M Z A N Z I B A R I
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 21,681
- 117,025
wataonekana december 31.Naona leo Wahusika Wakuu wameonekana katika episode ya 809. Sijui wakipotea tena watakuja onekana katika episode ya ngapi. Nawaza tu
teh teh teh
wataonekana december 31.Naona leo Wahusika Wakuu wameonekana katika episode ya 809. Sijui wakipotea tena watakuja onekana katika episode ya ngapi. Nawaza tu
Hahahaha!ukimkuta kwenye mchuzi bora umtoe unywe maji matupu
Lol! Naisubiriii Kwa Bashasha ZoteeeHahahahaaa, endelea kufurahia maana maisha yenyewe haya ukikaa umenuna mda wote ndio kukaribisha uzee hivyo.
Nafurahi kuona umerudi, asante sana. Zawadi yako ninayo In Shaa Allah nikilejea utaipata.
http://dl.yasdl.com/2018/Software/IDM.6.32.Build.3.Final.Retail_YasDL.com.rarkabla hujaondoka nisaidie cracked idm.
kama natumia chrome version mpya nawezaje kuweka idm extension kama haijakaa automatic?
Sunbae how comes unamuwish my bebe bila kuntag20/12/2018
kheri ya kuzaliwa tena jang hyuk japokuwa si jina lako ulilopewa na wazazi wako
miaka 42 ametimiza siku ya jana.
View attachment 973934
dah! nakuomba unisamehe.Sunbae how comes unamuwish my bebe bila kuntag
Umemsahau profesa wa kwenye Good Doctordah! nakuomba unisamehe.
lakini na wewe umewakusanya wanakondoo wengi kama mchungaji hali inayopelekea wengine niwasahau.
- choi jin hyuk
- jang hyuk
- song seung hun
- ..................................
jo sang wook?Umemsahau profesa wa kwenye Good Doctor
Hahaa shemeji unao wengi kwa kweli,familia mimi si namuongezea tujo sang wook?
mamamamaaaaaa kama na huyu pia ndiye basi itanibidi nitembee na daftari la mahudhurio nipate kuwarekodi.
lakini ana familia
View attachment 973969
dah! nakuomba unisamehe.
lakini na wewe umewakusanya wanakondoo wengi kama mchungaji hali inayopelekea wengine niwasahau.
- choi jin hyuk
- jang hyuk
- song seung hun
- ..................................
Fates and furies nzuri, mama fair ina utoto mwingi sana mtu anabadilika vipi kuwa nyauPongezi zangu za dhati zenda kwa crews/teams nzima za hizi KDramas, hakika wamezitendea haki hadi sasa zilipofikia (episodes). (Well Done!)
The Last Empress
Less than Evil
Feel Good to Die
Na kwa sababu tofauti, nimeamua kuishia njiani/kutozifatilia hizi dramas... (Wakajipange!)
Children of Nobody
A Pledge to God
Clean with Passion for Now
Encounter
Fates & Furies
Fluttering Warning
The Smile Has Left your Eyes
Mama Fairy and The Woodcutter
When Time Stopped
Where Stars Land
Memories of the Alhambra
The Player
Ps:- Ni maoni 2..
Terius behind me ipo vizuriMBC Announces Daesang Nominees Of 2018 Drama Awards
- So Ji Sub = terius behind me drama (nilibahatika kuifuatilia)
- Kim Sun Ah = children of nobody drama (sijaiangalia)
- Shin Ha Kyun = less than evil drama (naendelea kuifuatilia)
- Lee Yoo Ri = hide and seek drama (sijaiangalia)
- Jung Jae Young = partners for justice drama (sijaiangalia)
- Chae Si Ra = good bye to good bye (sijaiangalia)
utoaji wa tunzo ni December 30.View attachment 973850
Mkuu utakuwa na kiherehere sana! Huu uzi unaitwaje na umefuata nn huku?Hapa ndipo utatambua kwa kiasi gani kizazi hiki kimewekeza akili zao kwenye mambo ya kufikirika (filamu, miziki, tamthilia) na mambo mengi ya kigeni ambayo katika hali ya uhalisia hayana ukweli wowote.
tamthilia za kigeni ni janga la taifa
kwani tunajenga kizazi ambacho kutwa kucha (watoto, akina dada, wanawake, vijana ) wako bize kuyafatilia hata kuliko kufatilia mambo yenye tija kwao kwa maslahi mapana kwa taifa
Kwa haya tunayoyafanya leo hii tujipange na tujiandae kuvuna mapokeo ya kigeni kwenye mustakabali wa maisha yetu milele.
Msamee mkuu watu wengine wanadhani wakijadili siasa ndio hujadili mambo ya msingi.Mkuu utakuwa na kiherehere sana! Huu uzi unaitwaje na umefuata nn huku?
Nini maana ya kuwa na majukwaa tofauti kwa ajili ya watu tofauti