Gwanggaeto the Great
JF-Expert Member
- Apr 14, 2018
- 817
- 1,772
Eeeh bwana eeeh...
Ngoja niicheki hii nione je ndio konki drama kuliko zote kama mnavyosema?
Kama itaweza kuizidi Jumong basi nitanyanyua mikono juu.
Kwa maana hiyo basi Jumong alikuwa emperor bora ila aliangushwa na waliomfuata, sad!
Sent from my iPhone using JamiiForums[/QUOTE
Jumong inachoizidi hii ni utamu wa stori ila kwa Vita humu ndo kwaoEeeh bwana eeeh...
Ngoja niicheki hii nione je ndio konki drama kuliko zote kama mnavyosema?
Kama itaweza kuizidi Jumong basi nitanyanyua mikono juu.
Kwa maana hiyo basi Jumong alikuwa emperor bora ila aliangushwa na waliomfuata, sad!
Sent from my iPhone using JamiiForums