Gyeoul
JF-Expert Member
- Jan 28, 2015
- 3,758
- 5,364
Itakuwa Alikuwa Ananisahihisha Mimi Nilivyoandika Pale Juu.Bado sijakuelewa una maana ipi kuandika hivi.
Itakuwa Alikuwa Ananisahihisha Mimi Nilivyoandika Pale Juu.Bado sijakuelewa una maana ipi kuandika hivi.
Oooooh basi sawa ila uwe makini maana unakoseaga sana itakuwa.!Itakuwa Alikuwa Ananisahihisha Mimi Nilivyoandika Pale Juu.
Ha! Niwe Makini Kwa Kuandika Umu JF??Oooooh basi sawa ila uwe makini maana unakoseaga sana itakuwa.!
Aya Samahani kwa hilo. Aya uwe makini na serious kule.!Ha! Niwe Makini Kwa Kuandika Umu JF??
Kukosea Kupo Na Wakosoaji Wapo Kwa Kazi Iyo!
Nikiandika Sawa Ye Angekosoa Kweli!?
Niambie Niwe Makini Kwa Vitu Vengine Banah!
Ivi Vya Maandishi Ya JF Duuuh!
Kule Wapi?Aya Samahani kwa hilo. Aya uwe makini na serious kule.!
Kwenye kaziKule Wapi?
Yaah! Uku Ndo Pakusema Kuwa Makini.Kwenye kazi
Ile List Yako Ulohitaji Mbona Ujanipa Feedback Yake??Nilikuwa nime-time travel hadi Jeseon kwenye ufalme wa Sejong the Great.
Nimesikia sauti yako kwa mbali ukiniita, kuna nini?
Ijaribu The Great Seer.Wakuu nipen majina ya historical drama nzur za action
Kama ya jumong,au princess agent
Yenye action nyingii
Anza wewe kwanza! App yetu umefikia nayo wapi?Ile List Yako Ulohitaji Mbona Ujanipa Feedback Yake??
Naona Tuuh Unavyopita Juu Juu.
Mi Imenishinda Kila Nikijaribu Kutafuta Nachokitafuta Hakitokei.Anza wewe kwanza! App yetu umefikia nayo wapi?
Hebu Jaribu na hiziWakuu nipen majina ya historical drama nzur za action
Kama ya jumong,au princess agent
Yenye action nyingii
Hahaaa Mkuu UHURU JR kuna Drama kama Tatu nazisubiri kwa hamu kubwa sana aisee.Jamani hebu nitajieni upcoming kdrama mnazozisubiria kwa hamu.