Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

kiupande fulani ulikuwa ni uamuizi wa ovyo aliyouchukua na maamuzi yale kwa kiasi kikubwa yalikuwa ni faida kubwa kwa wapinzani wa crown prince sado.

ndio maana wakati bwana mdogo yi san anakabidhiwa madaraka viongozi wote waliohusika katika mpango wa kumuangamiza prince sado walijawa na khofu ya kulipiziwa kisasi.

siasa ni mchezo usiotabirika kuliko mchezo wowote ule duniani.
Haswa, yule Joeng Jo(정 조) alitaka kuonyesha kuwa ni mzalendo kuwa yeyote anaweza kupitiwa na sheria. Kifo cha Sado{사도) inasemekana chanzo chake ni tata sana wengine wanadai kuwa waliframia kesi na wengine wanadai kuwa alikuwa na matatizo ya akili hivyo alikuwa anawabaka M-Cort lady na Ma-Maid(both are female servants) Ingawa mfalme alifanya maamuzi magumu sana. Katika utawala wake Joeng Jo(정조) suala la kuwawa Mwanae Prince Sado(사도) ndiyo doa .
 
Great Conqueror nimefika ep ya 15 sasa, ningeshafika zamani sema ile site inazingua so nahamia kwenye Yi San ikikaa poa narudi tena kuendelea.
Itoshe tu mimi kusema ni nzuri, tena nzuri kwelikweli.

Ila hivi kwanini Prime Ministers wa Korea wanakuwaga wanoko sana? Maana hapa kwenye King Gwanggaeto waziri huyu Mkuu hana tofauti na yule wa kwenye Jumong, japo wa kwenye Jumong alizidi jamani! Japo huyu sijafika mbali ila afadhali yeye ana kauzalendo kidogo.

Kama kawaida nimeendelea kuvutiwa na ‘adopted brothers’ wa Prince Damdeok kama ilivyokuwa kawaida ya kwenye historical drama lazima wawepo.
Kiukweli huwa nawapenda mno ndugu hao wa hiyari maana huwa na upendo wa kweli tofauti na ndugu zao ambao baadae hugeukana.
Hapa nawazungumzia akina Bil Disu, Seokgae, Hwang Hoe.

Upande wa wapinzani nao wamenifurahisha pia hahaaaaa, harakati zao za kutaka kumuua Daemok zimeniacha hoi.
Temper la baba Murong Chui na mwanae mimi hoi!
It’s worth watching...

Damushin jana niliona quote yako hapa ila naona umeiondoa, sio mbaya nikikujibu anyway maana nilishaisoma ...
Niliwahi kujaribu kuongeza bae mmoja kama Khantwe ...nae si mwingine bali Kim Soo Hyun ila baadae akanishinda, nimeona nibaki tu loyal kwa Il Gook Sung Maana nimeshindwa kabisa kupata mbadala wake.
I like the way he is calm, yani jamaa huwa anaigiza akiwa relaxed mnoooo.
Hadi unasahau kama anaigiza, hii ndiyo uniqueness yake inayofanya nimkubali sana.

Kuhusu Terms Of Endearment niliwahi kuona umeandika mwaka jana au juzi hivi, ilinivutia nikajaribu kuitafuta kwenye site yangu pendwa sikuipata nikaamua kuachana nayo kwa muda ila lazima tu nitaiangalia, na hivi tena Oppa bae yupo huko? Hiyo ni must watch.

Haya jamani ngojeni nirudi kuangalia Gwanggaeto na Yi San mie...



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mpaka sasa kwenye Historical drama mtu aliyenikosha na mapigo yake ni Gukson Muno(the Great Queen)

Hebu acha usinikumbushe Gukseon Munno bhana, nililiaaaaaaaaa alipouawa kizembe sababu ya ujinga wa Bidam.
Ila ile drama ilijua kuniliza Wallah, episode ambazo sikutoa machozi ni chache sana.

Ndio maana hadi leo drama zangu 3 bora za wakati wote ni Jumong, Queen Seondeok na Dong Yi.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Great Conqueror nimefika ep ya 15 sasa, ningeshafika zamani sema ile site inazingua so nahamia kwenye Yi San ikikaa poa narudi tena kuendelea.
Itoshe tu mimi kusema ni nzuri, tena nzuri kwelikweli.

