M Z A N Z I B A R I
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 21,681
- 117,025
neee shangaziAll the best. Andaa list mapema
neee shangaziAll the best. Andaa list mapema
wow, Mungu azidi kukubariki shangazi yake mtu....... mia 5 yangu imenipa matokeo haya mpaka sasa
saa 8 dakika 7 usikuzinatosha kwa leo
- mrs cop season 1 = 18 episodes
- padam padam = 20 episodes
- dae mul = 24 episodes
- sign = 20 episodes
===============================
mlevi anasema uchaguzi uje tu, store yake imeshajaa mzigo
- fight my way = sukari
- the moon embracing the sun: chumvi
- another miss oh = mchele wa basmati
- father is strange = unga wa ngano
- dear my friends = mafuta ya kupikia
- doctors = tambi
- good detective = sembe
- live = viazi mbatata
- the light in your eyes = mchele wa mbeya
- something in the rain = muhogo
- Gentlemen of Wolgyesu Tailor Shop = ndizi
- padam padam = tomato paste
- sign = first aid kit
- dae mul = vitunguu
- mrs cop season 1 = maji
usingizi ndiye mtemi pekee aliyebakia ila usijali unapaswa utafute birika ya kahawa unywe.Amen. Nimeitamani stock yako. Ngoja na mie nijipange nijaze ila usingizi adui mkubwa wa mission nzima.
Mimi nilifika mpaka 32 nikaachaDaaah nimechek six flying dragons numebakisha kama episodes 3 naanza ona uvivu malizia.....huyu kijana bang won mbona kawa katili ivi asee....anauwa kila mutu bwana.....
WatakujaWenye uzi wenu mmeenda wapi? Rudini basi mlikua natupa burudani.
Movie. The Royal tailor
Watakuja
Ila mzima?
salama,tunasogeza maishaMzima kabisa,za wewe?
sikubahatika kuiangalia japokuwa niliwahi kuipakua mpaka episode 6,Kuna mtu anaiangalia hii??ni nzuri??
Nataka kuicheck ila kama nasita hivi
unaharakia uchaguzi?Baada ya uhondo wa REPLY 1988
Sasa naelekea REPLY 1994 kisha 1997
utakapoamka (niliona tabu kukutafuta kwa waziri mkuu kitambo sana, afadhali umejitokeza)Hey, ambao hamjaangalia mtanisamehe kwa kuwaspoil, sikuwa na namna!
dah sorry,Ile family drama ya tailor nikumbushe jina lote,jana sikuidaka vizuri kule incheon
unaharakia uchaguzi?
mbona unakunywa pole pole.
chonde chonde usije ukasahau passport size.
dah sorry,
hii comment yako ndio nimeisoma leo kwa utulivu.
inaitwa the gentleman wolgyesu tailor shop
==========
lee dong gun na jo yoon hee mahusiano ya kimapenzi yalianzia hapa, kwa sasa ni wanandoa na tayari waebarikiwa mtoto.
nimeiangalia mpaka episode 5,kwangu naiona ipo vizuri (bila ya shaka una uzoefu mkubwa sana wa kuangalia family drama)
stori zao zinakwenda mwendo uleee wa sikutaki nataka.
humo ndani muna couple ya mwanamama ra mi ran (anatumia jina la Bok Sun-Nyeo kichwa kibovu, kichwa wivu, kichwa fixed, full vituko) na mume wake cha in pyo (anatumia jina la bae sam do).
mke kama yule nampa talaka 50, nyumba namuachia, nguo zangu namuachia (I hope huko mbeleni wataelewana)
View attachment 1549062
utakapoamka (niliona tabu kukutafuta kwa waziri mkuu kitambo sana, afadhali umejitokeza)
username: goodwill
- fanya miujiza yako ile account yangu ife bila ya kupotea data zenu (nimepoteza ile laini mwezi uliopita, taratibu za kuirudisha zimenishinda kwa sababu nina kesi 50 kituo cha polisi)
- kuna account nimetengeneza
=========================
usiku mwema wenye baraka