Kwa wapenzi wa facebook

For inventors there can be billion dollar deal if one can come up with "facebook addiction pills" coz it's already beyond self control...
 
For inventors there can be billion dollar deal if one can come up with "facebook addiction pills" coz it's already beyond self control...

Mie mbona nimeachana nayo kirahisi tu, ila sasa JF ndio imekuwa substitute yake. ha ha ha!
 
addiction kweli kweli! Lakin ukijikeep busy na issue zingine, ni solution tosha.
 
hii ndo sub yake!
 

Attachments

  • nyama.jpg
    nyama.jpg
    53.8 KB · Views: 83
sioni kinachofanya watu wawe addicted huko honestly,nina account huko lkn sijawa teja wala nini,kwanza mara nyingi unakutana na mesege za mitongozo kutoka kwa binadamu usiowajua wala wasiokujua which is pretty annoying.na nilikua na kipicha kimoja tu sasa hivi nimekitoa sbb hata sion maana yake.siwezi kuwa teja wa face book.
 
Kumbe kuchat kwneye FB ni sawa na kaulevi ka unga? Nilikuwa sijui lakini si inafanana na kidogo na hii JF, ila ni bora kuliko kwenda kwenye vijiwe vya kahawa!
 
Back
Top Bottom