Ila hivi kwanini Prime Ministers wa Korea wanakuwaga wanoko sana? Maana hapa kwenye King Gwanggaeto waziri huyu Mkuu hana tofauti na yule wa kwenye Jumong, japo wa kwenye Jumong alizidi jamani! Japo huyu sijafika mbali ila afadhali yeye ana kauzalendo kidogo.

Kama kawaida nimeendelea kuvutiwa na ‘adopted brothers’ wa Prince Damdeok kama ilivyokuwa kawaida ya kwenye historical drama lazima wawepo.
Kiukweli huwa nawapenda mno ndugu hao wa hiyari maana huwa na upendo wa kweli tofauti na ndugu zao ambao baadae hugeukana.
Hapa nawazungumzia akina Bil Disu, Seokgae, Hwang Hoe.

Upande wa wapinzani nao wamenifurahisha pia hahaaaaa, harakati zao za kutaka kumuua Daemok zimeniacha hoi.
Temper la baba Murong Chui na mwanae mimi hoi!
It’s worth watching...

Damushin jana niliona quote yako hapa ila naona umeiondoa, sio mbaya nikikujibu anyway maana nilishaisoma ...
Niliwahi kujaribu kuongeza bae mmoja kama Khantwe ...nae si mwingine bali Kim Soo Hyun ila baadae akanishinda, nimeona nibaki tu loyal kwa Il Gook Sung Maana nimeshindwa kabisa kupata mbadala wake.
I like the way he is calm, yani jamaa huwa anaigiza akiwa relaxed mnoooo.
Hadi unasahau kama anaigiza, hii ndiyo uniqueness yake inayofanya nimkubali sana.

Kuhusu Terms Of Endearment niliwahi kuona umeandika mwaka jana au juzi hivi, ilinivutia nikajaribu kuitafuta kwenye site yangu pendwa sikuipata nikaamua kuachana nayo kwa muda ila lazima tu nitaiangalia, na hivi tena Oppa bae yupo huko? Hiyo ni must watch.

Haya jamani ngojeni nirudi kuangalia Gwanggaeto na Yi San mie...



Sent from my iPhone using JamiiForums
Huyo waziri mkuu alianzisha mapinduzi lkn mwisho wake ulikuwa wakutisha. Pia hapo mbeleni atatokea Mchawi mmoja anaitwa Ha muji ambaye atakuwa ni military advisor huyu mtu anaakili nyingi mno

Yi san miye nimefika ep. 27 kifupi ni nzuri.

Site(drama cool) ina matatizo gani?!
 
unajua kwa nini leo nimeitembelea hii thread baada ya takribani siku 10 kupita?
jibu ni rahisi, nahitaji nikusaidie drama nyengine ya kuangalia kwa sababu nimeshaona dalili za uanaharakati kutoka kwako, ila tu chonde chonde karata zako zichange vizuri dada yangu yasije yakakutokezea ya bwana jung do jeon a.k.a sambong.
Kabla hujaanza kuifuatilia historical drama nyengineyo basi itafute hii lakini bahati mbaya kissasian haipo.

JUNG DO JEON (SAMBONG) : 2014 project
View attachment 991270

  1. Jeong Do Jeon at Dramanice
ukiiangalia hii picha kwa macho yote mawili utakutana na veterani actor watupu ambao wanafahamu maana halisi ya kuigiza historical drama. kama ilivyo jing bi rok drama na humu ndani vile vile hamuna muda wa mapenzi bali ni ubabe wa wanasiasa.
kama umewahi kuiangalia six flying dragons drama na ukaiangalia na hii itakuwa unatembea mule mule ila kwa asiyefahamu six flying dragons ni project ya mwaka 2015 wakati hii ni project ya mwaka 2014.

mwandishi wa six flying dragons kwa kiasi kikubwa anatulazimisha tuamini ya kwamba shujaa aliyefanikiwa kuiangusha goryeo na kuzaliwa joseon alikuwa ni yi bang won ambaye baadaye anakuwa mfalme wa tatu wa joseon (taejong) baada ya kufanya mapinduzi ya damu kwa ndugu zake na wapinzani wake, lakini shujaa wa ukweli ni huyu jamaa anayeitwa jung do jeon(sambong)
humu ndani utaona jinsi gani sambong alivyoweza kupambana kutoka mwanasiasa asiyekuwa na nguvu hadi akafanikiwa kumshinda waziri mkuu wa goryeo na mpaka kufikia hatua ya kuiangusha Goryeo kingdom na kuzaliwa Joseon akishirikiana na general yi seong gye. Kuna tabu nyingi sana alizipitia ikiwemo kugombana na rafiki yake kipenzi jung moong jo
best historical drama na hutojutia kuitazama nakuahidi.

