drama za town ndio kuna utoto mwingiiiiii, inabidi ufanye uchambuzi mzuri ndipo uweze kupata drama ya maana.
Imagine ile Goblin iliyopendwa na kusifiwa sana mimi ilinishinda episode chache kuelekea mwisho, huko kote nilivumilia nikidhani nitafika pazuri lakini wapi! Ni moja kati ya drama za hovyo kabisa kuziona.

Nahisi pia generation inayoangalia hizi drama imebadilika, watu wazima baada ya kuona utoto mwingi wamekaa pembeni sasa watoto walio wengi ndio wamejaa naona directors wameusoma mchezo ndio maana wanaandaa drama za mambo ya kitoto-toto.

My Oppa siku akirudi ktk drama nitakuwa kichaa, miss him much.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Nimeshamaliza The Great Seer, ilikuwa kali naipa 9/10.
Sasa kwakuwa umelalialia ngoja nianze na Bidam kwenye The Fiery Priest, lol
Nikiimaliza hiyo ndio nitaanza kuangalia Sambong.

Hata hivyo nimeangalia drama za historical siasa sana hadi nimechoka, uzuri hii ninayotaka kuangalia genres zake ni crime na comedy.
Nimemiss kuangalia drama zenye intelligence kali, na hapo tena mzee baba Jukbang yupo humo ni raha tele.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Jukbang ni shida

MGC
 
mara paap general choi young mtemi aliyeshindwa na yi seong gye anatoka gaegyeong anaelekea seoul kumtafuta daktari
Ukiitazama Six Flying Dragon, Hawajaonyesha mahusiano ya General Yi Seonggye na Grand General Choi young, six flying dragon inatuonesha kuwa Yi Seong gye alikuwa ana heshimika sana pale Goryeo, lakini ukitazama Jeodong Jong anaonyesha kuwa Lee Seonggye alikuwa haeshimiki na Taifa lake la Goryeo maana alionekana kama muhamiaji toka Yuan, watu waliokuwa wanamthamini sana alikuwa Choi Young na Peoun(Meongju). Six flying dragon haituonyeshi kwabundani namna Sambong alivyoteseka mno mpaka kufikia uamizi wa Kuanzisha Taifa Jipya, najuliza watu kama Gil Taemi, Lee Bang ji,hawajaonekana kwenye Sambong Project even Lee Bang won kaonekana kwenye Episode ya 15. Kifupi Sambong Project ni Project iliyokamilika mno kuliko hata Six flying dragon, kwani adha walizokumbana nazo wananchi wa Goryeo zimeonyeshwa kwa Undani, Hata vita walizokuwa wanakumbana nazo dhidi ya maharamia wa kijapani zilikuwa si rahisi, miye naweza kusema Cho Young na Yi Songgye hawa walikuwa watiifu sana.
Swali
Hivi?!!!
Dae Joyoung,
King Gwanggaeto the Great Conqueror
Jeodong Jong( Sambong) director wao ni mmoja?! , mbona!! Zime-share % kubwa Characters?!
 
tafadhali simama, ni mara ngapi nimekuomba uwe mwanamke wangu lakini hutaki, leo hii unasema upo tayari uwe mke wangu, labda unafikiri nitajisikia furaha, hali ya kuwa mimi sipo ndani ya moyo wako, si unasema utakuwa mke wangu basi sawa hata kama nitashindwa kuuteka moyo katu sitakubali kuupoteza mwili wako “

“laiti kama maneno hayo ningeliyasikia tulipokuwa Mujinju ningelijiona ni mwanamme mwenye bahati sana na ningeliachana na ukorofi wote nilionao, lakini wewe moyoni mwako yupo jang bogo tu,
Hiki kitendo nilitafsiri kama upendo wa hali ya Juu kwa Jang Bogo, Hakika yeomun asingeweza kufurahi mapenzi bila moyo ni kazi bure, Bibie aliamua kumpa moyo wake Jang Bogo na Mwili wake kwa Yumn. Mwili bila roho ni sawa na mwanasesele.
 
