Sahiz naangalia current ndg zinatoka sahiz wanatoa eps moja moja mfano K2 kila week wanaachia epsd 2Si ndo hapo na mimi nimeshangaa khaaa. Maana mimi zinazotajwa hapa asilimia kubwa ni mpya kwangu na zile nilizoangalia zimetajwa chache sana
Sahiz naangalia current ndg zinatoka sahiz wanatoa eps moja moja mfano K2 kila week wanaachia epsd 2Si ndo hapo na mimi nimeshangaa khaaa. Maana mimi zinazotajwa hapa asilimia kubwa ni mpya kwangu na zile nilizoangalia zimetajwa chache sana
Umetisha mkuuinawezekana umeangalia drama zote zinazozungumzia taifa la joseon,
inawezekana umeangalia drama zote zinazozungumzia taifa la goryeo,
inawezekana umeangalia drama zote zinazozungumzia taifa la goguryeo,
inawezekana umeangalia drama zote zinazozungumzia taifa la shilla,
inawezekana umeangalia drama zote zinazozungumzia taifa la baekje,
ila hoja yangu ipo hapa kwenye hizi modern drama siamini kama umeangalia zote kwa sababu ni nyingi mno na uthibitisho wa hoja yangu nakupa kazi wafuatilie waigizaji wote maarufu ambao wanacheza kama starring ambao wewe unawafahamu halafu utanambia jee umeshaangalia kazi zao zote,nakuna wengine ambao wewe huwafahamu apo ndio balaa linapo anza.mimi siamini kama drama zote ambazo zimeoneshwa na television za KBS,SBS,MBC,TVN na channel nyengine kama umeangalia zote.
hahahahaaaaaaa anatupiga fixmungu wa korean drama anakuona kwa kutuongopea sifikirii kama umeangalia angalau thuluthi ya korean drama
The Flower in Prison iko aired now. Leo itatoka ya 49 usiku. Worthy watching.Wadau ni historian drama gani zilizotoka mwaka huu?
Nyingine mkuu,samahani lknThe Flower in Prison iko aired now. Leo itatoka ya 49 usiku. Worthy watching.
Dramacool.toNatamani kuiamgalia hyo emperor of the sea, je niipate wapi, maana huwa k/drama nyingi huwa na download kupitia www.drama fire.com, lkn hyo emporor of the sea huwa siipate, msaada ni site gan nitaipata?
Drama Cool - Drama for everyoneJamani anayejua link ya drama za kifilipino anisaidie
Sawa nikubali sijaangalia zote mkuu ili uridhikeinawezekana umeangalia drama zote zinazozungumzia taifa la joseon,
inawezekana umeangalia drama zote zinazozungumzia taifa la goryeo,
inawezekana umeangalia drama zote zinazozungumzia taifa la goguryeo,
inawezekana umeangalia drama zote zinazozungumzia taifa la shilla,
inawezekana umeangalia drama zote zinazozungumzia taifa la baekje,
ila hoja yangu ipo hapa kwenye hizi modern drama siamini kama umeangalia zote kwa sababu ni nyingi mno na uthibitisho wa hoja yangu nakupa kazi wafuatilie waigizaji wote maarufu ambao wanacheza kama starring ambao wewe unawafahamu halafu utanambia jee umeshaangalia kazi zao zote,nakuna wengine ambao wewe huwafahamu apo ndio balaa linapo anza.mimi siamini kama drama zote ambazo zimeoneshwa na television za KBS,SBS,MBC,TVN na channel nyengine kama umeangalia zote.
Akikupa na mimi nipe...Jamani nikutafute unipe hizo series japo kuna ambazo nimeangalia
A person of not game game.Yaani...wewe sio mtu wa mchezo mchezo
Asante kwa kushare, nawakubali karibia wote lakini zaidi saaana no 8,9, na 10.MY BEST KOREAN YOUNG ACTOR AND ACTRESS (U 25)
(Part 1)
1. YEO JIN GOO:
View attachment 429300
kwangu mimi ndie muigizaji bora linapokuja suala la kuwashindanisha young actor,amezaliwa 1997 na nimebahatika kumuona kwenye drama mbali mbali kama vile GIANT,WARRIOR BAEK DONG SOO,JACKPOT,THE MOON THAT EMBRACE THE SUN na PRINCESS JAMYUNG.nilimpenda kwenye PRINCESS JAM YUNG ambapo alicheza kama prince Hodong kuna sehemu alitumwa na baba yake DAMUSHIN MUHYOOL ambaye alikuwa ni mfalme wa tatu wa taifa la goguryeo aende Naklang kwa ajili ya kumposa princess lahee kilichotokezea ilikuwa ni shidaa siwahadithii.
2. PARK JI BIN:
kila mwanadamu amezaliwa na kipaji ila wengine wamezidishiwa vipaji akiwemo mwanadamu huyu ambaye amezaliwa 1995.ameigiza drama nyingi kama YI SAN,QUEEN SEONDEOK na BOYS OVER FLOWER ambapo alicheza kama ni mdogo wake na jan di, hahahahaaaa kiukweli familia yao ilikuwa ni balaaa kuanzia baba mpaka mtoto kwenye BOYS OVER FLOWER, kwa sasa ameamua kwenda kutumikia jeshi.