  1. Jeong Do-jeon alizaliwa na kufariki (1337-1398), alikuwa ni mwanasiasa na mwanamapinduzi wa ukweli nyakati hizo za goryeo hadi joseon.
  2. ndiye alikuwa bwana mipango wa general yi seong gye ambaye ndiye mfalme wa kwanza wa joseon (taejo).Wawili hao walikutana kwa mara ya kwanza mnamo mwaka 1383 maeneo ya hamgyeong.
  3. walipofanikiwa kuiangusha goryeo alichaguliwa kuwa waziri mkuu wa kwanza wa joseon.
  4. wakati joseon makao makuu yake yalipojengwa hanyang, sambong ndiye aliyependekeza ikulu ipewe jina la Gyeong bokgung.
sambong alijikuta akiingia kwenye mgogoro na Yi Bang-won kwa sababu ya vita ya urithi wa madaraka ambapo sambong kiupande wake hakuvutiwa na mtazamo wa kiuongozi aliyokuwa nao yi bang won.
  1. sambong aliamini ya kwamba serikali bora ni ile inayoongozwa na watu wote wakiwa na uhuru wa kutoa mawazo yao mbele ya kiongozi mkuu, sambong aliamini ya kwamba pindi kiongozi mkuu wa nchi anapoongoza nchi kwa ushirikiano wa watumishi bora aliowachagua basi hata kama mfalme ni mediocre basi siasa ataiweza. Dhana hii kiupande fulani ilipingwa na wapinzani wake ambao waliamini ya kwamba sambong alikuwa na mpango wa kujimilikisha madaraka kwa kumtumia mtoto mdogo wa yi seong gye. lakini hoja zao alizijibu ya kwamba mfalme ndiye mwenye mamlaka ya kunichagua mimi na pia ana mamlaka ya kuniondoa mimi hivyo basi kama ataniona ni tishio basi atakuwa na haki ya kuniondoa madarakani.hivyo basi aliamini kama yi bang won atashika madaraka ataongoza kwa mkono wa chuma.
  2. yi bang won na washirika wake waliamini ya kwamba kwa kuwa joseon bado ni taifa changa basi linamhitaji zaidi kiongozi atakayekuwa na msimamo ili aweze kulivukisha mbali taifa hilo kwa sababu bado waliendelea kujitokeza wanaharakati waliotaka kuirudisha goryeo. Vita ya watu hawa wawili wenye akili nyingi ilimalizwa kwa mapinduzi ambapo yi bang won aliwaua ndugu zake ambao walikuwa hawakubaliani kimtazamo na vile vile alimuua sambong na watu wake na kumtangaza kama ni msaliti wa nchi. yale aliyoyahofia sambong ndiye yaliotokezea wakati wa utawala wa mfalme taejong kwa miaka 18 ya utawala wake kwa sababu alitawala kidikteta, japokuwa alifanikiwa kuifanya joseon kuwa taifa imara kabla hajamuachia madaraka yote mtoto wake yi do (sejong the great). Nilichowapendelea zaidi wanasiasa hawa wawili ni kwamba wote walitaka kuyapigania maslahi ya wananchi na si matumbo yao