Ukiitazama Six Flying Dragon, Hawajaonyesha mahusiano ya General Yi Seonggye na Grand General Choi young, six flying dragon inatuonesha kuwa Yi Seong gye alikuwa ana heshimika sana pale Goryeo, lakini ukitazama Jeodong Jong anaonyesha kuwa Lee Seonggye alikuwa haeshimiki na Taifa lake la Goryeo maana alionekana kama muhamiaji toka Yuan, watu waliokuwa wanamthamini sana alikuwa Choi Young na Peoun(Meongju). Six flying dragon haituonyeshi kwabundani namna Sambong alivyoteseka mno mpaka kufikia uamizi wa Kuanzisha Taifa Jipya, najuliza watu kama Gil Taemi, Lee Bang ji,hawajaonekana kwenye Sambong Project even Lee Bang won kaonekana kwenye Episode ya 15. Kifupi Sambong Project ni Project iliyokamilika mno kuliko hata Six flying dragon, kwani adha walizokumbana nazo wananchi wa Goryeo zimeonyeshwa kwa Undani, Hata vita walizokuwa wanakumbana nazo dhidi ya maharamia wa kijapani zilikuwa si rahisi, miye naweza kusema Cho Young na Yi Songgye hawa walikuwa watiifu sana.
Swali
Hivi?!!!
Dae Joyoung,
King Gwanggaeto the Great Conqueror
Jeodong Jong( Sambong) director wao ni mmoja?! , mbona!! Zime-share % kubwa Characters?!

Sasa ktk The Great Seer humo wahusika ni Lee Sung Gye, General Choi Young, Lee Bang Won (mtoto wa Lee Sung Gye) pamoja na Mok Ji Sang The Great Seer mwenyewe.

Lee Sung Gye anaheshimika huko zaidi japo Choi Young aliheshimika pia na makamanda wenzie ila alikuwa executed kwa kosa la uhaini kwa kumuunga mkono PM Lee In Im ambaye alifia kizuizini.

Hizi historical drama zinaelezea historia moja ila katika matukio tofauti.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Sasa ktk The Great Seer humo wahusika ni Lee Sung Gye, General Choi Young, Lee Bang Won (mtoto wa Lee Sung Gye) pamoja na Mok Ji Sang The Great Seer mwenyewe.

Lee Sung Gye anaheshimika huko zaidi japo Choi Young aliheshimika pia na makamanda wenzie ila alikuwa executed kwa kosa la uhaini kwa kumuunga mkono PM Lee In Im ambaye alifia kizuizini.

Hizi historical drama zinaelezea historia moja ila katika matukio tofauti.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Aah! Huyo Vice Chancellor ni mzinguaji kweli kweli.
 
Ndio yenyeweeeee. Wahhhhhhh hiyo kitu hatari sana, yani huko Bidam kafanya mabalaa hatari sana.
Ngoja niendelee kupata uhondo mie...
Ila Bidam jamani, Bidaaaaaaam


Sent from my iPhone using JamiiForums
Nadhani ww ndio mpenzi mkubwa wa Bidam, nina maswali kadhaa juu yake. Hivi huyu Bidam ana matatizo ya akili.?? Jamaa simuelewi kabisa, kwenye Queen Seon Duk yaani vituko kila kukicha. Mara achekecheke bila sababu yaani jamaa mara ale kamasi, ama jamaa ni comedian.??

Nampenda tu kule kujiamini kwake, Bidam anajiamini sana tena kupita maelezo. Naona kaiga tabia ya master wake Munno. Hivi ule mkono anatembeza kwa adui zake ni kweli?

