Gyeoul
JF-Expert Member
- Jan 28, 2015
- 3,758
- 5,364
Nina hamu kweli nijue kilicho jili baina ya hao viumbe viwili.
Kaenda Kupanda Public Trans
Nina hamu kweli nijue kilicho jili baina ya hao viumbe viwili.
Leo nakuja unirushie aisee
Kaenda Kupanda Public Trans
Heeeh!, imekuaje tena wakati jamaa alimfukuza na kumwambia hataki kumuona tena na hasahau kila kitu kilicho tokea baina yao.
AigoooooLeo nakuja unirushie aisee
Mwisho Wa Siku Alijua Kuwa Walifanya Ayo Yote Kwa Ajili Yake Na Akaja Jua Kuwa Anampenda Uyu Binti,Akaamua Awasamehe Na Kurudi Kwenye Malove Love ( In Seung Gi Voice)Heeeh!, imekuaje tena wakati jamaa alimfukuza na kumwambia hataki kumuona tena na hasahau kila kitu kilicho tokea baina yao.
Oooooh, kumbe ndio hivyo basi sito kuja nilitaka nijue kilicho jiri baina ya hao viumbe wawili. Shukrani kwa taarifa.Mwisho Wa Siku Alijua Kuwa Walifanya Ayo Yote Kwa Ajili Yake Na Akaja Jua Kuwa Anampenda Uyu Binti,Akaamua Awasamehe Na Kurudi Kwenye Malove Love ( In Seung Gi Voice)
hili andiko lako nimelirejea kulisoma mara nne ndipo angalau nikapata cha kukujibu, kiukweli hili andiko limenifanya muda huu niitafute episode ya 11 hadi ya 15,wakati asubuhi nilisema nataka niiweke kiporo sasa kwa huu ushawishi wa andiko lako kwa nini nisikuite sunbaenim?Damushin Sunbae acha vituko ndugu mi sina ujanja wowote ule wala usiniogope, mm bado ni mwanafunzi kwenu. EMPTY, aminas, UHURU JR, Prishaz pamoja na ww Damushin Sunbae nyinyi nyote kwa pamoja ni walimu wangu wala Mm siwazidi chochote kabisa. Na ninafurahi sana kuwa na walimu kama nyinyi kwa pamoja.
Hahaa Damushin Sunbae huyo kiumbe wa kuitwa Admiral Yi Soon Shin alikuwa balaa sio mchezo, maamuzi anayo chukua yanadhihirisha kweli ni General aliye stahili cheo hicho kabisa. Wale wazee wanao mchongea kwa Mfalme Seonjo ili tu aonekane mbaya kwakweli kuna kipindi natizama wanacho kifanya natamani ata niwarukie Hahaa. Inaonyesha kabisa tawala za kifalme hapo zamani hawa maGeneral walikuwa wanaogopeka sana kutokana na ile nguvu walio kuwa nayo ndicho kitu kilicho kuwa kinamuogopesha Mfalme Seonjo. Alihofia kutokana na ile nguvu aliyonayo Admiral Yi Soon Shin pamoja na watu wanavyo mpenda alihofia huenda akapinduliwa. Kumbe ata wazo hilo Yi Soon Shin hakuwa nalo kabisa yy lengo lake ilikuwa kuwafukuzia mbali Japanese.
Shauku niliyo nayo ni kujua ni vipi huyu Yi Soon Shin alijiunga na Jeshi la Majini mpaka kuwa Kiongozi wao. Maana mkuu pale historia yake inaanza kuonyeshwa toka utotoni anaonekana yupo yupo tu sasa nataka nijue ilikuwaje mpaka akapata hicho cheo kikubwa namna hiyo. Hahahaa ndio maana nikianza kutizama Drama sitaki niishie katikati huwa najitahidi nimalize kabisa. Ww ukifika hapo pumzika nitakuwa nakujuza Kinacho kuwa kinaendelea.
