Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,410
- 119,111
Unakaribishwa rafikiRafiki naruhusiwa huku?
Unakaribishwa rafikiRafiki naruhusiwa huku?
basi nafuta kauli zangu zote juu yako, lakini huoni kama hao wachumba uchwara watakuheshimu pindi watakapofahamu ya kwamba umeajiriwa sekta muhimu sana ndani ya nchi yetu?
mwanzoni hata mimi nilikuwa sielewi, utamsikia eunuch anasema mfalme anataka kukutana na crown prince muda wa nguruwe.
labda inawezekana ndio code zao walizokuwa wanatumia.
au ndio ilikuwa mfumo wao wa masaa waliokuwa wakitumia.
Hahaha mimi nilivumilia mpaka mwisho kwa kuwa alikuwa Jang geun suk vinginevyo ningeitia kwa dustbin mapema sanaaaangalau tumefanana kimtazamo.
jackpot nilifika ep 8, naona mfalme anavaa miwani muda wote utadhani katuni ya rango
🤣🤣🤣angalau tumefanana kimtazamo.
jackpot nilifika ep 8, naona mfalme anavaa miwani muda wote utadhani katuni ya rango
Ila Hii Nzuri Labda Sababu ya Min young!her private life niliishia episode 2, rom comedy zinaelekea kunichosha kwa sasa, si unajua nimetoka kuangalia touch your heart pamoja na romance is a bonus book.
Hahaha hujatulia wewe....Salaams.angalau tumefanana kimtazamo.
jackpot nilifika ep 8, naona mfalme anavaa miwani muda wote utadhani katuni ya rango
Shikamoo MBC,kumbe nimetazama drama zenu nyingi bila kujua.
Moja kati ya Drama ambayo huwa sichoki kuirudiarudia ni hii hapa( Kim Suro)
Inamuelezea Kim Suro ambaye ni mwanzilishi wa Taifa la Gaya.
Pia huyu ndiye Mwanzilishi wa ukoo wa "KIM"View attachment 1080141
Nitazitafuta hizi..View attachment 1080222
Vita ya Baba na Mwana, General Lee Seong gye Vs Grand General Choi Young.
Hii Drama ya Sambong japo vita hazijachorwa sana lakini zipo Quality, nadhani hili linachagizwa na Characters wa humo ndani wamecheza Historical drama nyingi za Kivita.
Babe nakusabahi, nipe taarifa za hii maneno niitafute ama laa?Hulalalaaaaaaaaaaaaaa
Nimerukaruka kwa furaha, ilipoisha nilihuzunika sana.
Siwezi kuamini nitaendelea kumuangalia Bidam Bae View attachment 1078458
Hahahaha nimecheka kwa sauti, yani wewe tukiangalia wote series kutakua hakuna wa kumshangaa mwenzie.Yani mimi ni chakulia-lia. Nadhani ni vile nipo emotional sana.
Ila ni kwetu wote, hii series tulikuwa tunalia kama tupo msibani
Babe nakusabahi, nipe taarifa za hii maneno niitafute ama laa?
Hahahaha nimecheka kwa sauti, yani wewe tukiangalia wote series kutakua hakuna wa kumshangaa mwenzie.
Basi nimetamanije tungekuwa tunaangalia wote? Sasa hivi naangalia mwenyewe tu mdogo wangu yuko skuli wengine home hawako interested.
Raha sana kuangalia hizi mambo zetu na kampani.
Hahahahahah, Hii ni hatari sana mzee au hii ndo ile asemayo Sambong " the nonsense from a Good for nothing" Kama Serikali inataka kuongeza mapato dawa yake ni moja tu! Iwashike mkono watu ili wainuke, haika hiyo itakuwa njia ya kujitanua ( mizizi ndiyo itengenezayo matunda),. Huko india ndo Nitateketea zaidi si kwa sababu hali ya hewa ya New Delhi ni ya ukaa laa! Bali hilo balaa hapo👇.hahahaahhahahaahaahaaaaaaaaaaaaaaaaaaa great conqueror nina wasiwasi umeshaanza kuugua ugonjwa wa korean histroical drama.
tafadhali brother mtafute yesu wa India akupe tiba na mapemaaaa kabla hujachelewa.
Nimesikia yesu wa India amejaaliwa uwezo wa kutibu hata ugonjwa wa serikali kukosa mapato bila ya kutumia mitishamba.
usione aibu brother kumueleza matatizo yako, binafsi nina mpango wa kukutana naye anisaidie kutibu ugonjwa wangu wa kukaa kimya ovyo kama charlie chaplin.
AURAAAAA
hahahahaaaaaaaa kheri ya miaka 55 ya muungano wetu.Hahaha hujatulia wewe....Salaams.
itabidi ufanye repeatition ya mwaka wa masomo, umeshaanza kuwa mvivu wa kuhudhuria darasani.Ila Hii Nzuri Labda Sababu ya Min young!
Touch ur heart Nimeishia Ep 3....
Duuuh Hiii Comment Mbona Inagusa Uhalisia Wangu...!! We Mtu! 😳itabidi ufanye repeatition ya mwaka wa masomo, umeshaanza kuwa mvivu wa kuhudhuria darasani.
We nae bhanaThe Bold yuko wapi?
pengine amemuona humu ndani amevaa khangaWe nae bhana