Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Screenshot_2019-04-11-22-13-12.png
Huyu mzee napenda anavyocheka, na mambo yake hayafanyi kwa mchecheto, ktk series nilizomtazama alikuwa ni waziri mkuu.​
 
Kifupi ni Series tamu kweli kweli ni full siasa, na kuna vitu vingi najifunza toka humo.
Character pia ni wazuri, mzee wako General Fengba, Yeosok-ae n.k utawakuta humo.

General Fengba alinikeraaaa, yani nilikuwa natamani afe lakini hafi!
Yeon Seokgae is my guy, siwezi kusubiri kuanza kuiangalia hiyo Sambong.

Hivi hakuna aliyewahi kuangalia The Great Seer humu jamani? Ni kali sana nashangaa haijamake ‘headlines’ hapa!


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
General Fengba alinikeraaaa, yani nilikuwa natamani afe lakini hafi!
Yeon Seokgae is my guy, siwezi kusubiri kuanza kuiangalia hiyo Sambong.

Hivi hakuna aliyewahi kuangalia The Great Seer humu jamani? Ni kali sana nashangaa haijamake ‘headlines’ hapa!


Sent from my iPhone using JamiiForums
Hakuna Series aliyowahi kicheza mwema, pia hajawahi kizembe.

The Great Seer sijawahi kuiona.
 
Jodong Jeong( Sambong) nipo ep 10, even SIX FLYING DRAGON haiufikii huo moto wa Sambong hata kwa chembe, kifupi hawa jamaa walimaliza kila kitu hivyo sidhani kama Great Seer inaufikia.
 
Jodong Jeong( Sambong) nipo ep 10, even SIX FLYING DRAGON haiufikii huo moto wa Sambong hata kwa chembe, kifupi hawa jamaa walimaliza kila kitu hivyo sidhani kama Great Seer inaufikia.

Hahaaaaa usimalize maneno kwa drama ambayo bado hujaiangalia Mkuu.
Mimi sijaiona hiyo Sambong hivyo siwezi kusema sio nzuri zaidi ya hii The Great Seer, naimaliza leoleo na kwa maana hii itabidi niianze hiyo Sambong pia.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kuna Baadhi Ya Waigizaji Ambao Wanapendezea Sana Kuigiza Bad Guys Ama Villains, Conmen, Watu Makatili n.k. Na Miongoni Mwa Hao Ni Huyu Mzee-Kijana Jung Woong-In.

Unaweza Kuta Kuna Projects Ambazo Unakuta Muigizaji Anaigiza Kama Villain Lakini Hafananii Kabisa Na Kile Anachoigiza Na Anakuwa Kama Amelazimika Tu Kuigiza Uhusika Huo Kutokana Na Sababu Mbalimbali.

Katika Projects Nyingi Alizohusika Huyu Jamaa Na Nyingine Zijazo, Kwa Maoni Yangu Ana-Fit Sana Akiigiza Kama Villain Kutokana Na Muonekano Na Uwezo Wake Wa Kuuvaa Uhusika Wa Namna Hizo.

View attachment 1069872

View attachment 1069847
Jamaa amefaa sana kwenye Empress Ki na pia yupo kwenye......(nimesahau)
Binafsi Song Il-Gook namwelewa sana

Sent from The Black Forest


Sent from The Black Forest
 
Hahaaaaa usimalize maneno kwa drama ambayo bado hujaiangalia Mkuu.
Mimi sijaiona hiyo Sambong hivyo siwezi kusema sio nzuri zaidi ya hii The Great Seer, naimaliza leoleo na kwa maana hii itabidi niianze hiyo Sambong pia.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Kasi yako inanitisha maana miye nakwenda nayo taratibu, mwishowe utaanza kunisimulia matukio angali miye ndo nimeianza.
Nachelewa kwenda nayo kasi, sababu kuna the Great King Sejong naicheki, nayo ni tamu kweli kweli.
 
Kasi yako inanitisha maana miye nakwenda nayo taratibu, mwishowe utaanza kunisimulia matukio angali miye ndo nimeianza.
Nachelewa kwenda nayo kasi, sababu kuna the Great King Sejong naicheki, nayo ni tamu kweli kweli.

Nimeshamaliza The Great Seer, ilikuwa kali naipa 9/10.
Sasa kwakuwa umelalialia ngoja nianze na Bidam kwenye The Fiery Priest, lol
Nikiimaliza hiyo ndio nitaanza kuangalia Sambong.

Hata hivyo nimeangalia drama za historical siasa sana hadi nimechoka, uzuri hii ninayotaka kuangalia genres zake ni crime na comedy.
Nimemiss kuangalia drama zenye intelligence kali, na hapo tena mzee baba Jukbang yupo humo ni raha tele.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Nimeshamaliza The Great Seer, ilikuwa kali naipa 9/10.
Sasa kwakuwa umelalialia ngoja nianze na Bidam kwenye The Fiery Priest, lol
Nikiimaliza hiyo ndio nitaanza kuangalia Sambong.

Hata hivyo nimeangalia drama za historical siasa sana hadi nimechoka, uzuri hii ninayotaka kuangalia genres zake ni crime na comedy.
Nimemiss kuangalia drama zenye intelligence kali, na hapo tena mzee baba Jukbang yupo humo ni raha tele.


Sent from my iPhone using JamiiForums
"The Fiery Priest" ni historical drama or ni ya mjini!?!
 
49 Reactions
Reply
Back
Top Bottom