Damushin Kuna Kitu Nakifatilia Kuhusu Nyuma Ya Kpop Coz Hii Ndo Nimeona Watu Wengi Wanaongelea Tofauti Na Kdrama.hili andiko lako nimelirejea kulisoma mara nne ndipo angalau nikapata cha kukujibu, kiukweli hili andiko limenifanya muda huu niitafute episode ya 11 hadi ya 15,wakati asubuhi nilisema nataka niiweke kiporo sasa kwa huu ushawishi wa andiko lako kwa nini nisikuite sunbaenim?
kiukweli nimevutiwa zaidi na urafiki wa tokea utotoni kati ya ryu seung ryong, yi soon shin na won kyun. huyu ryu seung ryong baadae anakuja kuwa na nyadhifa mbali mbali kwenye utawala wa mfalme seonjo na kwenye vita ya imjin war alishika nyadhifa ya waziri wa ulinzi na ndie aliekuwa akimpa support kubwa sana yi soon shin. baada ya kuona mfalme seonjo amekuwa na hofu na yi soon shin aliamua kuacha shughuli za kisiasa, kama sikosei episode ya 3 ya drama hii anaamua kupeleka barua ya kuacha kazi kwa mfalme seonjo.
ukimaliza research yako uje utupe mrejesho na sisi noonaDamushin Kuna Kitu Nakifatilia Kuhusu Nyuma Ya Kpop Coz Hii Ndo Nimeona Watu Wengi Wanaongelea Tofauti Na Kdrama.
Kuna Madudu Sana Kwenye Hii Kitu
Kweli Kila Penye Nzuri Kuna Bays.
Ndo nachofanya,Nilikugusia kuzani Kuwa Utakuwa na Intro ya Hii Kitu.ukimaliza research yako uje utupe mrejesho na sisi noona
Leo Silali Mpka Nione Kwanza.aminas noona bila ya kusahau leo hii black knight drama inaendelea, nina wasi wasi humu ndani tunaangalia watu wawili tu ndio maana nimekuita peke yako.
naomba radhi kwa yeyote atakayekuwa hajafurahishwa na uamuzi wangu.
hahahahahaaa jung hae ra will you marry me?Leo Silali Mpka Nione Kwanza.
Mie Tena Na Rae Won.!!
Nimeona Teaser Zake Iko Ngumu Ngumu Kidogo leo.
aminas hii playlist nimeshaihifadhi kwenye kimeo changu ngoja leo usiku niisikilize, si unajua mimi ni mpenzi mkubwa wa hizi melody na ballad kuliko pop. pumzika kwa amani kim jong hyun
1 - 0:00 - END OF A DAY (하루의 끝)
2 - 4:37 - I'm Sorry (미안해)
3 - 8:48 - Lonely (feat. Taeyeon (태연))
4 - 12:54 - 따뜻한 겨울 (Our Season)
5 - 16:58 - 가을이긴 한가 봐 (It Must Be Autumn) (feat. Go Youngbae)
6 - 21:04 - 1000
7 - 25:07 - 멍하니 있어 (Just Chill)
8 - 28:33 - Love Is So Nice
9 - 32:00 - 눈싸움 (Blinking Game)
10 - 35:38 - Love Belt (feat. Younha (윤하))
11 - 39:09 - Fine (그래도 되지 않아?)
12 - 42:14 - Fireplace (벽난로)
13 - 46:38 - Moon
14 - 49:22 - RED
15 - 52:35 - Suit Up
16 - 56:25 - MONO-Drama (일인극)
17 - 1:00:40 - Déjà-Boo (데자-부)
18 - 1:04:10 - Like You
Hahahaha! Aigooooo Kuna Mijitu Huwa Ipo kwa Ajili Ya Kuharibu Tuuh,Ndo Huyu Sharon Alivyo.hahahahahaaa jung hae ra will you marry me?
tafadhali usinipe jibu mpaka nitakapoamka nahofia EMPTY dongsaeng atamtuma sharon ajitotekeze kwa kutumia nguvu za miujiza alizokuwa nazo