3. PARK GUN TAE:
amezaliwa 1996,inawezekana sijaangalia drama nyingi sana alizoshiriki ila kwenye WARRIOR BAEK DONG SOO ushirikiano wake pamoja na YEO JIN GOO ulikuwa ni bora sana na kuifanya drama kuwa ni ya kuvutia tokea mwanzo.pia ameigiza drama kama vile KIM SO RO,ORANGE MARMALADE,JUNG YI GODDESS OF FIRE,PRINCESS JAMYUNG,THE MERCHANT GAEK JU na EAST OF EDEN
4. LEE HYUN WOO:
View attachment 429308
amezaliwa 1993 mara yangu ya kwanza nilimuona kwenye LOBBYST ambapo alicheza kama harry,baadae nilimuona kwenye THE GREAT KING SEJONG, GYE BAEK , MOORIM SCHOOL pamoja na SCHOLAR WHO WALK IN THE NIGHT
5. NO YOUNG HAK:amezaliwa 1993 kwenye THE KINGS DREAM alicheza kama kim yusin ambapo alishinda tunzo ya best child actors,pia ameigiza drama kama vile THE GREAT SEER,TRIANGLE,THE DUO,KING AND I, JINGIBROK:THE MEMORY OF IMJIN WAR.
View attachment 429305
6. LEE MIN HO:usichanganyikiwe wapo wengi nchini korea wenye majina yanayofanana,mara ya mwanzo nilimuona kwenye GUTALE OF THE FOX CHILD (GUMIHO) kusema kweli alinivutia na alinishajihisha nitafute kazi yake nyengine na nilibahatika kumuona kwenye THE MOON THAT EMBRACE THE SUN,SUNGKYUNWAN SCANDAL,HWAJUNG,SWORD AND FLOWER,THE GREAT SEER.
7. JUNG YOON SUK:amezaliwa 2003 nilianza kumuona kwenye JUMONG ambapo alitumika kama prince yuri na alikuwa na miaka 3,mpaka leo amekuwa akitumika kwenye drama nyingi sana kama vile YONG PAL,SIX FLYNG DRAGONS,JEONG DO JEON,FIVE ENOUGH,FLOWER IN PRISON na cha kuvutia Zaidi alitumika kwenye JANG YOUNG SIL ambayo imemkutanisha tena na song il kook baada ya miaka 10 tokea wakutane kwenye jumong.kiukweli ni mmoja kati ya watoto wanaofanya vizuri sana ukilinganisha na umri wake.
View attachment 429309
8. YOO SEUNG HO:amezaliwa 1993 sijui kama bado anastahili kuwa katika kundi hili kwa sababu jamaa amekuwa hodari sana jambo ambalo limemfanya kupokea ofa nyingi akicheza kama main character tofauti na wengine hapo juu.amecheza drama kama QUEEN SEONDEOK,I MISS YOU,WARRIOR BAEK DONG SOO,YOU ARE BEAUTIFUL,KING AND I,IMMORTAL ADMIRAL YI SOO SHIN.
View attachment 429311
9. KIM YOO JUNG:amezaliwa 1999,amebarikiwa kuwa na kipaji kikubwa sana na kiukweli anawakimbiza sana wenziwe na sifikirii kama kuna mtu ambaye anafuatilia drama za korea na akawa hajashuhudia kipaji cha binti huyu.ameshiriki drama kama vile ILJIMAE,ROAD NO 1, CAIN&ABEL, MAY QUEEN,SECRET DOOR,THE MOON THAT EMRACE THE SUN,GUMIHO,na pamoja na drama inayoendelea hivi sasa kupitia KBS tv inayoitwa LOVE IN THE MOON LIGHT akiwa pamoja na PARK BOGUM
View attachment 429312
10. KIM SO HYUN: amezaliwa 1999 nchini AUSTRALIA ila miaka 5 baadae walihamia nchini korea,miongoni mwa drama alizoigiza ni KING OF BAKING,THE MOON THAT EMBRACE THE SUN,I MISS YOU,TRIANGLE,ROOFTOP PRINCE,THE GIRL WHO SEE SMELL,WHO ARE YOU.
View attachment 429354
Ila Korean drama ziko nyingi jamani bado namshangaa aliyesema ameangalia zoteMY BEST KOREAN YOUNG ACTOR AND ACTRESS (U 25)
(Part 1)
1. YEO JIN GOO:
View attachment 429300
kwangu mimi ndie muigizaji bora linapokuja suala la kuwashindanisha young actor,amezaliwa 1997 na nimebahatika kumuona kwenye drama mbali mbali kama vile GIANT,WARRIOR BAEK DONG SOO,JACKPOT,THE MOON THAT EMBRACE THE SUN na PRINCESS JAMYUNG.nilimpenda kwenye PRINCESS JAM YUNG ambapo alicheza kama prince Hodong kuna sehemu alitumwa na baba yake DAMUSHIN MUHYOOL ambaye alikuwa ni mfalme wa tatu wa taifa la goguryeo aende Naklang kwa ajili ya kumposa princess lahee kilichotokezea ilikuwa ni shidaa siwahadithii.
