Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Mimi huwa na penda historical drama zenye action pia napenda drama za horror na thriller or criminal

Drama nazo zipenda na ambazo hazinichoshi kuangalia ni
1.king GWANGGAETO
2.king DAE JO YOUNG
3.ROARING CURRENTS (movie)
4.SIX FLYING DRAGONS (hasa episodes #17 #18)
5.THE ROYAL GAMBLER
Zipo nyingi sana lakini hizo huwa I can watch them a hundred times bila kukinai

Kwa upande wa Actors wapo wengi sana kama mnavyojua Korea wamebalikiwa kuwa na talented people.kwa mm wasanii ambao huwa siachi kuangalia kazi zao ni
1.LEE JAE-YONG
58ef14d7ee7ea53e6bfaeca773f376cf.jpg


Mzee amecheza drama nyng mno pengine hata mwezi huwezi kufikia nusu kuzcheki
i.a man called god
ii.empress ki
iii.ruler:master of the mask
iv.jumong
v.the royal Gambler (jackpot)
vi.3 days
vii.the fugitive of joseon
viii.war of money
ix.emperor of the sea
X.lobbyist
x.swallow the sun
Zpo nyng sana mm nmecheki hizo na nyinginezo kafanya vizuri sana

2.AHN KIL-KANG
de08701388b3984f6315f125aaae4482.jpg


Huwa namuelewa sana akishika panga huju jamaa kacheza
i.jackpot
ii.bad thief,good thief
iii.six flying dragons
iv.3days
v.gye baek
vi.slave Hunter
Vii.iljimae
Viii.queen seondeok

3.LEE MOON-SIK
8bfe21ba3a7c2b7feb5a019e31fad89f.jpg

Huyu kacheza hizo
DAMO
ILJIMAE
JACKPOT
QUEEN SEONDEOK
INCARNATION OF MONEY
MR. BAEK
THE DUO
GIANT
Moorim school

4.JEON KWANG-LEOL
19bc22ca6a84f62377b38c6496d65af4.jpg


Mzee flan maarufu hv kama utakua umechek
JUMONG
SWALLOW THE SUN
JACKPOT
FLOWER IN PRISON
HELLO MONSTER
WARRIOR BAEK DONG SOO
KING AND I

Mwingine actor ni
KIM SANG-JOONG
a0010adab382210f64c431d7409f4254.jpg


Ukitaka kujui ni jinsi gani hao ACTORS wanaweza angalia Series na movie zao
Aliyecheza km adui kwenye city hunter pia baba yake hongera il-dong kwenye rebel:the thief who stole people

Sent using Jamii Forums mobile app
Iyo Namba Moja Na Nnee Nawakubari Sana, Uyo No 1 Now Ni Teacher Kwenye SCHOOL 2017 Ame act kama Wale Walimu Wanoko kwa Wanafunzi Ila Nimempenda Alivyocheza
Uyo No.4 Kwenye Warrior Baek Dong Soo Nilimlike Sana Ali Act Vizuri Sana Alinifanya Nikatoa Chozi. Ndo Uzuri Wa Korea Uo,Ni Kma Kiwanda Kinachota Au Dharisha Bidhaa Kila Siku..
 
Sa Juzi Pia Imeaanza Nyengine Iyo Inaitwa FALSIFY Amecheza Kijana Mmoja Ivi Alocheza Kwenye REMEMBER, (Namgung Min)
Namgung_Min-p4.jpg
Sa Nimejitahidi Kutoifatilia Lakini Naona Inanivuta Vuta, OK Sijuhi
 
Ndiyo sehemu zake hizo,nilimuona pia kwenye 맨 투 맨(man to man) japo kaoneshwa kidogo tu ila alikuwa anafahamika kama ni mtu mkorofi.
Iyo Lugha Apo Kati Hmm!!! Hahahaha ata Umu Pia Ni kama Vile anamtafuta Muuaji Alomua Kaka Yake Sa Kaamua Kujiingiza Kwenye Uandishi Wa Habari Kazi Ambayo Kaka Yake Alikuwa Anaifanya, Sasa Uo Uandishi wenyewe anavyoufanya Ni Vituko Tuh...
 
Iyo Lugha Apo Kati Hmm!!! Hahahaha ata Umu Pia Ni kama Vile anamtafuta Muuaji Alomua Kaka Yake Sa Kaamua Kujiingiza Kwenye Uandishi Wa Habari Kazi Ambayo Kaka Yake Alikuwa Anaifanya, Sasa Uo Uandishi wenyewe anavyoufanya Ni Vituko Tuh...
Ulivyonielezea nimekumbuka nimeona trailer nitaitafuta.
 
36046581871_b765d32680_c.jpg

Izo Sura Tatu Apo Juu Ukiziangalia ata Kwa Kupitisha Macho Tuuh,Unaona Kabisa Ni Watu Ambao Wapo kwenye Hali Gani
Acting Yao Ni Inaanzia Usoni Mwao,Uso Unaelezea Kilichomo Ndani ya Nafsi zao kuwa hii kazi Wanayofanya Ni Kitambulisho Tosha cha Uhakika Wa Ugali Wao wa Kila Siku Na Apo Inabidi Aweke Juhudi Zake Zote Ili Kesho Umuuone Tena Kwenye Kazi Nyengine...NIDHAMU YA KAZI...
 
36046581871_b765d32680_c.jpg

Izo Sura Tatu Apo Juu Ukiziangalia ata Kwa Kupitisha Macho Tuuh,Unaona Kabisa Ni Watu Ambao Wapo kwenye Hali Gani
Acting Yao Ni Inaanzia Usoni Mwao,Uso Unaelezea Kilichomo Ndani ya Nafsi zao kuwa hii kazi Wanayofanya Ni Kitambulisho Tosha cha Uhakika Wa Ugali Wao wa Kila Siku Na Apo Inabidi Aweke Juhudi Zake Zote Ili Kesho Umuuone Tena Kwenye Kazi Nyengine...NIDHAMU YA KAZI...
aaaah mi kulia na wakorea nshachoka ujue utasema kweli.afu nimewapendaje ote mtu na kaka ake
 
Back
Top Bottom