great thinker jeong mong ju na jung do jeon walikuwa ni marafiki sana nyakati hizo wanasoma pamoja mpaka kujiingiza kwenye siasa nyakati za goryeo. wawili hao kwa pamoja walikuwa na ndoto ya kuleta mageuzi kwenye utawala wa goryeo ambao uligubikwa na rushwa na ubadhirifu wa rasilimali nyakati za mwishoni.
bahati mbaya sana wawili hao walipoteana njia baada ya sambong kubadili msimamo wake wa kutaka kuirudishi heshima goryeo hadi kufikia hatua ya kuizamisha goryeo na kuanzisha joseon.
  1. sambong aliamini ya kwamba kwa hatua iliofikia goryeo hakuna uwezekano wa kuirudisha katika njia ilionyooka kama ndoto zao zinavyowaaminisha, bali njia pekee ni kuizamisha goryeo iliotawaliwa na ukoo wa WANG ( from emperoe wangun to.....). sambong aliamini ya kwamba taifa jipya chini ya kiongozi mpya atakayekuwa chini ya wanasiasa wanaokwenda na wakati ndiyo ukombozi wa wananchi.
  2. great thinker jeong mong ju aliamini ya kwamba kubadilisha jina la taifa kusingeliondoa uhalisia wa dhiki wanazokumbana nazo wananchi, kiupande wake aliamini goryeo hii inayoonekana kuchoka kama atapatikana kiongozi bora basi wananchi watayafurahi maisha, hivyo basi alikataa maoni ya sambong na wafuasi wake mpaka kufa kwake, bwana yule aliamini ya kwamba Tanzania kuipa jina jipya la Dubai haimaanishi chochote kiuhalisia kama viongozi wake hawaendani na jina la Dubai. msimamo wa bwana huyu ulikuwa ni mwiba mchungu sana kwa upande wa sambong na wafuasi wake kwa sababu yeye aliyekuwa ndio nguzo ya mwisho ya goryeo, hivyo basi kama jeong mong jo angeliachana na mkakati wa kuipigania goryeo na kuungana na sambong basi urafiki wao ungeliendelea kuwepo kama mwanzoni.
hatimaye Jeong Mong-ju aliuliwa mnamo mwaka 1392 kwenye daraja la sonjuk na aliyeongoza mauaji hayo ni yi bang won, nyakati hizo sambong alikuwa kifungoni kutokana na harakati zake za kuiangusha goryeo.
historia hadi leo inamtaja Jeong Mong-ju kama ni mzalendo wa ukweli aliyeamua kufa kwa ajili ya nchi yake ya Goryeo. kifo chake ndio ulikuwa mwisho wa taifa la goryeo kuendelea kuwepo kwani mwaka huo ndio taifa la joseon lilipoanzishwa.

siku chache kabla ya kifo chake vita ya maneno kati ya pande mbili hizo ilizuka ila kwa njia ya ushairi

yi bang won aliandika shairi lifuatalo
What shall it be: this or that?
The walls behind the temple of the city's deity* has fallen - shall it be this?
Or if we survive together nonetheless - shall it be that?

jeong mong ju naye akajibu
Though I die and die again a hundred times,
That my bones turn to dust, whether my soul remains or not,
Ever loyal to my Lord, how can this red heart ever fade away?


KBS DRAMA AWARDS:2014

  1. Daesang awards (muigizaji bora wa mwaka) : Yoo Dong Geun ambaye pia mwaka huu amebeba tunzo hii
  2. High Excellence Award in Acting :Jo Jae Hyun
  3. Excellence Award in Acting park Young Gyu
  4. Best Screenwriter :Jeong Hyun Min
ina maana hii drama ndio ilibeba tunzo ya ubora kwa mwaka 2014, mwaka 2015 drama ya jing bi rok the memoir of imjin war ndio ilibeba drama bora ya mwaka.
kwa maelezo zaidi tembelea tovuti hii
anyeong
Ndugu unaweza kunisaidia Source ya hiyo historia ya kina Sambong nami nikajifunze zaidi kuhusu wao?!
 
Hebu acha usinikumbushe Gukseon Munno bhana, nililiaaaaaaaaa alipouawa kizembe sababu ya ujinga wa Bidam.
Ila ile drama ilijua kuniliza Wallah, episode ambazo sikutoa machozi ni chache sana.

Ndio maana hadi leo drama zangu 3 bora za wakati wote ni Jumong, Queen Seondeok na Dong Yi.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Hii Queen Sandeok ndio ameigiza yule dada wa kwenye 49 days? Huwa naitamani ila ndefu sana khaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Great Conqueror nimefika ep ya 15 sasa, ningeshafika zamani sema ile site inazingua so nahamia kwenye Yi San ikikaa poa narudi tena kuendelea.
Itoshe tu mimi kusema ni nzuri, tena nzuri kwelikweli.

