Gwanggaeto the Great
JF-Expert Member
- Apr 14, 2018
- 817
- 1,772
Katika Historical Drama nilizomuona huyu mwamba IM HO zote kacheza kama mfalme na kifupi jamaa anawezea sana kucheza kama mfalme👏
Miye nilijuta kuitazamaEmpress Ki bonge moja la drama aisee
Hivi kuna mtu asiye mkubali huyo mwamba???Kwenye Hiyo List Inaonesha Unamkubali Sana Song Il-Gook
Kiukweli jamaa ndiye aliyenipeleka KoreaHivi kuna mtu asiye mkubali huyo mwamba???
MGC
Naam shukrani kwa taarifa. Nauliza katika kitengo cha kufurahisha na kuchekesha ni nani kahusika humo ndani.? Mfano kwenye drama ya Jumong yule mzee mtengeneza silaha za kivita alihusika katika kitengo hicho.The Great King Sejong ni kama haujawahi kuiona kaitafute ndo kwaaaaaanza nipo episode ya kwanza
Kilichonivutia imejawa na mafundi halafu Lee Bang won aliyecheza Jang Yeong Sil kuna mzee humo anafitina huyo ndiye waziri mkuu pia huyo mzee tulimuona kwenye Joseon Gunman amecheza kama Waziri mkuu, ananikosha tu anavyotazama, jinsi achekavyo kwa dharau ni hatari tupu.
Naelewa kwanini
Kim Hyun Joo In Talks For New Drama With Seo Kang Joon And Han Suk Kyu
On April 3, a source from the drama industry stated that Kim Hyun Joo is confirmed for the female lead role in OCN’s upcoming Saturday-Sunday drama “Watcher,” which is set to premiere in July.
Watcher ni thriller drama itakayozungumzia hadithi ya watu watatu wanaokumbwa na matukio ya hatari kwenye maisha yao, hatimaye wanaamua kufanya kazi kwa pamoja kwa dhumuni la kufichua maovu ya jeshi la polisi pamoja na watu wenye nguvu(matajiri)
View attachment 1062287
Baado nipo sehemu ya kwanza.Naam shukrani kwa taarifa. Nauliza katika kitengo cha kufurahisha na kuchekesha ni nani kahusika humo ndani.? Mfano kwenye drama ya Jumong yule mzee mtengeneza silaha za kivita alihusika katika kitengo hicho.
MGC
Huyo Wa Kwenye Jumong, Mo Palmo Hahaha. Ila Kwa Upande Wangu Naweza Kusema Prince Young-Po Alikuwa Na Vituko Sana. Yeye Pamoja Na Genge Lake, Kila Walichokuwa Wanakifanya Kinafeli Na Hata Wakifanikiwa Lazima Kilete Backfire. Pia Alikuwa Hawezi Kutunza Siri Kiasi Kwamba Akitoka Kufanya Uhalifu Wake Huko Utamjua Tu!Naam shukrani kwa taarifa. Nauliza katika kitengo cha kufurahisha na kuchekesha ni nani kahusika humo ndani.? Mfano kwenye drama ya Jumong yule mzee mtengeneza silaha za kivita alihusika katika kitengo hicho.
MGC
😁😁 Dochi na bodyguard wake walikuwa wananikosha sana hasa pale jamaa alivyokuwa anatazama kwa dharau na jinsi alivyokuwa anakula maini mabichi.Huyo Wa Kwenye Jumong, Mo Palmo Hahaha. Ila Kwa Upande Wangu Naweza Kusema Prince Young-Po Alikuwa Na Vituko Sana. Yeye Pamoja Na Genge Lake, Kila Walichokuwa Wanakifanya Kinafeli Na Hata Wakifanikiwa Lazima Kilete Backfire. Pia Alikuwa Hawezi Kutunza Siri Kiasi Kwamba Akitoka Kufanya Uhalifu Wake Huko Utamjua Tu!
anaitwa Godo, na mwenzie Jukbang wanazingua sanaKwenye Queen SeonDeok kuna matapeli( Gogo na Jukbang) hawa jamaa wanaweza kukupiga mkwara mpaka ukaingia kingi.
Jambo zuri Queen alitambua kipaji cha Jukbag na Godo akawapa nafasi nzuri katika Serikali yake.
Huyo Jukbang Na Mwenzie Kwa Tabia Yao Ya Wizi Kuna Siku Kilinuka Mjengoni, Ulitembezwa Msako Wa Kuvua Nguo. Duh! Seon Deok Hatoisahau Ile Siku Kwa Jinsi Alivyoponea Chupuchupu Kama Vile Kupenya Kwenye Tundu La Sindano!Kwenye Queen SeonDeok kuna matapeli( Gogo na Jukbang) hawa jamaa wanaweza kukupiga mkwara mpaka ukaingia kingi.
Jambo zuri Queen alitambua kipaji cha Jukbag na Godo akawapa nafasi nzuri katika Serikali yake.
Huyo jamaa aliniacha hoi ile mbaya, ushauri anaomba kwa watu ata wasio jielewa.Huyo Wa Kwenye Jumong, Mo Palmo Hahaha. Ila Kwa Upande Wangu Naweza Kusema Prince Young-Po Alikuwa Na Vituko Sana. Yeye Pamoja Na Genge Lake, Kila Walichokuwa Wanakifanya Kinafeli Na Hata Wakifanikiwa Lazima Kilete Backfire. Pia Alikuwa Hawezi Kutunza Siri Kiasi Kwamba Akitoka Kufanya Uhalifu Wake Huko Utamjua Tu!
Nilikuwa napenda sana vile Dochi anampiga bodyguard wake na vile walikuwa wanaishi. Maisha fulani hivi ya kufurahisha sanaDochi na bodyguard wake walikuwa wananikosha sana hasa pale jamaa alivyokuwa anatazama kwa dharau na jinsi alivyokuwa anakula maini mabichi.