Lakini pia story ilikuwa nzuri na yenye ubunifu mkubwa Kuna unashindwa kutabiri next kitu kitafuata au aliyemuona mke wa jamaa alikuwa Nani?Yeah kwakiasi chake jamaa ilijitahidi Sana kuuvaa uhalisia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini pia story ilikuwa nzuri na yenye ubunifu mkubwa Kuna unashindwa kutabiri next kitu kitafuata au aliyemuona mke wa jamaa alikuwa Nani?Yeah kwakiasi chake jamaa ilijitahidi Sana kuuvaa uhalisia.
september 23....... ni movieJaman Dae uje unambie the sword man inatoka lini?maana nshaanza kukariri trailer sio kwa uchu huu.naisubiri kwa shauku kubwa.
Jang hyuk hajawai niangusha kwa historical genre
reply 1988 drama nimesogea mpaka episode 7, kuna pambano la kibabe ilikuwa nalimalizia usiku na mchana hatimaye ikanilazimu nichukue likizo ya kuangalia wakorea. Alhamdulillah (shukurani kwa Mwenyezi Mungu) leo dae ni raia huru na nimeyaanza rasmi maisha ya uraiani.😂😂😂😂😂dada mtu anaogopwa mtaa mzima. Anafokea woote na kutishia kasoro kajamaa kamoja tu
Iko poa?nimeangalia memorist
reply 1988 drama nimesogea mpaka episode 7, kuna pambano la kibabe ilikuwa nalimalizia usiku na mchana hatimaye ikanilazimu nichukue likizo ya kuangalia wakorea. Alhamdulillah (shukurani kwa Mwenyezi Mungu) leo dae ni raia huru na nimeyaanza rasmi maisha ya uraiani.
sitakiwi kuwa na huzuni kwa sababu ya matukio yaliyokwisha pita, (kuna uzembe mmoja unaoepukika niliufanya ambao najiaminisha umechangia kurudi nyuma kiupande fulani japo sina uhakika), acha nisahau kwani napaswa kupambana na yajayo.
=================
episode 6 na 7 zimenivutia sana kwa sababu zimeanza kututoa rasmi kwenye huu ulimwengu wa kiurafiki, kifamilia, kiuwanafunzi, ujirani mwema mpaka kwenye ulimwengu wa kimahusiano na kwa sasa nachezeshwa mchezo wa unrequited love kwa kila angles (upendo wa upande mmoja).
===================
- binti anapenda yule na yule anampenda dada yake binti
- dada yake binti anamtolea nje yule.
- wewe unampenda binti na binti bado hampendi wewe
- wao na binti bado hawaelewi kipi kinaendelea nafsini mwao, wao atafahamu fika si kila wakati atacheza baduk (kuna muda wa kuanzisha mahusiano)
mapenzi ya upande mmoja si mapenzi bali na mateso: wasubiria jambo ambalo ni vigumu kujitokeza, wajitahidi kumtafuta mwanadamu asiyetaka kujionyesha kwako, masaa 24 unamfikiria mwanadamu ambaye hajawahi kukuwazia hata kwa sekunde moja (hana muda wa kufikiria bwana/ bibi yule anaendeleaje), wabaki ukijipa matumaini hewa kama mashairi ya wimbo wa jide commando (umepika chakula huli, usijigambe eti wampenda blah blah blah).
mapenzi ya upande mmoja ni zaidi ya vita: muda wote unajikuta ukipigana vita ya peke yako ya kihisia, kibaya zaidi vita hiyo huipiganii ukiwa ndotoni bali ni muda ule una fikra timamu, ni vita ambayo ni ngumu sana kushinda hadi pale adui yako atakapokufahamu na kuridhia ukitakacho, ni vita ambayo ni ngumu sana kumalizika (mpaka pale mpinzani wako atakaporidhia kujisalimisha kwako).
mapenzi ya upande mmoja ni zaidi ya kuvunjana moyo: mmoja anatoa na mwengine anapokea, mmoja anapenda na mwengine haonyeshi dalili ya kupokea upendo huo, mmoja anategemea muda wowote atapokea jambo fulani huku mwengine akilipotezea jambo hilo (either bila ya kujua au kwa kukusudia), mmoja yupo tayari kufanya lolote ili mradi atimize azma yake huku mwengine akiwa hana habari ya kinachoendelea.
hatimaye mmoja anabaki kulia kama mtoto aliyekosa maziwa huku mwengine ni mwendo wa kucheka, kutabasamu (kutuonyesha dimples kama vishimo vya kuchezea gololi).
=================================
acha niendelee kujichekea, niwaachie wenye mapenzi yao ya upande mmoja....
wewe endelea kuteseka kimya kimya kihisia (baridi yakuandama wewe, upepo wakuandama wewe) kama maiti wa baharini
Hello guys....
Nipo na...
1. Memorist
2. Hi bye mama
3. Hyena
na sijui ipi niianze maana naona zote nzuri sasa Niko dilema nina wiki sasa naziangalia tu sijui nianze ipi nisije anza mbaya nikazichukia zote bac naogopa tu hapa
september 23....... ni movie
wow, umeshafika jeju, corona inaendeleaje huko.......Kweli kitambo sijapita hapa! Mpaka umebadilika hivi sijajua! Salaam kutoka jeju
Thanks dada yake mrs sunshine the happyWaaow welcome back uchambuzi mzuri zaidi.
Pole kwa changamoto zoote ulizopitia. Kila mtu alikumiss humu.
wow, umeshafika jeju, corona inaendeleaje huko.......
siku chache zilizopita nilikuwepo Itaewon
=======
natumai ni mzima wa afya dada wa taifa la JF
nitakutaarifu vipi haliyakuwa mpaka mawasiliano ya kimtandao yalikatwa na malaika corona.Doh! Kumbe ulikuwa huku na hukunitaarifu dada yako? Zawadi utazionea kny picha. Mie mzima sana salaams kwa Amina na Numbisa.
Hello guys....
Nipo na...
1. Memorist
2. Hi bye mama
3. Hyena
na sijui ipi niianze maana naona zote nzuri sasa Niko dilema nina wiki sasa naziangalia tu sijui nianze ipi nisije anza mbaya nikazichukia zote bac naogopa tu hapa
Mkuu Nipe link ya dramanice maana nikipitia google sipati kitu kabisa, Dae msaada tafadhali.
Nipe pole mwenzio kuna drama nimepakua kule telegram episode mpaka ya tisa halafu nimefuta zote, kichwa kinaniuma tu hapa
dah! sad ending......Nipe pole mwenzio kuna drama nimepakua kule telegram episode mpaka ya tisa halafu nimefuta zote, kichwa kinaniuma tu hapa
Nimesusa, sipakui tena...nilitaka niangalie kdrama tena baada ya miaka miwili ya likizodah! sad ending......
what next?