Ila hivi kwanini Prime Ministers wa Korea wanakuwaga wanoko sana? Maana hapa kwenye King Gwanggaeto waziri huyu Mkuu hana tofauti na yule wa kwenye Jumong, japo wa kwenye Jumong alizidi jamani! Japo huyu sijafika mbali ila afadhali yeye ana kauzalendo kidogo.

Kama kawaida nimeendelea kuvutiwa na ‘adopted brothers’ wa Prince Damdeok kama ilivyokuwa kawaida ya kwenye historical drama lazima wawepo.
Kiukweli huwa nawapenda mno ndugu hao wa hiyari maana huwa na upendo wa kweli tofauti na ndugu zao ambao baadae hugeukana.
Hapa nawazungumzia akina Bil Disu, Seokgae, Hwang Hoe.

Upande wa wapinzani nao wamenifurahisha pia hahaaaaa, harakati zao za kutaka kumuua Daemok zimeniacha hoi.
Temper la baba Murong Chui na mwanae mimi hoi!
It’s worth watching...

Damushin jana niliona quote yako hapa ila naona umeiondoa, sio mbaya nikikujibu anyway maana nilishaisoma ...
Niliwahi kujaribu kuongeza bae mmoja kama Khantwe ...nae si mwingine bali Kim Soo Hyun ila baadae akanishinda, nimeona nibaki tu loyal kwa Il Gook Sung Maana nimeshindwa kabisa kupata mbadala wake.
I like the way he is calm, yani jamaa huwa anaigiza akiwa relaxed mnoooo.
Hadi unasahau kama anaigiza, hii ndiyo uniqueness yake inayofanya nimkubali sana.

Kuhusu Terms Of Endearment niliwahi kuona umeandika mwaka jana au juzi hivi, ilinivutia nikajaribu kuitafuta kwenye site yangu pendwa sikuipata nikaamua kuachana nayo kwa muda ila lazima tu nitaiangalia, na hivi tena Oppa bae yupo huko? Hiyo ni must watch.

Haya jamani ngojeni nirudi kuangalia Gwanggaeto na Yi San mie...



Sent from my iPhone using JamiiForums
mimi nina bae wengi wewe karibu kila drama natoka nae mmoja japo huwa sidumu nao, halafu mimi mara nyingi huwa navutiwa na second lead sijui kwa nini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaha! As usual Na Maneno yako!

We Ukisema Kikavuu Wenzio Wanatengenezea Na Maji Ya Ndimu Kinalika!

Ivyi Hii Inakaaje!? Unamuona Mzuri Na Wa Maana Akishaondoka Kwako Eti Ahjussi Niambie Kwanza Inakuaje Hii?

Nimekuwa EMPTY Sasa Episode Za Wiki ilopita Naona Nimekua Mzito kuzimalizia!
wengi wao wanaochukua maamuzi ya kuacha wenzi wao kwa sababu dhaifu zinazoweza kutatuliwa hufikiria wametatua matatizo yao kumbe ni kinyume chake, mara nyingi wanaoacha kwa sababu nyepesi husukumwa zaidi na hasira za kimaamuzi kuliko sababu zenyewe za kuachana ndio maana hufikia hatua hutamani kurudiana lakini ndio hivyo muda unakuwa umeshaenda mbali na maamuzi yake.
hata wale wasiotaka kurudia mara nyingi husukumwa zaidi na kiburi kilichochanganyika na aibu lakini kiasili hakuna hata mmoja asiyemkumbuka mwenzake, kibaya zaidi kadri unavyokuwa mbali basi ndio huzidi kumkumbuka mwenzako tofauti na wale wanaokutana mara kwa mara.
maamuzi yanabaki kwa aliyeachwa either kutoa nafasi kwa mara nyengine tena kwa kutegemea yale yaliowafanya waachane watayatatua or atafute mwengine wa kumliwaza.