Haya maneno yake hapa chini yalinifurahisha sana na kunipa ujasiri wa ghafla.
Screenshot_20190417-205913.jpg


MGC
 
"tafadhali simama, ni mara ngapi nimekuomba uwe mwanamke wangu lakini hutaki, leo hii unasema upo tayari uwe mke wangu, labda unafikiri nitajisikia furaha, hali ya kuwa mimi sipo ndani ya moyo wako, si unasema utakuwa mke wangu basi sawa hata kama nitashindwa kuuteka moyo katu sitakubali kuupoteza mwili wako “

“laiti kama maneno hayo ningeliyasikia tulipokuwa Mujinju ningelijiona ni mwanamme mwenye bahati sana na ningeliachana na ukorofi wote nilionao, lakini wewe moyoni mwako yupo jang bogo tu,

mama yangu alikuwa mtumwa na alifariki kwenye jahazi ndipo master yi akaamua kunilea yeye ni kama baba yangu, mwanzo niliwahi kukwambia kuwa niliwahi kukuona ulipokuwa mdogo maeneo ya Chunghae, urembo wako, tabasamu lako niliamini vingeliniondolea upweke na huzuni nilionao kwa kukosa mapenzi na malezi ya mama ila nimeshindwa kumuondoa jang bogo ndani ya moyo wako kwa hivyo tafadhali nakuomba uondoke uwende kwa jang bogo kwani yeye ndie pekee unayemuona atakupa furaha”

jamani jamani jamani hivi wale madirector pamoja na waandishi waliokuwa wanasimamia project mfano wa jumong, emperor of the sea, emperor wang guhn, age of warriors, yeon gaesomun, tears of dragon n.k
wako wapi?
je wameshafariki?


kama wapo hai mbona hawatengenezi tena project za kibabe kama zile?

siku hizi ni mwendo wa stori za kijinga, mara paap do min joon katoka sayari ya masi au physics anakwenda duniani kukutana na binti karemmbo mwenye mapengo

mara paap general choi young mtemi aliyeshindwa na yi seong gye anatoka gaegyeong anaelekea seoul kumtafuta daktari akamtibu mfalme nguvu za kiume utafikiri miti aina ya ginseng imekwisha nchini goryeo au joseon.
acha wewe kwa hiyo hizi drama zote unaona ni takataka?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alikuwa na tabia za kichokoraa yule sema mwanzoni alikuwa anajichukulia poa sana, mimi pia alikuwa ananifurahisha sana kuanzia pale alipowaitwa wale waliotumwa kumuua Deokman eti 'over there, come here'
Nadhani ww ndio mpenzi mkubwa wa Bidam, nina maswali kadhaa juu yake. Hivi huyu Bidam ana matatizo ya akili.?? Jamaa simuelewi kabisa, kwenye Queen Seon Duk yaani vituko kila kukicha. Mara achekecheke bila sababu yaani jamaa mara ale kamasi, ama jamaa ni comedian.??

Nampenda tu kule kujiamini kwake, Bidam anajiamini sana tena kupita maelezo. Naona kaiga tabia ya master wake Munno. Hivi ule mkono anatembeza kwa adui zake ni kweli?

Haya maneno yake hapa chini yalinifurahisha sana na kunipa ujasiri wa ghafla. View attachment 1074474

MGC

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alikuwa na tabia za kichokoraa yule sema mwanzoni alikuwa anajichukulia poa sana, mimi pia alikuwa ananifurahisha sana kuanzia pale alipowaitwa wale waliotumwa kumuua Deokman eti 'over there, come here'

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaa, huyu jamaa naomba asibadilike aendelee hivyo hivyo na vituko vyake. Ndio furahisho la moyo wangu kwa sasa baada ya kina Jukbang na Godo kupotea kwa mda mrefu sasa. Ila Jukbang atabaki kuwa juu tena zaidi yule mzee sijapata kuona aisee. Ila Bidam ana upekee wake acha tu, yaani kule kujiamini na kutembeza mkono ndio nimempenda, natamani ata awe anapigana kila mara nimuonapo. Ila kuna huyu jamaa anaitwa Yushin ananguvu na anatembeza mkono ni balaa.

Alafu hizi Korea Drama zinaweza kukutia uwendawazimu kabisa. Hivi unaweza animi nimelia na kutokwa na machozi kisa kifo cha dada yake Deokman, vile Deokman alikuwa akilia nimemuonea huruma sana mpaka nikajikuta na mimi nalia. Jamaa wana act kwa hisia sana

Ile ishu yako siku si nyingi nakufanyia, usione hivyo niko busy balaa.