2. PARK JI BIN:
kila mwanadamu amezaliwa na kipaji ila wengine wamezidishiwa vipaji akiwemo mwanadamu huyu ambaye amezaliwa 1995.ameigiza drama nyingi kama YI SAN,QUEEN SEONDEOK na BOYS OVER FLOWER ambapo alicheza kama ni mdogo wake na jan di, hahahahaaaa kiukweli familia yao ilikuwa ni balaaa kuanzia baba mpaka mtoto kwenye BOYS OVER FLOWER, kwa sasa ameamua kwenda kutumikia jeshi.
3. PARK GUN TAE:
amezaliwa 1996,inawezekana sijaangalia drama nyingi sana alizoshiriki ila kwenye WARRIOR BAEK DONG SOO ushirikiano wake pamoja na YEO JIN GOO ulikuwa ni bora sana na kuifanya drama kuwa ni ya kuvutia tokea mwanzo.pia ameigiza drama kama vile KIM SO RO,ORANGE MARMALADE,JUNG YI GODDESS OF FIRE,PRINCESS JAMYUNG,THE MERCHANT GAEK JU na EAST OF EDEN
4. LEE HYUN WOO:
View attachment 429308
amezaliwa 1993 mara yangu ya kwanza nilimuona kwenye LOBBYST ambapo alicheza kama harry,baadae nilimuona kwenye THE GREAT KING SEJONG, GYE BAEK , MOORIM SCHOOL pamoja na SCHOLAR WHO WALK IN THE NIGHT
5. NO YOUNG HAK:amezaliwa 1993 kwenye THE KINGS DREAM alicheza kama kim yusin ambapo alishinda tunzo ya best child actors,pia ameigiza drama kama vile THE GREAT SEER,TRIANGLE,THE DUO,KING AND I, JINGIBROK:THE MEMORY OF IMJIN WAR.
View attachment 429305
6. LEE MIN HO:usichanganyikiwe wapo wengi nchini korea wenye majina yanayofanana,mara ya mwanzo nilimuona kwenye GUTALE OF THE FOX CHILD (GUMIHO) kusema kweli alinivutia na alinishajihisha nitafute kazi yake nyengine na nilibahatika kumuona kwenye THE MOON THAT EMBRACE THE SUN,SUNGKYUNWAN SCANDAL,HWAJUNG,SWORD AND FLOWER,THE GREAT SEER.
7. JUNG YOON SUK:amezaliwa 2003 nilianza kumuona kwenye JUMONG ambapo alitumika kama prince yuri na alikuwa na miaka 3,mpaka leo amekuwa akitumika kwenye drama nyingi sana kama vile YONG PAL,SIX FLYNG DRAGONS,JEONG DO JEON,FIVE ENOUGH,FLOWER IN PRISON na cha kuvutia Zaidi alitumika kwenye JANG YOUNG SIL ambayo imemkutanisha tena na song il kook baada ya miaka 10 tokea wakutane kwenye jumong.kiukweli ni mmoja kati ya watoto wanaofanya vizuri sana ukilinganisha na umri wake.
View attachment 429309
8. YOO SEUNG HO:amezaliwa 1993 sijui kama bado anastahili kuwa katika kundi hili kwa sababu jamaa amekuwa hodari sana jambo ambalo limemfanya kupokea ofa nyingi akicheza kama main character tofauti na wengine hapo juu.amecheza drama kama QUEEN SEONDEOK,I MISS YOU,WARRIOR BAEK DONG SOO,YOU ARE BEAUTIFUL,KING AND I,IMMORTAL ADMIRAL YI SOO SHIN.
View attachment 429311
9. KIM YOO JUNG:amezaliwa 1999,amebarikiwa kuwa na kipaji kikubwa sana na kiukweli anawakimbiza sana wenziwe na sifikirii kama kuna mtu ambaye anafuatilia drama za korea na akawa hajashuhudia kipaji cha binti huyu.ameshiriki drama kama vile ILJIMAE,ROAD NO 1, CAIN&ABEL, MAY QUEEN,SECRET DOOR,THE MOON THAT EMRACE THE SUN,GUMIHO,na pamoja na drama inayoendelea hivi sasa kupitia KBS tv inayoitwa LOVE IN THE MOON LIGHT akiwa pamoja na PARK BOGUM
View attachment 429312
10. KIM SO HYUN: amezaliwa 1999 nchini AUSTRALIA ila miaka 5 baadae walihamia nchini korea,miongoni mwa drama alizoigiza ni KING OF BAKING,THE MOON THAT EMBRACE THE SUN,I MISS YOU,TRIANGLE,ROOFTOP PRINCE,THE GIRL WHO SEE SMELL,WHO ARE YOU.
View attachment 429354
Sana mkwe. Za siku nzuri hajambo binti yangu na wajukuu?A person of not game game.
Mkwe habari ya siku tele.....?