1547648794078.png
 
@Damushin jana niliona quote yako hapa ila naona umeiondoa, sio mbaya nikikujibu anyway maana nilishaisoma
emoji12.png
...
Niliwahi kujaribu kuongeza bae mmoja kama @Khantwe ...nae si mwingine bali Kim Soo Hyun ila baadae akanishinda, nimeona nibaki tu loyal kwa Il Gook Sung Maana nimeshindwa kabisa kupata mbadala wake.
I like the way he is calm, yani jamaa huwa anaigiza akiwa relaxed mnoooo.
Hadi unasahau kama anaigiza, hii ndiyo uniqueness yake inayofanya nimkubali sana.
umeona eeehhhhhhh!!!!
tokea nianze kuwafuatilia wakorea sijapata kuona muigizaji mwenye uwezo wa kumshinda song il kook kwenye kuzungumza kwa utaratibu hususan akiwa na mwanamke, yaani hujisahau kabisa kama naangalia maigizo.
nasisitiza sijapata kumshuhudia muigizaji anayemshinda song il kook kwenye mazungumzo dhidi ya mwanamke.
wengi wao wanavurumisha lakini jamaa mhhhhhhh ni sheedah utatamani huyo binti anayeshushiwa vidonge uwe ni ukweli na si drama.

lakini dada yangu unaonaje nifanye maandalizi ya kukutambulisha kwa huyu ahjussi mtarajiwa anayeitwa JO/CHO SANG WOO?
ulishawahi kuangalia project yoyote ya huyu mwanadamu?
uzungumzaji wake na yeye ni taratibu utadhani hotuba za bwana yule.
fanya haraka kabla yule mbeba vya wenziwe hajamuona.

anaye wa kwake anaitwa JO SANG WOOK basi pindi atakapomuona na huyu huenda akamchanganya kwenye daftari lake la mahudhurio
1547651342100.png
 
umeona eeehhhhhhh!!!!
tokea nianze kuwafuatilia wakorea sijapata kuona muigizaji mwenye uwezo wa kumshinda song il kook kwenye kuzungumza kwa utaratibu hususan akiwa na mwanamke, yaani hujisahau kabisa kama naangalia maigizo.
nasisitiza sijapata kumshuhudia muigizaji anayemshinda song il kook kwenye mazungumzo dhidi ya mwanamke.
wengi wao wanavurumisha lakini jamaa mhhhhhhh ni sheedah utatamani huyo binti anayeshushiwa vidonge uwe ni ukweli na si drama.

lakini dada yangu unaonaje nifanye maandalizi ya kukutambulisha kwa huyu ahjussi mtarajiwa anayeitwa JO/CHO SANG WOO?
ulishawahi kuangalia project yoyote ya huyu mwanadamu?
uzungumzaji wake na yeye ni taratibu utadhani hotuba za bwana yule.
fanya haraka kabla yule mbeba vya wenziwe hajamuona.

anaye wa kwake anaitwa JO SANG WOOK basi pindi atakapomuona na huyu huenda akamchanganya kwenye daftari lake la mahudhurio
sunbae unapenda kunichokoza mimi sasa hivi wananitosha Jin Goo wa mwisho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jang Hyuk in talks to appear in new JTBC's historical drama 'My Country',​
kama atakubali kushiriki drama hii ataigiza uhusika wa yi bang won ambaye baadae anakuwa mfalme wa tatu wa joseon. Lee bang won alimsaidia baba yake kwa kiasi kikubwa sana kuiangusha tawala ya Goryeo akishirikiana na jung do jeon (sambong).
mpaka sasa yang se jong na woo do hwan ndio wamethibitisha ushiriki wao ndani ya drama hii.

huyu ahjussi msamiati wa likizo kwenye ubongo wake hautambulikani kabisa, hongera Khantwe kwa kupata ahjussi wa ukweli.
mwanamme lazima apambane bila ya kuchoka kwa ajili ya kumpa ahueni mwenza wake, sisi wengine tukipata 30000 kwa siku tunapumzika huku tukijipa majina ya ovyo kama DON wakati Jang hyuk anamiliki mjengo wa kibiashara eneo nyeti kabisa lakini bado anafanya kazi kama kichaa.
:):):):eek::eek:
Habari hii iwafikie wapinzani wote wa khantwe, ngoja niwakumbuke kama bado wapo na huyu ahjussi.
scalethat + talnam
1547653369005.png

  1. Yang Se Jong Confirmed To Appear In Upcoming Historical Drama
  2. Woo Do Hwan Confirmed To Join Yang Se Jong In New Drama
  3. AOA’s Seolhyun In Talks For New Drama With Yang Se Jong And Woo Do Hwan
 