MGC
 
Hahahaa, huyu jamaa naomba asibadilike aendelee hivyo hivyo na vituko vyake. Ndio furahisho la moyo wangu kwa sasa baada ya kina Jukbang na Godo kupotea kwa mda mrefu sasa. Ila Jukbang atabaki kuwa juu tena zaidi yule mzee sijapata kuona aisee. Ila Bidam ana upekee wake acha tu, yaani kule kujiamini na kutembeza mkono ndio nimempenda, natamani ata awe anapigana kila mara nimuonapo. Ila kuna huyu jamaa anaitwa Yushin ananguvu na anatembeza mkono ni balaa.

Alafu hizi Korea Drama zinaweza kukutia uwendawazimu kabisa. Hivi unaweza animi nimelia na kutokwa na machozi kisa kifo cha dada yake Deokman, vile Deokman alikuwa akilia nimemuonea huruma sana mpaka nikajikuta na mimi nalia. Jamaa wana act kwa hisia sana

Ile ishu yako siku si nyingi nakufanyia, usione hivyo niko busy balaa.

MGC
Hatari sana we endelea kuangalia utajua tu kuwa atabadilika au la
 
Nadhani ww ndio mpenzi mkubwa wa Bidam, nina maswali kadhaa juu yake. Hivi huyu Bidam ana matatizo ya akili.?? Jamaa simuelewi kabisa, kwenye Queen Seon Duk yaani vituko kila kukicha. Mara achekecheke bila sababu yaani jamaa mara ale kamasi, ama jamaa ni comedian.??

Nampenda tu kule kujiamini kwake, Bidam anajiamini sana tena kupita maelezo. Naona kaiga tabia ya master wake Munno. Hivi ule mkono anatembeza kwa adui zake ni kweli?

Haya maneno yake hapa chini yalinifurahisha sana na kunipa ujasiri wa ghafla. View attachment 1074474

MGC

Yani mimi sio tu ni mpenzi, ni mpenzi wa kutupwa wa Bidam, nampenda sana, sana.

Nilishangaa ulipomuelezea hivi ila nimefuatilia comment yako iliyofuata kumbe ndio upo mwanzoni mwa The Great Queen Seondeok? Endelea utapata kumfahamu vyema Bidam na hakika utakuwa shabiki wake kama mimi.

Nikupe facts chache kuhusiana na hiyo series, ilivunja rekodi ya series iliyoangaliwa sana nchini Korea mwaka ule iliyotoka (2009)
Ilizoa tuzo kibao ikiwemo ya best couple ya Deokman na Bidam n.k

Huo moto sio mchezo, ukimaliza hiyo karibu kwenye The Fiery Priest uendelee kumfurahia Bidam bae, sio mchezo.

Oh, mkono anaotembeza ni kweli maana ktk real life moja kati ya hobby zake ni taekwondo 🥋.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Yani mimi sio tu ni mpenzi, ni mpenzi wa kutupwa wa Bidam, nampenda sana, sana.

Nilishangaa ulipomuelezea hivi ila nimefuatilia comment yako iliyofuata kumbe ndio upo mwanzoni mwa The Great Queen Seondeok? Endelea utapata kumfahamu vyema Bidam na hakika utakuwa shabiki wake kama mimi.

Nikupe facts chache kuhusiana na hiyo series, ilivunja rekodi ya series iliyoangaliwa sana nchini Korea mwaka ule iliyotoka (2009)
Ilizoa tuzo kibao ikiwemo ya best couple ya Deokman na Bidam n.k

Huo moto sio mchezo, ukimaliza hiyo karibu kwenye The Fiery Priest uendelee kumfurahia Bidam bae, sio mchezo.

Oh, mkono anaotembeza ni kweli maana ktk real life moja kati ya hobby zake ni taekwondo .


Sent from my iPhone using JamiiForums
Hiyo fiery priest ina episode ngapi
 
Back
Top Bottom