Jang Hyuk in talks to appear in new JTBC's historical drama 'My Country',​
kama atakubali kushiriki drama hii ataigiza uhusika wa yi bang won ambaye baadae anakuwa mfalme wa tatu wa joseon. Lee bang won alimsaidia baba yake kwa kiasi kikubwa sana kuiangusha tawala ya Goryeo akishirikiana na jung do jeon (sambong).
mpaka sasa yang se jong na woo do hwan ndio wamethibitisha ushiriki wao ndani ya drama hii.

huyu ahjussi msamiati wa likizo kwenye ubongo wake hautambulikani kabisa, hongera Khantwe kwa kupata ahjussi wa ukweli.
mwanamme lazima apambane bila ya kuchoka kwa ajili ya kumpa ahueni mwenza wake, sisi wengine tukipata 30000 kwa siku tunapumzika huku tukijipa majina ya ovyo kama DON wakati Jang hyuk anamiliki mjengo wa kibiashara eneo nyeti kabisa lakini bado anafanya kazi kama kichaa.
:):):):eek::eek:
Habari hii iwafikie wapinzani wote wa khantwe, ngoja niwakumbuke kama bado wapo na huyu ahjussi.
scalethat + talnam
Aigoo aigoo ndio maana mi nampendaga, hakuna mwanamke asiyependa mwanaume mpambanaji aisee. Oppa, fighting

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aigoo aigoo ndio maana mi nampendaga, hakuna mwanamke asiyependa mwanaume mpambanaji aisee. Oppa, fighting

Sent using Jamii Forums mobile app
awe na muda angalau wa kukutembeza maeneo ya seoul, jeju, song do, busan n.k
mwanamme kila siku anaonekana kwenye TV huoni wapinzani wako watakupindua wakimuona amependeza kwa makeup au unajiamini kuliko bwana yule wa Auditing.
shauri yako.
 
awe na muda angalau wa kukutembeza maeneo ya seoul, jeju, song do, busan n.k
mwanamme kila siku anaonekana kwenye TV huoni wapinzani wako watakupindua wakimuona amependeza kwa makeup au unajiamini kuliko bwana yule wa Auditing.
shauri yako.
Bwana eeh najiamini yuko bize na kazi atachepuka saa ngapi? Maisha yake ni kazi na mimi tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hivi kuna yeyote anayechukia humu ndani pindi ninapokuja na stori za sky castle drama?
kama yupo basi anyanyue mguu juu kama majeruhi wa shambulio la aibu.
sielewi kwa nini kuna watu bado wanateseka mpaka muda huu kwa kufuatilia drama zisizo na ladha nzuri kuliko juisi ya mgonjwa wa kisukari, wako wapi team mr sunshine, team goblin, team reply 1988 n.k
kimyaaaaaaa kuliko panga boy za sheikh maguvu method.

tulianza na 1.7% lakini episode ya juzi tumegonga hadi 21% kwa kuangaliwa mji wa seoul na tumegonga 19% kwa kuangaliwa nchi nzima na bado wiki hii huenda tutagonga hadi 23%
wanaochukia watapata tabu sana.​
kuna watu humu ndani wanahangaika na ahjussi uchwara, ngoja na mimi nihangaike na ahjumma.
si nasikia kulipiza kisasi ni sahihi kama hutovunja mipaka?

hivi ni nani asiyetaka mwanawe asome UDSM wakati ni kilaza kama mimi?
hivi ni nani asiyetaka aonekane ana fedha wakati ni empty kama mimi?
hivi ni nani asiyetaka aonekanwe ni Great Thinker hali yakuwa ubongo wake ni kama wa kuku?
sote tunadanganyaaaaaaa ili tupewe heshima na wenzetu.
  1. “SKY Castle” Sets New JTBC Record As Ratings Soar To All-Time High
  2. “SKY Castle” Cast To Go On Reward Vacation
  3. “SKY Castle” Responds To Script Leak And Rumors Regarding Final Episode
  4. “SKY Castle” Characters That You Would Not Want As Part Of Your Family
  5. “SKY Castle” Tops List Of Buzzworthy Dramas For 5th Week In A Row
1547657492064.png
 
Back
Top Bottom